Google

This is a digital copy of a book that was preserved for generations on library shelves before it was carefully scanned by Google as part of a project to make the world's books discoverable online.

It has survived long enough for the copyright to erpire and the book to enter the public domain. A public domain book is one that was never subject to copyright or whose legal copyright term has erpired. Whether a book is in the public domain may vary country to country. Public domain books are our gateways to the past, representing a wealth of history, culture and knowledge that's often difficult to discover.

Marks, notations and other marginalia present in the original volume will appear in this file - a reminder of this book's long journey from the publisher to a library and finally to you.

Usage guidelines

Google is proud to partner with libraries to digitize public domain materials and make them widely accessible. Public domain books belong to the public and we are merely their custodians. Nevertheless, this work is erpensive, so in order to keep providing this resource, we have taken steps to prevent abuse by commercial parties, including placing technical restrictions on automated guerying.

We also ask that you:

4 Make non-commercial use of the files We designed Google Book Search for use by individuals, and we reguest that you use these files for personal, non-commercial purposes.

4 Refrain from automated guerying Do not send automated gueries of any sort to Google's system: If you are conducting research on machine translation, optical character recognition or other areas where access to a large amount of test is helpful, please contact us. We encourage the use of public domain materials for these purposes and may be able to help.

4 Maintain attribution The Google “watermark” you see on each file is essential for informing people about this project and helping them find additiona| materials through Google Book Search. Please do not remove it.

4 Keep it legal Whatever your use, remember that you are responsible for ensuring that what you are doing is legal. Do not assume that just because we believe a book is in the public domain for users in the United States, that the work is also in the public domain for users in other countries. Whether a book is still in copyright varies from country to country, and we can't offer guidance on whether any specific use of any specific book is allowed. Please do not assume that a book's appearance in Google Book Search means it can be used in any manner anywhere in the world. Copyright infringement liability can be guite severe.

About Google Book Search

Google's mission is to organize the world's information and to make it universally accessible and useful. Google Book Search helps readers discover the world's books while helping authors and publishers reach new audiences. You can search through the full tert of this book on the web alhttp:7/books. google. com/

STANFORD UNIVERSITY LIBRARIES

LEHRBUCHER

DES

SEMINARS

FUR

Ua

SP PRACHEN

ZI RIENTALISCHE

ZU BERLIN

sa

HERAUSGEGEBEN

VON DEM DIRECTOR DES SEMINARS

STUTTGART 4 BERLIN W. SPEMANN

1898 1909 iibereegangen in den J Vorlas von Georg heimer Berlin

DEM ANDENKEN

IHRER HOCHSELIGEN MAJESTAT DER

KAISERIN UND KONIGIN AUGUSTA

KVIJI

MARCHEN usd ERZAHLUNGEN

DER

SUAHELI

VON

C. VELTEN

LEHRER DES SUAHELI AM SEMINAR

ya YA

STUTTGART 64 BERLIN W. SPEMANN

1898 1902 tibergegangen in den Verlag von Georg Reimer Berlin

VII

Inhalts-Verzeichniss.

Seite. orwort. .........................). KAY inleitung . .... 2 ............. KIAKII 1. mwanamke na paka -.<................ I >. paka na panya . , I 3. nyama wenyi pembe na fisi. 2 t- kima na chui 2 ;. simba na kibana Wasi . ....... 3 ). sungura nafisi. ....................... 14 7. fissi . 5 3. mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini --......... 6 9. hadithi ya Abu Nuwassi .................. 8 0. hadithi za Abu Nuwasi ..... 2. .......... 1. hadithi zingine za Abu Nuwasi -—.2........... 14 2. hadithi ya Abu Nuwasi. ..................... 318 (3 hadithi ya Koodini ....................... 338 4 sutanina Abu Nuwassi........................ 19 5. Muhemedi na washitaki wake... ................ 21 >. usishike shaurila mwanamke ................ 25 . mtoto mtundu lazima kumridi. .... . . .. .. . . . 26

mwalimu mwenyi'agili................... 2 mashindana . ............................ 2 Dijonina Tarafu . ................... .d 27 mfalme na waziriwake. ....................... 23 mwiallim mtaowa nashetanizake.............. 29 Mahomedi. ........................... . 30 mtoto mwenyikigongo. ....................... . 31 - maneno matatu. . . . --............ 32 . bibi mungwana nabibi mtumwa ........... . .. 33 s Kibwana nakibibi .......................... 3 8. binti Matari Shemshi ................ . 36 9. hokumungumu ................... 39

.

.vipofuwatatu .............................. 40

STANFORD UNIVERSITY LIBRARIES

KI

recht zu finden. Es war mir jedoch schliesslich gelungen, mchrere recht brauchbare Leute zu gewinnen. Falls ich die Zeit dazu hatte, habe ich den Erzihler erst einmal seine Erzihlung hersagen lassen, che ich an die Aufzeichnung nach dem Diktat ging.

Was nun die einzelnen Erzihler anbelangt, die mir mit Aus- nahme des Diwani Mamgola bin Diwani Mgola aus Gubiro, der seine Erzihlung zu Papier brachte, simmtlich perstnlich bekannt sind, so ist Folgendes tiber sie zu bemerken:

Der intelligenteste unter ihnen ist unstreitig der leider im vorigen Jahre verstorbene, auch als Dichter bekannte, Mw'allim Mbaraka aus Kondutschi, der als Lehrer in Daressalaam lebte. Ich habe nie einen zweiten cebenso unermtidlichen und fleissigen Suaheli kennen gcelernt wie diesen. Dre: Jahre lang hat er mir bei meinen sprachlichen Samm- lungen gute und treue Dienste geleistet. Seine Erziihlungen zeichnen sich durch cin gutes Suaheli und Klarheit des Ausdrucks aus.

Viele Erzihlungen stammen von Muhemedi bin Madigani aus Magogoni her, der woh|l den meisten Deutschen in Daressalaam bekannt sein diirfte, da er es nicht versiiumt, jedem Ankommenden bald seine Aufwartung zu machen. Er ist ein intelligenter, schwatzhafter junger Mann, der stets zu Diensten bereit ist. Auch seine Erzihlungen ktnnen, obwohI| dieselben manche sprachliche Eigenthtimlichkeiten aufzuweisen haben, zu den besseren zihlen. Besonders interessant war die Art seincs Erzihlens. Er gefiel sich sehr hiufig darin, ceincn Passus seiner Erzihlung, den er soeben mit cinfachen Worten berichtet hatte, zum zweiten und dritten Male, aber immer lcichter und gefalliger und mit melodischen Niiancirungen wicederzugeben und war dann jedes Mal stolz auf seine Leistung.

Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi, ein Bruder des Mw'allim Mbaraka, ist “agida”) im Bezirk Kondutschi. Auch seine Er- zahlungen reihen sich wtirdig an dice seines Bruders an.

Der verstorbene Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza aus Klein- Bagamoyo sowie dessen Bruder Muhemedi bin Diwani Tambaza, ferner Mwenvi Gogo aus Kichwele und Merere bin Kawamba Mshale sind Suaheli-Leute mittleren Bildungsgrades. Ihre Erzihlungen weisen die meisten sprachlichen Eigenthtmlichkeiten aut.

“Ali bin Rajabu aus Kilossa, ein Halbaraber, wic er sich gerne' nennt, ist aus Mbuamadiji gebtirtig, lebt aber scit einer Reihe von Jahren als Hiindler in Kilossa. Er hat von Antang an den Deutschen, be-

”) Unterbeamter des Bezirksamts Daressalaam.

KI

sonders den Stationen Kilossa und Ulanga, gegen die Wahehe treuc Dienste geleistet. Mit ihm auf gleiche Stufe zu stellen ist S'aid bin Bushiri Ilmalindi, “agida von Kilwa Kisiwani. Beide sind auch als Dichter unter ihren Landsleuten bekannt.

“Ali bin Nasur, ein Bruder des bekannten Oberwali Soliman bin Nasur, ist Araber und Wali in Pangani. Er gehtrt zu den gebildetsten Arabern der Kiiste. Scine Erzihlungen sind in gutem Suaheli gegeben.

“Abdallah bin Musa, “Omar ben Rufa3 und Selim bin Abakari sind lange Jahre als Diener bei Deutschen in Diensten und zur Zeit alle dreci in Berlin. Bei den Erzihlungen des Selim bin Abakari muss jedem Suaheli-Kenner auffallen, dass seine Ausdrucksweise klarer und priciser ist, als bei den meisten Suaheli-Leuten seines Bildungsgradses, was vermuthlich seiner Kenntniss der deutschen Sprache sowoh!| wie seinem Jahre langen Aufenthalte in Deutschland zuzuschreiben ist.

Jeder Erziihlung habe ich den Namen des Erzihlers beigefigt, cinerseits, da die sprachlichen Eigenthimlichkeiten bei denselben Er- zihlern immer wiederkehren, andererseits auch damit spitere Sammler in Ostafrika wissen, an wen sie sich zu wenden haben.

Was nun die Anordnung der Sammlung anbelangt, so habe ich mich vom sprachlichen Gesichtspunkte leiten lassen, die in leicht ver- stiundlichem Suahceli abgefassten Erziihlungen zuerst zu geben und mit den schwierigeren zu schlicessen. Es war dices um so mehr geboten, da dieselben vorncehmlich als Lehr- und Lesebuch ftir die Suaheli- Studirenden am Seminar dienen sollen.

Inhaltlich haben wir zundichst dic Tierfabel, in der sich haupt- sichlich der Hase (sungura), der dic Stelle unseres Reinecke Fuchs einnimmt, durch seine Schlauheit anderen Tieren gegentiber sehr iiber- legen zeigt. Es folgen die Geschichten des Abu Nuwasi, die auf arabische Ouellen zurtickfiihren und zuwellen recht derb sind. Morali- sirende Erzihlungen wechseln aldann mit solchen von menschen- fressenden Ungeheuern. In cinigen volifiihren menschliche Wcsen, ja selbst verkriippelte, die grOssten Thaten, sei es durch eigene Tapferkeit oder durch tibernatiirliche Hilfe, wihrend in anderen michtge Sul- | tane und Hiuptlinge durch niedere oder schwichliche Personcn aus ihrer gebietenden Stellung vcerdrangt werden.

Bemerkenswert ist, dass die Erzihler zuweilen Ztige augenblick- licher Verhiltnisse und Oertlichkeiten, in denen sie sich befinden, ihren Erzihlungen beifiugen z. B. akatanyiza paketi kidogo p. 28, Z.1 (paketi ist sonst im suah. nicht gebriuchlich, aber der Erzihler hatte als Laufbursche in einem Eszportgcschift viel mit Paketen zu thun)j;

KIV

ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja p. 78 Mittc (dic Post- dampfer ldsen bei Ankunft cinen Kanonenschuss); na huko merikebu inangoa nanga, ikapiga peipu (engl. pipe) p. 79, Z. 13 v. u.; na yule manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni kumi (zechn engl. Pfund) Pp. 79, Z. 8 v. u.; ikenenda merkebu, ikapiga mizinga 'esherini na moja (der Salut fiir den Gouverneur betrigt 21 Schuss) p. 80, Z. 1; akatia nanga manowari p. 117, Z. 13 (engl. Kriegsschiff); akenda akaingia ndani ya sitima (engl. steamer) p. 117, Z.5 v. u.; kesho napenda kwenda Kiungani (Vorort von Zanzibar) p. 136, Z. 11; shurti ukani- jengee Maziwe (kleine unbewohnte Insel vor Pangani, der Erziihler stammt aus Pangani) p. 139, Z. 3 v. U.

Die Transscription ist die bis jetzt in den Lchrbiichern des Seminars und auch sonst aligemein cingeftihrte englische. Fitr die verschiedenen t, th, h, s und z Laute sowie en habe ich jedoch, wie ich dics bereits in meiner Abhandlung tiber ,Sitten und Gebriuche der Suaheli“ in den Mittheilungen des Seminars Jahrgang 1 Abthig. III p. 09—85 gethan habe, genau unterscheidende Merkmale cingcfihrt und zwar habe ich die arabische Transscription dabei zu Grunde gelegt. Das Transcriptionssystem ist daher folgendes:

| umschrieben a 42 umschrieben r (Zungen-r)

| |

wa . b, p ) z (weiches s) |

Mi s (scharfes s)

(CG:

sh, ch (wie sch und tsch)

s (emphatisches

, th(engl.th inthank) | | | " hartes s)

> j (wic dj), $ (wic g) |

d jemphat. engl. weichcs th)

aa ma WA VU

7 a Ni h (sehr starkes h)

| <a

> t (emphatisches 1) m kh (wic unser ch) th (emphat. cngl. | weiches th) .” d c

(eigentl. Zusam- mcnpressen der Kehle, im suah. je- doch meist er- weicht).

Zz (meist wie weiches s)

Po

KV

umschrieben gh (Zipfchen r), g Y umschrieben m

, v J , n

2 - 4(mphat kW Awa |

>, k > . h

ha aa

Fiir den Suaheli-Schtiler, welcher sich nicht mit Arabisch be- schiftigt hatte, war es bei der bisherigen Schreibweisc schwierig zu wissen, wie cin Wort und besonders Worte arabischen Ursprungs ge- schrieben wurden, z. B. talaka; bei dieser Schreibweise weiss der

Schiiler nicht mit welchem t, ferner ob mit £ oder (9 zu schreiben,

wihrend er bei talaga sofort das Wort richtig schreiben muss. Ebenso: tabia (tabi'a), shetani (shetani), shurti (shurti), sadiki (sadigi), san- duku (sandugu), thuru (duru), bithaa (bidaa), fetha (fedda), thanni (thanni), athuhuri (athuhuri), asubuhi (asubuhi), kasid (gasid), kissa (gissa), asili (asili), maarufu (mafarufu), amali (“amali), maana (ma'ana), ajabu (ajabu), riziki (rizigi), kathalika (kazalika), etc. etc.

Die sprachlichen Eigenthtimlichkeiten dieser Erzihlungen sind sehr zahlreich, da die Erzihler aus allen Gegenden der ostafrikanischen Kiiste stammen und fast jede Stadt ihre besonderen sprachlichen Eigenthimlichkeiten hat. In den Tezten habe ich nirgends Verinde- rungen vorgenommen, sondcern alles so wiedergegeben, wie cs mir er- zahit wurde, da wir lernen wollen, wie der Afrikaner spricht, nicht wie er der Grammatik nach sprechen sollte.

In reinem, grammatikalisch gutem Suaheli sind folgende gehalten:

paka na panya.

nyama wenyi pembe na fissi. kima na chui.

simba na kibana Wasi.

fissi.

KVI

hadithi ya Abu Nuwasi.

hadithi za Abu Nuwasi.

sultani na Abu Nuwasi.

Muhemedi na washitaki wake.

usishike shauri la mwanamke.

mtoto mtundu lazima kumrudi. mw'allimu mwenyi 'agili.

mfalme na waziri wake.

hokumu ngumu.

sultani “Ediri na sultani Ndozi.

mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri. njia mbali na njia ya garibu,

mtu mvivu na mtu wa kazi. j mfalme tajiri na mfalme maskini. Msiwanda.

nguvu za uganga.

sultani na maskini.

“agili ya waanawake.

sultani wa kisiwa na sultani wa barra. hadithi ya mwanamke aliyeoa baba na mwanawe. hadithi ya zamani.

sultani Harun Alrashid na waziri wake. hila za waanawake.

hadithi ya kijitu kiovu.

Abu Nuwasi na waziri wa sultani.

Dic meisten arabischen Ausdrticke finden wir bei folgenden Er-

zahlern: “Ali bin Nasur, S'aid bin Bushiri, Mw'allim Mbaraka bin Shomari, Mwenyi Hija bin Shomari.

Der cersterc ist selbst Araber, wiihrend die tibngen meist mit Arabern in Verkehr leben und ces lieben ihre arabischen Kenntnisse anzubringen. Dic Erziihlungen von Leuten, wie Muhemedi bin Madi- gani und Muhemedi bin Diwani Tambaza sind ziemlich frei von nicht allgemein gebrauchten arabischen Worten.

Auf dice einzelnen Eigenthiimlichkeiten ist in den Fussnoten hin- gewilesen. Allgemcin sich durch das Ganze hinziehende und wieder- holende Thatsachen bedtirfen jedoch als Beitrige zur Grammatik der niiheren Besprechung:

Das w (kurze u) vor Vokalen von mw (ihm,ihr,ihn,

KVII

sie) ist scehr hiufig absolut unhdrbar in der Aussprache; z. B. hdrt man eben so oft akamambia als akamwambia, ebenso anamogopa, wakamona, hakumuliza, wakameleza etc. Das gleiche gilt von einer Anzahi von Substantiven, z. B. bana neben bwana sowohl gesprochen wie geschrieben, manamme neben mwanamme, manamke neben mwanamke etc. Ich habe das w iiberall da, wo es nicht hdr- bar war, ausgelassen.

Die Auslassung des genitiv-pracefires ist in folgenden Fillen zu verzeichnen:

sili nyama bin Adam p. 6, Z. 3; pasicho kitu chakula p. 6, Z. 5; mimi ni mtoto mfalme p. 7 Mitte; maneno yake sungura p. 7, Z. 13 v. u.; hatta mkewe Jafafari p. 11, Z. 1; yule mkewe waziri Ja'afari yupo p.11, Z. 6 v.u.; mudda miezi minne p. 12, Z.12 Vv. U.; alipomwona tunda yule kijana p. 13, Z.8 v.u.; aliyotolewa mimba mkewe Pp. 24, Z.13 v. u.; huyu kanitolea mimba mke wangu p. 24, Z.12 v.u.; yakamwona yaya wake binti sultani p. 31, Z. 10; yakatoa maji koga P. 42, Z. 5 v. u.; akawatambua mbuzi watoto na mamice mtu Pp. 53, Z.6; akamwona mtoto mfalme p. 70, Z.6; na watoto wake yule sultani P. 84 Mitte; wakakaa mahali mwendo safa sitta p. 95, Z. 14; mumewe dada yake p. 97, Z. 14 V. u.; kuna mchunga wa baba yake yule mkewe p- 98, Z. 16; nataka mudda siku tatu p. 102, Z. 13; wakakaa nyumbani mudda siku sitta p. 105, Z. 2; mkewe mtoto wa sultani p. 111, Z.7; kamwiteni mkewe huyu mwarabu p. 116, Z.2 v. u.; akaona kichwa cha mumewe vule mwanamke p. 118 Mitte; juu ya wazee wake vule mtoto p. 127, Z.6; ntakwenda mwuma mtoto wake sultani p. 146, Z. TI.

Die Auslassung scheint besonders nach Worten wie mke, mume, baba, mama, mtoto, yaya, wazee also nach Verwandtschaftsnamen tiblich zu sein. Bei mudda oder binti ist dieselbe insofern zu crkliren, als dies arabische Worte sind. Der Suaheli sagt jedoch auch binti wa sultani z.B. p. 146, Z.2 v.u. und p. 147 in der Ueberschrift; mudda wa mwezi mmoja p.8:, Z.12 V. u. ctc.

Die Pronomina personalia mimi, wewce, sisi, Ninyi zeigen folgende hiiufig gebrauchtc Ncbentormen aut:

miye fiir mimi: p. 18 Mitte; p. 32, Z. 4; P. 36, Z.5 v. u.; P. 39, Z.12;Pp.40, Z.5 v.u.; Pp.42, Z.17; P.42 Mitte; 49, Z.4, 6, 8 v.u.; p- 58, Z.9; Pp.59,Z2.8, 9; p.60, Z.6v.u.; p.61,Z.6 und Mitte; p. 63, Z.10vV.u.; Pp.63, Z2,3 v.u.; P.64 Z. 4,6, 16, 18, 30; p. 66, Z. 5 und lio; Pp-66,Z.3 v.u.; Pp. 89 Mitte ctc.

ewe und wee fiir wewe, besondcrs bcim Anrut: p. 3, Z. 3; P-. 79, Z. 2 etc. etc.

KVII

siye fir sisi: p. 15, 2.13 v.u.; P.23, 2.6; Pp.55,Z.7 vu; P.63. 2.14 v.u.; p. 68, Z. 10 ctc.

nyie ftir ninyi: p.26, Z.1 v.u.; P.309, Z2.2 Vv.u.; P. 42, Z. 2 v.u.; Pp.51, Z.5 v.u.; Pp.52,72.0; Pp.52, 7.6 v.u.; p.65, Z.4 v.u; p-66, Z.1 v.u.; Pp.74 Z.10; Pp.74 Z.9 v.u.; p.82, Z.4WV.u. etc.

niye ftir ninyi: p. 54, Z.11; p. 108, Z.3 v.u.

enye fur ninyi: p. 40, Z. 5 u. 6 €nvc, wajinga watatu.

Bei den persdonlichen Ftirwdodrtern beim Verb tritt in der JII. pcrs. sing. der 1 KI statt a die Form ya, die sich an dic altce Form vu anlehnt, schr ott und bei fast allen Er- zihlern auf, wie ein Blick in cinen der Tesrte sofort er- kennen lisst. Am hiufigsten ist dies der Fall bei den weniger mit Zanzibar-Leuten in Bertihrung kommenden Erzihlern wie Muhemedi bin Diwani Tambaza, Waziri bin Diwani Tambaza, Muhemcedi bin Madigani und Mwenyi Hija bin Shomari.

Neben dicsen bciden Formen kommt auch.o (gespr. wie kurzes ii) ftir die III. pers. sing. und we (wi) fur die III. pers. plur. der L KI und zwar meist bcim pertect vor z. B.

emetukhada'a p. 8, Z. 15; emelifutika p. 11, Z.2 v. u.; cmetughuli P. 15, Z. 14; cmcchoma p. 15, Z. 15; emcetia, emepakia p. 15, Z. 16; emcnituma Pp. I7 Mitc; emeshika p. 22, Z. 6; emekufa p. 24, Z:9; emenona Pp. 24, Z.9 Vv.u.; emewasili p. 25, Z.9; cmcekaa, emeshika P. 27, Z. 1; cmcejinamia Pp. 27, Z. 4; emeniponya Pp. 37, Z. 14; cemekaa Pp. 30 Mitte; cemejuaje p. 40 Mitte; emekuja p. 42, Z. 5; emewafuata P. 42, Z. 14; emekaa p. 42, Z. 14; cmewafuata p. 43, Z. 7; emekuja, emekwenda p. 48 Mitte; emcekuja p. 48, Z. 4 v. u.; cmemtongozea P. 50, Z. 4; cmenishinda p. 54 Mitte; cmcingia p. 69 Mitte; cmefanya p. z0, Z.2 v.u.; cmemwambia p. 70, Z.t v.u.; emechoka, emeduru p. Z71, Z. 11 v.u.; emetuponya p. 72, Z.2; cemeamriwa Pp. 76, Z. 10; cmekutuma P- 77, Z.6 v. u.; cmetutia p. 81, Z.5 v.u.; emekuja p. 82, Z. 12 v.u.; emckufa p. 82, Z.8 v. u.; cmekuta p. 83, Z. 2; cmekuwa p. 84, Z. 15 v. U.; cmesimama p. 84, Z. 13 v. u.; emcenea p. 84, Z. 7 Vv. u.; emetoa p. 85, Z.9 v.u.; emekua p. 86, Z. 10 v.u.; emesahau p. 87, Z. 12; emekhitimu p. 88, Z.8: emejua p. 88, Z. 10; emekwisha p. 88, Z. 16; emclala, cmelia p. 89, Z. 18; cmewceka p. 07, Z.2 v. u.; cmekwenda p.o8, Z. 1; emekaa p. 98, Z. 2; cmcchukua p. 98, Z. 13 v.u.; cemceji- pakaza, emegeuka, emekuwa p. 98, Z.7 v. u.; cemcnikata p. 99, Z. 16; emcefutika p. 108, Z. 13 v.u.; cmekaa p. 108, Z.9 v.u.; emekuja p. 115, Z.11u.2v.u.; emcerudi p. 1106, Z. 9; emcekimbia p. 117, Z. 2; emefanza P. 148, Z. 7; emegcuka p. 148, Z. 9 v. u.; cmenifaa p. 149, Z.8; emekaa Pp. 150, Z. 1; emekwenda p. 151, Z. 14; cmekuwa Pp. 168, Z.7 Yu.

KIK

wemcekaa p. 7 Mitte; wemelala p. 77, Z.6 v.u.

In einigen Fillen tritt diesc auch im praesens auf, z.B.:

encosimama Pp. 1, Z. 13; enedawiwa p. 22, Z.9; ewe p. 31, 2.14; enceokwenda p. 37, Z. 8; eneokaa p. 41, Z. 10; enekokwenda, enckorudi p. 43, Z.i1i Vv. U.; cewe Pp. 110, Z. 9 Vv. Uu.; cnevompenda p. 148, Z.2 v.u.

Einmal kommt die Form yuna fur ana vor p. 135, Z.1.

Beim Futur ist die hiufige Auslassung des pron. pcrs. der 1. pers. ni zu erwihnen:

tafanyaje p.2, Z. 13; takwenda p.2, Z.3 v.u.; takupa p.5, Z. 21; tafanyiza p. 12 Mitte; tampa p. :4,Z.14, Z. 2; takwenda p. 1:19, Z.8, 11 v. U.; tapewa, takuoza p. 20 Mitte; takupa p. 27 Mitte; tarudi p. 35, Z.4 Vv.u.; tafanza p. 55, Z.6 v.u.; tamwambia p. 56 Mitte; takupa p- 58 Mitte; takuoa p. 59, Z. 9; takunyanganya p. 59, Z. 13; tafanza p. 64, Z. 11; takwenda p. 64 Mitte; tawaua p. 101, Z. 12; tawaziisha p. 123 Z.3 v. u.; takuja p. 130 Z.?2 v.; takuletea p. 132 Z. 4; taingia p. 132 Z. 9; takwenda p. 135 Z. 12 v. u.; takupa p. 139 Mitte; taku- shushia p. 142 Z. 3.

Bei den Formcen des Zeitworts mit cingeschobenem ka fallt in der JI. pers. sing. der I KI. das pronom. pers. a (ya) oft aus:

kaniula p. 23 Z.4 Vv. u.; kanitolea p. 24 Z. 12 Vv. u,; kaitoaje p. 24 Z. 11 v. Uu.; kamambia p. 32 Z. 10; kakaa p. 32 Z. 7 v.u.; ka- sema p. 32 Z. 5 v. u.; kafanyiza shauri p. 33 Z. 4 v. u.; kalala p. 39 Z. 6; kanipa p. 39 Mitte; kaninyanganya p. 41 Z. 5; kawacha p. 46 Mitte; kazuia p. 46 Z. 11 v. u.; kanitongoza p. 50 Z. 1; kamzaa p. 50 Z.2 v. u.; kamwambia p. 51 Z. 3; kanena p. 57 Z.7 v.u.; ka- mambia p. 54 Z. 2, 3; kamusia p. 59 Z. 7; kawambia p. 59 Z. 16; kamchukua p. 59 Mitte; kaficha p. 63 Z. 3 v. u.; kaua p. 64 Z. 8; kainama p. 93 Z. 4; kauawa p. 1ig Z. 2; kanena p. 120 Mitte; ke- nenda p. 122 Z. 12; kamwambia p. 125 Z. 8; kamjibu p. 125 Z. 5 V. u.; kamjibu p. 126 Z. 9; katatuta, kaifunga, kamwona, kaingia, ka- mwambia p. 126 2.11 —8wv.u.

Vereinzelt kommt auch das Fitirwort der IL pers. in Wegfall; in einem Falle auch das der 1 pers.:

kanitolea (ttir ukanitolea) p. 22, Z. 4 Vv.U.; kalete (uk.) p. 29. Z. 12; kamtwae (uk.) p. 136, Z. 14 v. u.; kasimamc p. 137, Z. 5; kaniangulie Pp.137, Z.4 v.u.; kanivulie p. 141, Z.12 v. u.; kalitwae p. 142 Mitte; kamlete (nikamlete) p. 85, Z. 5;

Das ecingeschobence ka (und) lautet in sechr vicelen Fillen ki.

KK

An der Kuiste scheint dics schr Ublich zu sein, wie cin Blick in irgend einen der Testc z. B. sultani wa kisiwa na sultani wa barra, Zcigt, in dem fast durchweg ki fur ka gebraucht ist.

Umgekchrt finden wir auch ka wo wir ki erwarten sollten, jedoch nur scehr vercinzelt z. B.:

akamwona baba vyake akasta'ajjabu p. z0 mittc; lakini tukapigana hapa utakufa weye p. 72, Z. 6; ukasikia ,,mfunge" p. 75, Z. 13 V. U.; ukasikia kimya p, 75, Z. 11 Y. u.; ukasikilikana utashinshwa Pp. 76, Z. 13, v. u; ukasikia kimya p. 77 Mitte; japo kama yakanila p. 87, Z. 17; mkamregeza atakimbia p. 109, Z.3; ukaona kitambaa p. 157, Mitte.

Auch die Verwechselung von ,ki wenn“ mit,,po als“ kommt dfter vor z. B.:

akiona nyama ile p. 5, Z. 12; akimtezama yule ndege p. 74 Z. 5; akiona mji yule mkubwa p. 74, Z. 13 v. u.; akikamata miguu yule ndege akapupurika p. 76 Z. 2; akiona jeshi inakuja p. 81, Z. 16; akijongea katika maji p. 91. Z. 8; yakirejea baharini p. 100, Z. 7 V.u.; akifika kwa sultani p. 100, Z. 3 Vv. u.; wakimwona wale vijana p. 104, Z. 10; yule frasi wake wakimwona ndugu yao p. 107, Z. 1; waki- mwona wale vijana p. iit, Z. 10 v. u.; wakimfika ameshughulika Pp. 125, Z. 9.

Das Verbalsuffiz vyo (so) lautet an der Kiiste eben so hiiufig vo wie vyo z. B.:

wanavofanviza p. 7, Z. 9; tulivoagana p. 22, Z. 6; alivosema P-. 24 Mitte; ilivopita p. 25, Z. 2; ilivokuwa p. 41, Z. 12 v. u.; vali- vopanda p. 47, Z. 6; aliyomwambia p. 51 Mitte; wanavosema p. 52, Z. 8; unavoingia p. 56, Z. 2; nnavotaka p. 57, Z. 3; alivomwona Pp. 57, Z. 2 vy. u.; aliyvomambia p. 59, Z. 1; unavotaka p.63, Z.9vV.u. alivotaka p. 64, Z. 7; mtakavo p. 65 Mitte; hivo atakavofanyiza p. 66, Z. 7; walivomtupa p. 66, Z. 9; alivosikia p. 67 Mitte; alivoikamata P. 67 Mitte; inavolia p. 68, Z.6 v. u.; hivo alivoipata p. 68, Z.3 V. u.; alivomwambia p, 70 Mitte; unavopendwa p. 79, Z. 2, V. U.; alivom- pata p. 82, Z. 6; alivoinama p. 82, Z. 15 v. u.; ntavousemesha p. 83. Z. 3 v. u.; itavolia p. 86, Z. 3; yanavosema p. 836, Z. 6; wanavokosa p. 87, Z. 9; utavonitenda p. g0, Z. 8; hivo, ndivo ulivotaka Pp. 91, Z. 14; valiyokwenda p. 94, Z. 17; alivyonambia p. 96, Z. 14 und 10 vy. Uu.; anavokwenda p. 111, Z. 5; alivoeleza p. 122, Z. 2 v. u.; nili- vojipamba p. 130, Z. 5; utakavo p. 131, Z. 8; walivofuatana p. 132, Z. 3 v. u.; valivo p. 135, Z. 7 v. u.; ulivo p. 135, Z.4 V. Uu.; walivo- amurwa p. 130 Mittce; ulivoniona p. 138, Z. 8; hivo ulivonipa p. 139, 7. 12 v. u.: alivofanviza p. 140, Z. 3; wanavokaa p. 143, Z. 2 V. U;

KZI

nilivofundishwa p. 155 Mitte; alivosikia p. 156, Z. 15; ndivo alivo P- 159, Z. 6 V. U,

Vereinzelt kommt auch vo ftir po (als) vor z.B.:

ulivokuchwa p. 6, Z. 7 v. u.; atakavouawa p. 65 Mitte; uli- vokuwa p. 124, Z. 3 Y. u.; alivouza p. 155, Z.2; ulivofungwa p. 150 Mitte; walivogurubia p. 156, Z. 2 v. u.

Beim Passiv lautet ,,von und durch"“in den Nordbe- zirken Pangani und Tanga mcist ni statt na z. B.:

atakuja uawa ni mtoto wa tajiri fulani p. 92, Z. 3; asije kuuawa ni yule mtoto p. 92, Z. 13 v. u.; akashikwa ni harara p. 93, Z. 17; iliyoonekana ni wale waganga p. 93, Z. 6. v. Uu.; msionekane ni mtu P- 136, Z. 13; kama walivoamurwa ni bibi yao p. 136 Mitte; asione- kane hatta ni mtu mmoja p. 137, Z. 1.

Das veraltete Relativ ambaye oder ambaye kwamba kommtin diesen Testen dcs d#fteren vor:

Auch im mtindlichen Verkehr mit den Suaheli ist mir dasselbe zuweilen zu Ohren gekommen. St. Paul in seinem Suaheli-Handbuch p. 185 bestreitet das Vorkommen dieser Form. Da dicselbe in diesen Tezten allein siebenmal vorkommt, liisst sich mit Sicherheit anncehmen, dass sie noch ziemlich inGebrauch ist z.B.: akatafuta nyama anaye pembe, ambaye amekufa zamani p. 2, Z. 14; yuko mtu ambaye mzee p. 33, Z. 4; nisikilize maneno yambayo vatasema p. 47 Mitte; na kulla neno ambalo jema p. 129, Z. 11; selaha zangu za mali ambazo ni muth- mini p. 130, Z. 4; mkachimbe shimo ambalo ni pana p. 136, Z. 11; akampelekea sinia ya maandazi ambayo ya vyakula usiku p. 140, Z. 9 V.U.

Das Relativ der 1 KI lautet neben yeauch yo, welches die regelmissige ilterc Form und an der Kiste sehr ge- briuchlich ist z. B.:

aliyotolewa p. 24, Z.13 v. u.; aliyotongoza p. 48 Mitte; aliyom- zaa p. 50, Z.2 v. u.; niliyoota p. 51 Mitte; anayokaa p. 51, Z. 10 v. U; aliyomponya p. 53, Z. !; anayosangaa, aliyoweka, asiyoweza P- 53 Mitte; anayonipa p. 53, Z. 8 v. u.; aliyotaka p. 54, Z. 13 v. Uu.; aliyo p. 55, Z. 3; uliyotaka p. 55, Z. 3; umtakayo p. 72, Z. 4; aliyoza- hwa p. 75, Z. 2; unayokwiba p. 79, Z.4V. uU.; aliyopata p. 82, Z. 10; aliyompata p. 82, Z. 15; nimjuayo p. 82, Z. 9 Vv. u.; aliyotiwa p. 83, Z. 8; niliyosafiri p. 83, Z. 15 v. u.; asiyo p. 84, Z. 13; uliyomtaka Pp. 85, Z. 9; niliyompata p. 85, Z. 5 v. u.; uliyozipata p. 86, Z. 5; niliyomzaa p. 87, Z. 14; atakayokuuliza p. 87, Z. 16; atayomlea p. 87, Z. 17; unayokwisha p. 97, Z. 8; aliyookota p. 98, Z. 11 v.u.; uliyo- kuwa nayo p. 99, Z. 17; aliyomnyima p. 99, Z.9vV. u.; ndiyo aliyonipa p: 100, Z. 1; aliyozaa p. 104 Mitte; anayompenda p. 108 Mitte; niliyo—

KIKI

mwacha p. 110, Z. 6; alivyokuza p. 110, Z. 13; anayokuja p. 111, Z. 12 v. u.; umtakavo p. 113, Z. 7,090; aliyooa p. 115, Z. 1; aliyoingia Pp. 115, Z. 35 v. u.; niliyomleta p. 11:16, Z. 13 v. u.; aliyokuja p. 117, Z. 2; aliyomfumaniza p. 117, Z. 10 v. u.: aliyokuja, aliyozini, aliyokuwako, aliyokufa p. 1:8 Mittc; aliyomwuzi p. 119, Z. 4; aliyo p. 119, Z. 8; aliyomwambia p. 1109, Z. 8 v. u.; aliyokwenda p. 119, Z. 7 v.u;; uli- yomzaa, aliyomlea p. 128, Z. 15; aliyomtoa p. 146, Z. 1; anayogeuka p. 146, Z. 6; anayompenda p. 130. Z. 11; anayofanya p. 146, Z. 12; aliyofungwa p. 146, Z. 16; aliyouza p. 148 Mitte; ulivomtafuta p. 148, Z. 6 v. u.; asivojua p. 150, Z. 9; aliyozaliwa p. 1533, Z. Ii v. u.; ali- yokuja p. 161, Z. 3; aliyotupa p. 167 Mitt.

In Relativsitzen, in denen das Relativum Objcct ist. werden der Grammatik nach dem Vcerbum das cinfache Rc- lativ-Pronomen, gcfolgt vom persO0nlichen Object-Prifis, vorgesetzt. In unscren Teszten ist dic Auslassung dcs letz- teren ziemlich hiufig z. B.:

hadithi tuliyosikia p. 2, Z. 6; mazambi uliyofanjiza p. 5, Z. 2 v. Uu.; na aliyonena Abu Nuwssi p. 9 Z. 2 v. u.; khabari ile unavo- taka p. 10 Z. 13; maneno anayosema mwenzio p. 23 Mitte; kwa sa- babu ile naziri aliyoweka p. 26 Z. 0; khassa mali uliyopewa p. 38 Z. 13; kulla neno wanalosema p. 42 Z. 15; nguo ya chini aliyovaa Pp. 42 Z. 7 v. u.; kula maneno mlivyosikia p. 44 Mittce; kulla neno unalotaka p. 64 Z. 15; ncno analotaka p. 64 Mitte; neno gani unalotaka p. 64 Z. 133 v. u.; kulla kitu unachotaka p. 644 Z. 12 v. u.; ngoma tuliyotaka p. 68, Z. 5 v. u.; 'ahadi yetu tuliyoweka p. 89 Z. 2; dawa hizi wanazofanviza p. 96 Z. 3 V. u; khabari alizofanyiza p. 100 Z. 2; fimbo zangu nilizopigwa p. 109 Z.8 v. u.; gissa ulichokaa p. 109 Z.5 v. u.; gadiri utakaloona p. 112 Z.7; amana uliyopewa p. 114 Z. 13; yamini aliyoapa p. 119 Z. 3;- yale maneno ya vule mzee anayosema p. 120 Mittc; kwa yale maneno ali- yosema vule mzcce p. 120 Z. 5 v. U.; vale maagano waliyoaganagana Pp. 132 Z. 5 v. u. khabari alizofanya p. 134 Z. 16; mambo yote aliyo- fanya mke p. 134 Mittc; mambo waliyofanviza p. 136 Z. 1; haggi yangu twaliyoagana p. 130 Mittce; zile gartasi alizoandika p. 140 Z. 3 v. U,; maneno yote aliyoandika Z. i41 Z. 4; kulla kitu cha kike wa- nachovaa p. 152 Z. 2.

Dic Umgchung des Relativs, dice wir bei ungebildeteren Suaheli und vorncehmlich bei Lcuten, die aus dem Inncrn zur Ktste kommen und das Suaheli crlernen, hiufig zu horen bekommen, haben wir in vereinzelten Fillen auch hier zu vyerzcichncn, z. B.:

KIKI

akapawa jiwe limepasuka (statt lililopasuka) p. it Z.4 vu. takupa bei unaitaka p. 58 Mitte; njia va garibu si njia, afadali ya mbali unaijua p. 60 Z. 1 v. u.; illa wagati ulitaka weye p. 125 Z. 11 v. u.; wakamthannia ni kitwana Gorjia wa sultani analeta halua Pp. 133 Z. 9; una mtu juu aulinda p. 167 Z. 10.

Bei Relativsitzen und inden Zeitwortformen mit cin- geschobencm po lautet das taka dcs Futurs in so vielen Fillen ta bei den vyerschicdenen Erzihlcrn, dass diesc Form nceben der andern gebriaiuchlich erscheint, z. B.:

utapokwenda utasikia watu Pp. 77 Mitte; na siku atayokuja p. 84 Z. 5; nani atayokwenda kumlea p. 87 Z. 6; hapana atayokuuliza p. 87 Z. 16; nani atayomlea p. 87 Mitte; vitendo utavonitenda p. g0 Z. 10; illa kwa sa'a itafaavo (fr itakayofaa oder ifaayo) p. 125 Z. 14 etc.

na (und) tritt hiufig im Sinnc von <auch> auf,z. B.:

lete na sogi p. 10 Mittc; akaokota na kuni p. 22 Z. 12 v.u.; vakavua na fulana, yakavua na nguo, yakavua na mfuko p. 42 Z. 7 v. u.; yakachukua na ndege p. 80 Z. 14 v. u.; twende zetu na ninyi p. 83i Z. 4; akanipa na mke vulc p. 85 Z. 10; ulete na upanga p. 85, Z. 5 v. u.; nietcc na ngoma p. 86, Z. 1; akanunua na boriti p. 87 Z. 2; akaifanya na bustani p. 92 Z. t0; akapanda na matunda yote p. 92 Z. 10; usiondoke na wewe p. 102 Z. 1 v. u.; yule mtoto wa waziri akaoza mke naye p. io Z. 53 Vv.U.; kwa nini na wewe husafiri p. iti Z. 5; ukileta na zawadi p. iji Z. 6; nataka na kitu unipe p. 120 Z. 11; kuikimbia na ile harusi Pp. 129 Z. 6 v. u.; akampimia na halua vake p. 132 Z.7 Vv. u.; ata na shughli zako p. igo Mittc; na mimi nitoc p. 147 Z. 1 v. u.; akaon- doka na maskini p. 148 Z. 5; yakazaa na mtoto p. 148 Z. 16; akatia na kisu kidogo p. 153 Z. 8 v. u.; linifac na miye p. 155 Z. 12; ana na fedda, ana na mkewe mzuri p. 164 Z. ir v. u.: wakatwaa na miti p. 164 Z. 1 v. u.; wakagubali na Banyani p. 166 Z. 10; akapewa na nyama p. 166 Mitt.

In yereinzelten Fillen kommt na in der Bedeutung von valso", ,so“ vor, z. B.:

na tufanyize hikima p. 11 Z. 6; na tusafiri p. 65, Z. 4; na tuoe p-: 86 Z.16 v.u.; na tukae pamoja p.93 Z. 14; na vije vita p. 161 Z.5.

Mwanamke na paka.

paka aliondoka akakaa nyumbani mwa mwanamke mmoja. siku moja mwanamke akamambia!): ,,paka, mimi ntakupa usimamizi wangu." paka akamambia: ,,nimegirri?) kusimamia, lakini usimamizi gani uta- kaonipa?“ mwanamke akamjibu: ,,nitakupa usimamizi wa jikoni pale, nikesha?) pika; ntakuachia samaki ya kungojea, ma'ana nikesha pika - husinzia?).“ paka akamjibu: ,,nimegirri kungojea.”

hatta siku moja alipokwisha pika, paka akamambia: ,,kikaango acha wazi.” naye mwanamke yakagirri?) kuacha wazi.

aliposinzia mwanamke, paka akatazama samaki ndani ya kikaango, mate yanamtondoka$); mwisho akasema: ,,ntakula". hatta alipoamka mwanamke, yakaona chunguni hamna kitu; akamambia: ,.,gissi”) gani, mbona chunguni hamna kitu?" paka akamambia: , twende tukaulize sheri'a?), kama eneosimamia?) hapewi chakula?“ mwanamke akampiga

akamfukuza, akasimamia mwenyewe vyungu vyake, akavifunika.

Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

1) Diese Schreibweise ist akamwambia vorzuziehen, da fiir gewdhn- lich beim Sprechen das kurze u (w) nicht horbar ist. Ich habe iiberall : da, wo es bei der Erzahlung deutlich zu horen war, dasselbe gesetzt, im anderen Falle weggelassen. 7) ar. festmachen, bestitigen. 3) nikiisha. 4) Ein Schlifchen machen. 9) akagirri; ya fir a III pers. an der Kiiste hiaufig. $) Das Wasser im Munde zusammenlaufen. 7) ar. Art, suah. gissi, ginsi, jissi und jinsi. $) ar. Gesetz. 7?) anayesimamia.

Paka na panya.

Paka moja akamkuta panya, aliyetoka majini. alipomwona, alitaka kumkamata, yamle.!) yule panya akafanyiza shauri, akasema kuwa?): ningoje,?) sasa hivi maji mengi mwilini mwangu, ngoja nikauke.“ wakaja wakashuka katika inchi kavu ya mchanga, wakakaa kitako.

1) amle. 2) kuwa, ya kwamba, ya kama dienen hiaufig zur Ein- fuhrung direkter Rede. 3) uningojee.

Velten, Suaheli-Marchen. I

yule paka alitaka tenna kumkamata yule panya; panya akasema:

mbado,!) maji yako“. akachimba tartibu?) huku na huku marra ameshuka chini, akamambia yule paka: ,,njoo, unikamate sasa!" na yeye akamkimbia Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi.

1) bado noch nicht; beim Verb steht neben ja ,,noch nicht” hiufig noch bado. 7) ar. Ordnung, im suah. auch sachte, leise, vorsichtig. bana tartibu nennt der Suaheli den ruhigen, bedichtigen und fiir jedermann zu- ganglichen Europier.

nyama wenyi pembe na fissi.

aida!) na hadithi,?) tuliyosikia na watu wazima. wakisema wali- sema: ,,hapo zamani ya kwanza walikutana nyama msituni?) wakasema: mtufanyize karamu), walakini katika karamu yetu kwa kulla nyama, anayo pembe, na aje bassi; hiyo nyama, asiyo pembe, asije". bassi wakakutana jami'ei?) ya nyama wanao pembe, wakafanyiza karamu kubwa sana na vitu vingi sana.

fissi alisikia khabari hii, akaondoka kwenda kutazama karamu, aitaka, naye hana pembe. akasema: ,tafanyaje?) hatta enende?) karamuni?" marra akaona shauri jema. akenda akatafuta nyama anaye pembe, am- baye?) amekufa zamani mwituni. akaiona, akazitwaa pembe za yule nyama aliyokufa. akatafuta nta akajibandika kichwani, akapandika zile pembe, akaenenda katika ile karamu.

hatta zamani za mchana jua kali, ile nta ikayayuka kwa jua, na karamu haijesha?) bado. akazitwaa pembe, akazizuia kwa mikono aka- wambia: ,jama'a!!) fanyeni mambo upesi upesi, kwani wengine tuna za mjombokelo!!); nafsi yake asema: ,,wengine tuna pembe zaanguka".!?2) bassi katika nyama wenziwe wakajua fissi hana pembe; yatufanyia urevu“, wakamfukuza. Mwenyi Hija bin Shomari.

1) ar. gleichfalls, ebenfalls, ferner. 2) ar, Neuigkeit, Erzihlung. 3) neben mwituni. 9) ar. Fest. 9) ar. all, versammelt. $) nitafanyaje. 7) nienende. $) veraltetes, hin und wieder noch angewandtes Relativ von amba ambia sagen, zuweilen auch ambaye kwamba. 9) haijaisha.

10) ar. Versammlung. 11) pembe za mjombokelo; mjombokelo wohi| Kissa- ramo. 12) zinaanguka.

kima na chui.

akaondoka kima, akasema: ,,mimi sina nguvu, takwenda!) kwa mtu mwenyi nguvu hamtake?) urafigi.” akenenda kwa chui, akam- fanya urafigi.

1) nitakwenda. 72) fiir nikamtake.

3

wakakaa; hatta siku moja wakaondoka, wakaenenda hatta waka- fika shinani pa mti mkubwa. wapumzike pale. na ule mti una miba mingi. yule chui akamwambia kima: ,?wel) kima, waweza ku- keleza?) mti? ukeleze, ukatazama upande unao vita na upande unao amani.” 3)

yule kima akakeleza mle mtini, akafika kattikatti, akapapura na miba, ikatoka damu, ikatona chini. yule chui, alipokuja ona damu ya rafigiye1) imetona, akairamba. ile kima akitunza mbali shinani pa mti, akitazama damu yake yarambwa na rafigiye akafanya khofu.) chui akamwuliza kima: ,,upande gani unao vita?" kima akasema: “nimetazama kwa kulla upande, sikuona vita, walakini vita nimeviona hapa shinani pa mti, ndipo panapo vita.” kima akafanya khofu, asi- shuke tenna juu ya mti, na urafigi ukavunjika.

Mwenyi Hija bin Shomari.

1) wewe; als Anruf ist ewe gebrauchlich, z. B. ewe mwenyi ma-

dafu, ewe mwenyi mikuki njoo hapa; eine andere Kiirzung von wewe ist

wee, z. B. mwongo wee. 7?) keleza klettern. 3) ar. Sicherheit, Friede. 4) vafigi yake. 9) ar. Angst.

Simba na kibana Wasi.”

aliondoka simba, akamtuma kibana Wasi, akamwambia: ,,enenda pahali kaza wa kaza?), tenna upesi urudi."

akenenda kibana Wasi, akafanyiza shughli?) zake, walla asijue kambani nimetumwa na simba?" akakaa sana huko, sababu ana- ogopa kurudi. hatta simba akaghadabika?), akatoa “askari9), akenda aka- twaliwa kibana Wasi, akaja. simba akamwambia: ,,kwani?) kutaakhkhari$) nilikokutuma?" ' akamwambia: ,,nalikutana na mwenzio?), akanizuia, nayo!) yuko mahali kaza wa kaza.“ simba akamwambia: ,,vema, tuenende“.

wakenenda hatta katika kisima kikubwa, na ndani mna maji mengi. akamwambia simba: ,,mwenzio yumo ndani ya kisima.“ simba akata- zama akajiona mwenyewe, ya'ani!1) lile jivuli??) lake, naye haijui sura ?) yake. alipoiona sura yake mule/4) ndani ya maji, athanni 9) ni mwen-

ziwe, akaingia ndani ya kisima kwenda kupigana naye, akazama. Mwenyi Hija bin Shomari.

1) kibana Wasi wird der sungura (Hase) genannt, der in der Thier- fabel bei den Suaheli die Rolle unseres Fuchses spielt. (Wohl von Abu Nuwasi gebildet, siehe Geschichten des Abu Nuwasi weiter unten.) 7?) ar. so und so. 939) ar. Geschift, Arbeit. $) Zusammengezogen aus ya kwamba nini. 9) ar. erziirnt sein. $) ar. Heer, Soldat. 7) kwa nini. $) ar. ver- spiten. 9) mwenzi wako. 10) naye. 11) namlich. 12) gewcohnlich kivuli, jivuli grosser Schatten. 13) ar. Form, Gestalt, Gesicht. 14) mle und mule kommen nebeneinander vor. 19) ar. glauben, meinen,

1”

Sungura na fissi.

Alitokea sungura akafanya urafigi!) na fissi, wakikaa siku nyingi. hatta siku hiyo yakamwambia?): ,,nataka, twende kwetu." fissi yaka- mwambia: ,,twende". yakamwambia: ,fanyiza mikate sab'a". yakam- wambia: ,vema”, fissi yakafanyiza mikate. akamwambia: ,,haya, twende zetu“. fissi yakamwambia: ,,tunakwenda wapi?" yakimwambia?): kwetu, kuwatezama?) wazee wetu; haya, twende".

wakenda zao hatta wakaona njiani pana mto wa maji mengi. sungura akamwambia: ,,ningoje hapa, ukiniona nimekawilia, vuka mto, uende ukaningojee njiani; na hapo unapovuka, utaambiwa ,,tupa mkate" bassi utupe, ndio utaponya"“. fissi akamwambia: ,,vema"“. wakenenda, hatta wakafika mtoni. sungura akamwambia: ,,ningoje, nakwenda chooni; ukiniona nimekawilia, vuka. hapo utapopita ukaam- biwa ,tupa mkate“ bassi utupe, upate kujiponya". yakenda?) sungura, akazama mbalimbali, akikawilia, fissi akavuka.

alipokwenda, akaambiwa: ,tupa mkate". fissi akisema: ,,ndio aliyonambia rafigi yangu sungura“; yakitupa fissi mkate majini. sungura huwapo chini, yakaudaka kwa kinywa, yakakawilia kuvuka. akam- ambiaje fissi? ,,huko nilikovukia mimi, nilitaka kuuawa, lakini ajali) yangu bado. sasa njaa inauma, ninakula mikate yangu". fissi akam- wambia: ,na mimi". sungura akamwambia: ,,yako iko wapi, mikate yako” fissi akanena: ,,hukuniambia, ukivuka ukisikia ,tupa”, bassi utupe” nikasikia, nami nikatupa mkate“. sungura yakimwambia: ,,una wazimu wewe, kuna mtu husema ,tupa mkate?" sungura yakila?) mkate wake, na rafigi yake hakumpa.

alipokwisha kula, yakamwambia: ,,twende". wakenda zao hatta wakafika shamba kubwa sana la miwa. yakimwambia: ,,rafigi yangu fissi, miwa ya watu hiyo usikate, kata midete?), nami nakata midete' sungura yazunguka?), yakikata!?) miwa juu ya ukubwa wake. hatta wakafika mahali, panapo kivuli, wakakaa kitako, yakanena: nishuke midete yangu“. yakatezama yakaona miwa, na fissi yakinena: ,,na mimi nishuke midetc yangu, yakitezama midete; yakamwambia: ,,yangu midete, rafigi yangu“. yakamwambia: ,,ujinga wako mwenyewe, kwa nini usikate miwa, ukenda ukakata midete?"

wakatoka, wakenda zao hatta mahali panapo mti mkubwa, wakakaa kitako, yakamambia: ,,sasa tunakwenda huko nyumbani kwa

1) rafigi, ar. Freund. “) akamwambia. 7) akamwambia; Verwechse- lung von ki und ka ist schr hiaufig. ') neben tazama. ?) akaenda. $) ar. Ziel. ") akala, $) trockenes Zuckerrohr, das weniger schmackhaft ist. ”) akazunguka. '?) akakata.

5

wazee wetu, hii dawa nakuonyesha ya homa, na hii ningine ya tumbo na hi ningine ya uvimbi".

wakatoka wakenda zao, hatta wakafika nyumbani kwa wazee. wakapikiwa chakula. sungura akajitia ugonywa, akasema: ,,rafigi yangu, siwezi, tumbo linaniuma, nenda kanitwalie!) dawa ya tumbo kule nilikokwambia".

fssi akaondoka mbio, akaenenda?) akaichukua dawa, akalileta. akamfikia?), sungura amekwisha kula chakula pekeyake, na ugonywa umekwisha pona. akimambiaf): ,,sasa iweke dawa“.

wakakaa, hatta usiku wakatandikiwa mahali pa kulala. sungura akatiwa chumba cha kuku, na fissi akatiwa chumba cha mbuzi. na fissi ana njaa ya siku kumi, akiona nyama ile ya mbuzi, roho?) ikam- toka, akamrukia mbuzi moja yakamwua.

Muhemedi bin Madigani " aus Magogoni.

!) .ukanitwalie, relative Form von twaa. 3) neben akaenda und akenda. 9) akimfikia oder besser alipomfikia. “) akamambia. 9) ar. Seele.

Fissi.

walikuwa watu wawili, mtu na rafigi yake, walikuwa na shindana. mmoja akasema kama: ,.hapana mtu anayeweza kusilimisha!) fissi kuwa Islamu, kwani nyama wote husilimishwa, huwa welevu?), lakini fissi sikupata kumwona kusilimishwa". rafigi yake akanena: ,,mimi ntaweza kumsilimisha”“. rafigi yake kanena: ,,huwezi, ukiweza ntakupa reale mia u themanin“. akasema: ,,vema, ':na miye kama sikuweza, takupa?) reale miteni"“.

wakenda wakakamata fissi, wakalichukua. rafigi yake akamambia kama: ,,sasa kalisilimishe."

akenda akawa nalo siku kaza wa kaza katika vifungo, halipi fissi chakula shurti) kwa siku ya tatu hatta siku ya tatu. khalafu fissi ameshikwa na njaa, akanena: ,,miye ntakufa katika vifungo". yule bin Adamu akamambia: ,,mimi ntaweza fanya shauri usife; ukinifanzia shuruti ya kusilimu, ufuate dini?), ntakufungulia nikupe vyakula“. akajibu: ,,vema, ntasilimu, lakini nambie namna ya kusilimu Usilamu, huwaje? vitu vya haramf) na vitu vya halali?) nataka unambie". yule bin Adam akanena: ,,kama unataka kusilimu, neno la kwanza mtu husali?) na kusoma; ukiomba muungu, mazambi?) uliyofanyiza yaki- pungua, na kulla kitu atakupa, lakini usile nyamafu), kwani nyamafu

') bekehren. 7) werevu. 9) nitakupa. 1) ar. Bedingung. 5) ar. Glaube, Religion. $) ar. verboten. 7) ar. erlaubt. 9) ar. beten. 9) ar. Siinde. 9) Aas.

6

haram, na bin Adam haram. ukila nyama ya kuchinshwa ndio nyama ya halali“. lile fissi akamjibu, akamambia: ,,vema, sili nyama bin Adam walla nyamafu, lakini kama nakwenda njiani, pahali pasipo mtu, pasicho kitu chakula, na miye nimekuta nyamafu katika njiani, ntafanyaje? mtu hula, amma mtu hali?” akamambia: ,,mtu hali, sababu haram, stahamili!) hatta ufike penyi watu”. bassi, ntapitaje katika njia, nacho kipinda?) kiko katika njia?" akasema: pita upande mwingine mkono mshoto?) amma mkono mwume". akamambia: ,,Jakini njia huku nyembamba na upande huu mwembamba, ntapitaje? na miye ntamguza?"” asema: ,,bassi, mruke upite kattikatti“. akasema: ,,nikianguka katika nyama, hokumu yake nini?“ akamjibu: ,,hokumu yake wewe fisi tenna, hukuwa Islam“. akamambia: ,,bassi, nisamehe, siwezi kuwa Islamu. ukipita upande huu usikiguze kipinda, ukipita upande mwingine usikiguze, ukiruka ukianguka haram, bassi neno gani la halali? afadali nirejee katika ufissi. Selim bin Abakari.

!) ar. geduldig abwarten, 7) Aas. $) meist mkono wa kushoto und mkono wa kuume oder wa kulia.

Mtoto wa tajiri!) na mtoto wa maskini.

yalitokea?) mtoto wa tajiri, na mtoto wa maskini yakimfanyiza 9?) rafigi yake. baba yake na mama yake marra nyingi wakimambiaf: mwewe maskini, ya nini?) kufanyiza urafigi na mtoto wa tajiri?” yule mtoto yakishitaddi?) kutaka usahibu?) na yule rafigi yake, mtoto wa tajiri.

wakikaa siku nyingi na miezi mingi, hatta yule rafigi yake yaki- mambia?): ,,twende tusafiri barra". yakimambia: ,,;twende“. wakifanya mikate mingi sana. wakilala hatta usiku ulivokuchwa?) asubuhi, wakija kuhimiza safari10) yao, wakipanda frasi!) zao, wakiomba muungu, wakitoa frasi wakenenda zao, hatta wakifika?) walipotaka.

wakafika mahali mbali sana, wakikuta punda na farasi) wengi. yakisema mtoto wa tajiri: ,,shauri gani ya hawa frasi wengi?" ,,tuwa- chukue kwetu, tukawauze, tupate fedda, tuharriji #) kwa haja yetu tuta- kayo“. yule mtoto wa maskini yakimambia: ,,haifai, haya mali ya watu;

1) ar. Kaufmann, reich. ?) alitokea. 3) akamfanyiza. $) wakamambia. >) neben kwa nini, $) ar. sich anstrengen. 7) ar. Freundschaft. 8) aka- mambia. 9) ulipokuchwa. 10) ar, Reise, im suah. fiir Karawane gebriauch- licher als msafara. 1) ar. Pferd. 12) wakafika. 13) neben frasi. 19) ar. hinausfiihren, ausgeben.

7

sisi tumekuja kutarazzagi!), tuwache tutarazzagi; labda?) muungu?) mkubwa, hapana mwingine tenna, wa amma mimi na wewe sikilizef) mudda wa siku kumi, muungu atatufariji?).” wakiwaacha wale punda na frasi wale, wakikaa pale.

yakitokea$) sungura, vakija?) na kusalia?), yakinena: ,,maskini! ninaomba, sipewi kitu; watu hawa watu gani, makafiri?) nini10) hawa?“ yule sungura amecheka kunena. yakitoka yule mtoto wa tajiri, yaki- mambia: ,,gissi gani, wewe hujui vibaya ,,maskini, maskini“, yanaombea cha!) kupewa na wote? nayo ndio ga'ida 2?) ya watu, wanavofanyiza 5), huruzigiwa'/4) na cho chote.”

majibu hayo anamjibu yule mtoto wa tajiri, yanamambia, akasi- kia yule mtoto wa maskini. na yule mtoto wa maskini yakimambia: hujui wewe, huyu sungura hataki kitu, yanataka hujaji?) yetu yai- pate, tuliyokujia, kama huna khabari wewe.”

yule mtoto wa tajiri yakimwambia: ,,kweli kama hivo, mkamate mfunge.“ yakikamatwa!$), yakifungwa sungura. wyakinena sungura: hamna khabari? mimi ni mtoto mfalme!?), na baba yangu yana mtoto mwanamke, tenna mzuri sana; tenna wawili hao!?) watoto, wenyewe mnapo, nifungulie, kulla mtu nitampa mojamoja."

wale vijana wakipata tama'a!??) ya yale maneno yake sungura, kwa ma'ana wemekaa??) siku nyingi, kulla moja yana hamu?!) ya mke. wakimfungulia yule sungura, yakenda zake msituni.

yalipofika kule kwao, yakileta vita vikubwa kuja wapiga wale vijana. wvikija vile vita, kuja wapiga wale watoto. na wale watoto wamesoma gorani sana wamesoma; wakiona vita vinakuja kutupiga. yule mtoto wa maskini yakincna: ,,shauri gani sasa? na wewe, ndio mwenyi mali, ujuaje kuyasirifu??) haya mali yako? wyasirifu, tuyaone tusije uliwa ??); na haya mali ni ya kuchuma, roho haichumi.“ yakimjibu: Sina neno jingine, illa ya kugawa mali haya, tuwape wao wachukue, sisi tupate kupona roho zetu.” yule mtoto wa maskini yakinena: ..haina haja kupotea mali yako, khalafu tukifika kwetu uje unambie ya kuwa: ,,mali yangu yasingalipotea illa huyu”, na mimi siwezi naza'a?i)."

1) ar. Kleinhandel treiben. 272) labuda, labda und vereinzelt auch lamda. 95) zu ergianzen mali ya muungu. 1) tusikilize. 9) ar. frei- machen, dvfinen. 9) akatokea. 7) akaja. $) woh!| falschlich fiir 0om- bea gebraucht. 9?) ar. Ungliubiger. 010) besser gani. 11) zu er- ganzen kitu. 12) ar. Grundlage, feststehende Sitte. 13) wanavyofanyiza. 14) ar. Lebensunterhalt geben. 13) von kuja ist hujaji, das Kommen, gebildet. 16) akakamatwa. 17) mtoto wa mfalme. 18) hawa. 19) ar. Verlangen. 20) wamekaa. 21) ar. Absicht, Sorge. 2) ar. wenden, beugen. 23) oder uawa. 21) ar, Zank, Streit.

8

walipokuja wale watu vita vile, yakiwazuia yule pekeyake, mtoto wa maskini. alimrukia frasi wake, yakijifunga upanga na jambia na mkuki na bundugi zake, yule kijana pekeyake, yule mtoto wa tajiri amejificha msituni. yakipigana vita vile, yeye pekeyake, hana mwenzi, yakiwafukuza wote, wakikimbia wakenenda zao.

yakarudi yakamtafuta yule kijana. hatta yakamwona yakisema: nhimewafukuza, wemekwenda!) zao na wengi nimewaua; na sasa chukua mali yako, yataharibika, ni afadali?) twende zetu kwetu."

wakienenda, hatta njiani wakimwona sungura, sijui kama ndio- ndio yuleyule) wanashindana; wakamkamata, wakitaka kumchinsha. sungura vakinenaf): ,,yama yangu mimi ngumu, hamwezi labda)?); mnifunge na mirara9), mnifunge; nikipata jua, ile nyama yangu itare- jea, mtakula kwa tartibu, walla hamioni?) kama ngumu." wakikhada- “ika$). hatta ile kamba ikayabisika?), yakiikata, yakenenda zake mwituni. watu wakimzomea, wakisema kama: ,,sungura emetukhada'a 99), na sisi tumekhada'ika na kinyama kidogo hiki sungura."

wakaja zao hatta wakafika mjini kwao. wakifurahi baba zao na mama zao, wakiuliza khabari ya barra iliyowafika, wakieleza yote, na watu wakisikia.

ndio khabari yangu ya uhadithi!!) huu, wa maana sana. Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) wamekwenda. 72) comp. es ist besser. 3) Die Verdoppelung driickt den besonderen Hinweis aus ,,0b es grade der ist", 4) aka- nena. 99) zu erganzen kula. 6) Palmblattstreifen. 7) hamwioni. 8) khada'a, betrigen. 9) ar. trocken. 10) ametukhbadata. 1) neben hadithi, ar. Erzahlung.

hadithi ya Abu Nuwasi.!)

Auwali yake huyu Abu Nuwasi jina lake Muhamed. na baba yake “Abdallah, gadi?) wa Haruni Alrashid. akikaa?) babake hatta zamani alipokuwa hawezi, akimwita mwanawe, akamambia: ,,nakuusia?) mwanangu nikifa ,,usiwe gadi, walla usiwe waziri kwa mfalme shika shughuli”) yako.”

1) Abti Nuwias war ein arabischer Dichter, geb. 762 n. Chr., gest. 815. Er zog durch seine Poesien die Gunst des Hofes in Bagdad auf sich und genoss die Freundschaft des Chalifen Hartdn. Seine Liebeslieder gehoren zu den besten der arabischen Poesie. Eine Menge heiterer Er- zahlungen laufen unter seinem Namen, die wie diese und die folgenden dem Arabischen entlehnt sind. “Jj ar. (geistliche) Richter. 9) akakaa. “) ar. cmpfchlen, vermachen. 9?) ar. Geschaft, Arbeit.

9

yalipomshika maradi!) baba yake, gadi “Abdallah, analaghalagha”) mauti”). yule mwanawe Muhamedi alipojua ya kama ,,baba yangu atakufa sasa hivi", akakusanya watoto, akachimbia mchi chini, akatwaa guzi la mnazi), akaweka juu ya mchi. akafanyiza ngamia, akitwaa?) makumbi ya minazi, yakiweka ndani ya guzi la mnazi, yakiweka juu ya ule mchi, akipanda juu yake, akiwambia watoto: ,,zungusheni hili guzi". wakazungusha, ikiwa mfano wa ngamia anayoshindika?) mafuta.

wakija watu, wakimpa khabari: ,,baba yako “Abdallah anataka kufa, yu katika laghalagha mauti". majibu yake aliyowajibu wale watu aliwambia: ,,Abu Nuwasi hushika shughli zake bassi, maana yake baba kaniusia, “Abdallah, gadi“.

akifa babake, akiletewa khabari ya kama: ,,baba yako amekufa“. majibu yake alinena: ,,Abu Nuwasi shughuli yake!" katika ngamia wake wa mnazi wakamhujuru”) watu, wakanena: ,,huyu ana wazimu". wakisimama kuzika babake wagati?) wa athuhuri?).

alipojua yule Abu Nuwasi, ya kama watu wamekwenda maga- burini") kwenda zika, naye akenda meskitini. hamna?) mtu mle meskitini. akenda gibulani”) akakaa kitako. naye asitoke, akiwa mle ndani, hatta watu wakaja kusali?) wakasali watu, walakini Abu Nuwasi yeye hakusali, yeye hutazama shughli zake. hatta walipo- kwisha kusali watu, wakitoka watu meskitini.

kazalika £) na Abu Nuwasi akitoka, akenda kwa sultani Harun Alrashidi, akamambia: ,,niozeshe mtoto wako nimbikiri?)". sultani akauzika sana, akamambia: ,,huna haja ya kunambia") mimi hayo, ya kama wataka umwoe mwanangu”? kwa sababu najua kama nikikuoza mtoto wangu, lazima utalala naye, na kama utalala naye, najua, kama utambikiri, bassi haihitaji”) kunambia, walla sikuozeshi mtoto wangu". akakataa kumoza mtoto wake.

akazipata khabari waziri wake Jafafari, ya kama Abu Nuwasi alitaka kuoa mtoto wa mfalme, lakini mfalme amekataa. akaja Ja'afari kwa mfalme, akamnasihi'?) mfalme akamambia: ,,mwozeshe mtoto wako Abu Nuwasi, na aliyonena Abu Nuwasi msamehe"). akamwoza kwa ma'arifa”) aliyomwambia waziri wake Ja'afari.

1) ar. Krankheit. 7?) ohne Besinnung, im Sterben liegen. 9) ar. Tod. 4) herabgefallener Kokosbaumast. 5) akatwaa. 9) neben sindika. 7) ar. sich trennen von. 9?) ar. Zeit. 7) ar. Mittag. 5?) ar. Begrabnissplatz, Friedhof. '!) wie pana —-. hapana, kuna hakuna, muna, mna hamna. 13) ar. Gebetsrichtung. ?) ar. beten. '?) ar. gleichfalls. '?) bikra ar. Jung- frau. '$) kuniambia. ') ar. ndthig haben. 9) ar. Rath geben. "ar. verzeihen. €?) ar. Kenntniss, Wissen, Vermittlung.

IO

alipomwoa yule mwanamke, Abu Nuwasi alikaa siku nyingi hakulala na mwanamke, kazi yake kula na kulala pekeyake. wakenda watu wakamsaili Abu Nuwasi: ,,kwa nini weye huyu mwanamke hulali naye, tukijua kijana ao mke mkubwa?" Abu Nuwasi akanena: nastahi') mtoto wa sultani kumbikiri".

na wale watu waliposikia maneno ya Abu Nuwasi, wakenda kwa mfalme, wakampa khabari ya kama: ,.hii harusi?) imekawia kustawi), ajili?) ya Abu Nuwasi anamogopa mtoto wako kumbikiri“. mfalme akatoa amri, Abu Nuwasi akalala naye.

hatta akipata siku arba'in!), akiwa mtu, mke akaona tamu, aka- tarajji9) kumwatii”) pande mbili. mwanamke akapeleka khabari kwa babaye, sultani, akam'arifu khabari hizi za Abu Nuwasi. yule babaye akamwita Abu Nuwasi, akamsaili: ,,khabari ile unayotaka kumfanyiza mkeo?) ni kweli" Abu Nuwasi khabari ile akagubali. akimambia: ”>mwache mwanangu". akamwacha palepale na babaye palepale.

akamwita mtumwa wake yule Abu Nuwasi, akamambia: ,.lete punda". akaja punda. akamambia: ,lete na sogi“. akamtandika punda, akenda katika udongo, akautia udongo kumoja?). watu wakamambia: ”Abu Nuwasi una wazimu? sogi kumoja?"“ akawambia: ,,kutia huko na huko namwogopa sultani, ma'ana akisikia atanipigia".

wale watu wakenda wakamambia sultani: ,,Abu Nuwasi anatuta udongo") kuchukua, na sogi anamtia kumoja punda“. yakamwita sultani Abu Nuwasi, yakamambia: Abu Nuwasi huna 'agili'!), ilikuwaje kutia udongo upande moja, desturi gani hiyo? umeona wapi ya kupa- kiwa kumoja?" Abu Nuwasi akamjibu sultani, akamambia: ,,umeni- kataza mwenyewe zamani, ukanambia ,,haifai“, ukanisiza mke wangu, na sasa ilikuwaje kunambia nitie huku na huku, nawe unajua kama haya mambo ni uzani?" sultani akamambia: ,,chukua mkeo“. akim-

rejesha mtoto wake kwa mumewe.

Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.

1) sich fiirchten. 7?) ar. Hochzeit; harusi neben “arusi. 53) si- tawi grinen, blihen, hier feiern. “) ar. Grund. 9) Die Zahl arbafin scheint eine beliebte Zahl der Suaheli zu sein. cf. Mittheilungen aus dem Seminar Bd. I Heftt III p. i7. Note 2 und p. 44 Note 4; fiir letzteren Ausdruck ist auch arba'lin mpumbuji gebrauchlich; cf. ferner die folgende Erzahlung hadithi za Abu Nuwasi p. 11. ?) ar. winschen. 7) ar. zu- friedenstellen. 9) mke wako. “auf cine Seite. '9) Lehm holen. 1) ar. Verstand.

II hadithi za Abu Nuwasi.

Abu Nuwasi alikuwa fasigi!) sana, hatta mkewe Jafafari, yule wa- ziri wa sultani, alikuwa mwanamke wake. akazipata khabari yule Ja'afari, waziri wa sultani, ya kama: ,,mkeo anazini na Abu Nuwasi.”

akaenenda Ja“afari kwa sultani, akamambia: ,,na tufanyize hikima?), magsudi”) tumwue Abu Nuwasi.“ sultani akajibu: ,,huyu Abu Nuwasi ana “agili sana. tutafanyiza hikima gani, hatta imshinde Abu Nuwasi?“ waziri akanena: ,,na tufanyize hikima, tuwatake watu gadiri?) ya watu arba'in ?) waje hapa. na kulla mtu tumpe yayi mojamoja?) atie nguoni mwake, na khalafu tumwite Abu Nuwasi tumwambie: ,,sisi watu arba'ini, tulio hapa, kulla mtu na ate?) yayi mojamoja, na Abu Nuwasi asipoweza kuata yayi yake auawe.” sultani akagubali. bassi akaitwa yule Abu Nuwasi. ali- posikia akanena: ,,vema, fanyizeni.“ ikiwa wale wamechutama3$), kulla mtu akajikwina?). wakitoa yayi kulla mtu; akabagi!?) Abu Nuwasi. ali- poona watu wale wametoa mayayi, Abu Nuwasi alitwaa mikono yake, aka- ipiga katika mbavu zake, akajifanyiza jogoo la kuku, akanena: ,,kokoiko."

akaenenda Abu Nuwasi kwa mfalme, akapiga mbavu zake, akanena vilevile kama jogoo ,,kokoiko“. wale watu wakamambia: ,Jete yayi, kulla akiambiwa katoa!!) yayi“; yeye hujigeuza jogoo, akawika. khalafu akaulizwa: ,,nini ma'ana, sisi wote?) tumetoa mayayi, weye shughuli yako kokoiko?" akawajibu: ,,ninyi kuku na mimi jogoo, si kazi yangu kuzaa, walakini mimi huwapa mimba ninyi, ndipo mlipopata kuzaa mayayi. ha- yamkini?) kuku kuzaa pasipo!?) jogoo na ninyiote!?) kuku, mimindiyo jogoo wenu; amma nitajieni jogoo wenu, aliyewapanda hatta mkapata mimba, mkitoa mayayi haya!” wakishindwa wale kwa maneno ya Abu Nuwasi.

wakifanyiza!8) hikima ya pili. yule waziri Ja“afari akamambia mfalme: ,.tulitwae jiwe tulipasue, tumwite Abu Nuwasi alishone jiwe, na asipolishona auawe.” na pale waliponena maneno yale, yule mkewe waziri Ja'afari yupo, akajua mwanamume wake, Abu Nuwasi, atauawa. akapeleka khabari kwenda mwambia khabari ile.

hatta asubuhi akitwa!?) Abu Nuwasi, akapawa!?) jiwe limepasuka !?), wakimambia: ..lishone jiwe lile, na usipolishona tutakuua.” Abu Nuwasi akatoa ndogo katika nguo yake, alikuwa cmelifutikaW), akampa waziri wa mfalme lile jiwe kidogo?!), akamambia: ,,piga uzi, nishone

1) ar. Wolliistling. “) ar. Weisheit, Verstand. 3) ar. Absicht. “) ar. ungefahr. 9?) cf. vorige Erzihlung Note 5. $) Je ein. 'j)ache. $) Sich hinhocken. 9) driicken. 9) ar. itibrig bleiben. '!) akatoa. 2) Besser wiire sisi sote. 3) es ist nicht moglich, yumkini oder yamkini es ist moglich. 14) Ohne (wo nicht ist). 5) ninyi nyote. '$) wakafanyiza. 7) Neben aketwa von akaitwa. '8) Neben pewa. ?) Statt lililopasuka; die Umge- hung des Relativs ist haufig. “) amelifutika, “!) Besser dogo.

12

jiwe hili kubwa.” waziri wa mfalme asiweze kupiga uzi, kwa sababu lile jiwe litakuwaje uzi? akishindwa waziri tenna, ya'ani!) Abu Nuwasi akasema: ,,mimi sishoni, illa mpige uzi huu." wakamwachia, akenda zake.

na gissa?) cha tatu”): alifanyiza hikima tenna yule waziri pamoja na mfalme, wakanena: ,,tumwite Abu Nuwasi, tumwambie ajenge nyumba ya juu kwa juu, na asipoweza kujenga tumwue.”“ wakimwita, wakanena kama hayo. Abu Nuwasi akanena: ,,vema, ntajenga nyumba juu kwa juu.”

akenda nyumbani kwake, akafanyiza 'agili yake, akatafuta miwalef, akafanyiza tivyara?) kubwa sana. khalafu akaifunga uzi, akairusha; ulipovuma upepo, ikenda juu tivyara. akenda nayo, akashika uzi, akenda hatta kwa mfalme na waziri wake. akiwafika akakaa kitako, aki- wambia: ,,nimekwisha jenga nyumba ya juu kwa juu, itezameni?), nayo ni ile juu iko, walakini nyumba ile kazi yake haijesha') yote, nataka chokaa kidogo na mawe myapeleke juu, wende?) watu wakaweke chokaa juu, na mimi takwenda?) maliza kazi.“

akatazama mfalme na waziri wake, hapana mtu atakayoweza ku- panda juu kunako ile tivyara, kwa sababu hapana mti wa kushikia hatta mtu afike juu. bassi, wakishindwa mfalme na waziri, wasiweze kumwua.

akenda Abu Nuwasi kwa waziri Ja“afari, akamambia: ,,weye ume- fanyiza vissa vitatu magsudi niuawe mimi, na sasa mimi sikuuawa, na leo mimi tafanviza 7) gissa kimoja weye utauawa.“ waziri aka- mambia: ,,mwongo, huwezi kabisa.”

bassi, akatoka Abu Nuwasi katika mji ule mudda miezi minne, khalafu akarejea mjini. alipokuja akachukua mchezo, na ule mchezo jina lake desi; walipouona watu, wakiupenda sana mchezo ule. akaji- fundisha waziri Ja'afari, hatta akajua. akenda akimambia!') sultani ya kama: ,,Abu Nuwasi amekuja na mchezo mzuri sana.“ akajifundisha sultani, hatta akajua.

na vule sultani anayo mtoto wake mwingine yumo nyumbani, bado hajaolewa; yule mtoto akajifundisha mchezo ule, hatta akaujua.

bassi vule waziri huenda akicheza na mfalme kulla siku, hufung- wa?) mfalme na waziri. hatta siku moja akenda Abu Nuwasi aka- mambia mfalme: ,,mwache waziri acheze na binti?) wako, kwa sababu binti wako anajua sana kucheza mchezo huu.” mfalme akamambia

1) namlich. 7?) ar. Sache. 9?) Diese Erzahlung ist ihnlich der in Dr. Biittners Anthologie p. 89 No. IV gegcbenen. “) Leichte Palmstangen, die mcist zu Thiiren yerwandt werden. Jj ar. Papierdrache. 9) tazama und tezama, bcide gebrauchlich. 7) haijaisha. ") waende. 7) nitakwenda; ni der 1 pers. beim Futur wird hilufig ausgelassen. ') nitafanyiza. '1) aka- mambia. '?) Hier in der Bedeutung von ,;jim Spiele schlagen.” 8) ar, Tochter.

13 waziri wake: ,,nenda kacheze na mtoto wangu.” akenda akacheza na mtoto wa mfalme, akafungwa yule kijana mabao!) sitta.

akenda Abu Nuwasi kwa yule kijana mwanamke, akamambia: Umemfunga waziri?” yule kijana akanena: ,,sikumfunga, kanifunga yeye mabao sitta.“ Abu Nuwasi akamwambia yule kijana: ,,kesho akija kucheza nawe, usivae ukaya.“ akija?) waziri siku ya pili akicheza naye, na yule kijana hana ukaya, akifungwa vilevile mabao sitta.

akenda Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: .,umemfunga wa- zirit” yule kijana kanena: ,,sikumfunga, amenifunga mabao sitta.” Abu Nuwasi akamambia yule kijana: ,,kesho ukicheza na waziri, vua barogoa.”)

akija?) waziri siku ya tatu, akacheza na yule kijana, akafungwa yule kijana mabao sitta. Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: ,,umem- funga waziri?" akanena: sikumfunga, kanifunga yeye mabao sitta.“ akimambia:?) ,,kesho mkicheza, vaa nguo moja, mawasi9) ya kiswaheli."“

akija?) waziri, akicheza naye yule kijana.) alipomwona nguo: moja, akamtama'ani.”) akafungwa waziri mabao mawili, na yeye akimfunga?) yule kijana mwanamke mabao manne. na sababu ya kufungwa yule waziri, alikuwa macho yake hatazami ule mchezo, alikuwa akitazama kifua cha mwanamke, yule kijana, ndipo alipo- fungwa mabao mawili.

akija Abu Nuwasi, akamambia: ,,leo umemfunga waziri?” yule kijana akanena: ,,nimemfunga mabao mawili, naye amenifunga mabao manne". Abu Nuwasi akimambia: ,,kesho tafuta ushanga uvae kiunoni mwako, utafute na ukaya uvae, ndiyo nguo yako, walla usivae nguo ningine illa ukaya“.

alipokuja waziri kucheza na yule kijana, akamwona amevaa ukaya, na tunda") zinaonekana. yule waziri alipomwona tunda yule kijana, hakuwa na '“agili yule waziri, akifungwa mabao sitta yule waziri. khalafu yule waziri akamtama'ani yule kijana kulala naye. akalala naye, akiwa mwanamke wake yule mtoto wa sultani.

na yule Abu Nuwasi akatazama khabari ile. hatta alipojua kama huyu waziri kesha”) lala naye huyu kijana, akenda akimambia baba yake mfalme ya kama”): ,,waziri wako anazini na mtoto wako“. mfalme akamambia: ,,hagiga?) khabari hiyo?" Abu Nuwasi akanena:

1) Der Erzahler hat hier woh| an das Bao-Spiel, ein bei den Suaheli sehr beliebtes Spiel, gedacht. 7?) akaja. $) ar. Gesichtsschleier. “) akaja. 5) akamambia. $) Wohl aus dem ar. libasi gebildet; Kleid. 7) Die Vorsetzung des pron. vor das subst. ist in dieser Erzihlung auffallend hiufig. $) Begehren. ?) akamfunga. 9) Perlschnur. ') Fir amekwisha.

13) In ahnlicher Weise wird die Rede auch oft durch kuwa oder ya kwamba eingeleitet. 3) ar. Wahrheit.

14

mkweli? akamambia: ,,kama husadigi') lete wanja;) huu wanja tampa?) kijakazi, anayotandika kitanda nyumbani mwao, aenende aka- mwage kitandani. zama za saa sitta u nussu, akesha kula, hana buddif atataka kulala; na mimi na wewe mfalme tuenende mahali tukajifiche garibu ya njia, marra tupige ukelele wa moto, hana buddi atatoka; na ikiwa kweli amelala yeye katika nyumba ya mtoto wako, tutaona “ala- ma') ya wanja katika nguo yake."

akachukua wanja Abu Nuwasi, akatafuta kijakazi cha nyumbani, akampa mapesa mangi. akenda akautia kitandani wanja yule kijakazi. alipokwisha kula waziri sa'a sitta U nussu alikwenda kitandani akalala, na kanzu yake vilevile, hakuvua.

marra ukapigwa ukelele wa moto wa kimbilia watu. na yule wa- ziri akatoka kukimbilia moto, hana khabari kana kanzu yake ina wanja.

alipopita pale, walipojificha mfalme na Abu Nuwasi, wakimwona kanzu yake yote ina wanja. mfalme akajua, hagiga huyu waziri ana- zini na mtoto wangu. marra akaamrisha watu: ,,kamateni waziri.” wakimkamata, akifungwa yeye na jama'a?) yake na watoto wake, wa-

kiuawa wote. Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.

1) ar. glauben. 7?) Schwarzes Schonfirbemittel. 9) nitampa. War. Ausweg. ”J) ar. Zeichen. 9) Verwandtschaft.

hadithi zingine za Abu Nuwasi.

Siku moja Abu Nuwasi akafukuzwa mjini kwa mambo yake mabaya. sultani yakamambia!): ,,nenda zako, usikae mjini mwangu, tafuta inchi ningine, uende ukakae". nyumba yake wakaipiga moto.

bassi, Abu Nuwasi akangojea nyumba yake ikawaka yote, ya- kenda?) dukani?), yakanunua magunia, yakenda yakazoa maivu ya nyumba yake, yakaazima na baghala?), chombo kikubwa, wyaka- pakiwa maivu katika baghala, hatta ikashehen?), yakatweka ya- kasafiri.

yakapata baharini, yakakutana Wareno) na merkebu sab'a za fedda, wakamuliza: ,,unakwenda wapi?" yakawambia: ,,nakwenda kwa

') akamambia. 7?) akaenda; in dieser Erzahlung lautet die III pers. fast immer ya. 7?) Laden. 1) grosses indisches Fahrzeug; der Suaheli liebt es, wenn er ein Fremdwort gebraucht, die Erkliarung in suaheli, wie auch hier chombo kikubwa, beizufigen. 9) ar. befrachten. $) Portugiesen; bezeichnend ist, dass im Folgenden gerade die Portugiesen als die Dummen hingestellt werden; die Suaheli nennen dieselben auch washenzi wa Ulaya.

15 sultani.“ wakamambia: ,,unachukua nini?" akawambia: ,,nimechukua zawadi kwa sultani, tunu kubwa sana.“ wakamambia: ,,tuulize!)“, akawambia: ,,siuzi, maana nampelekea sultani zawadi?)."” wakambem- beleza?) sana, wakampa merkebf') moja na shehena”) ya fedda, wenyewe wakashuka wote. na yule yakawapa jahazi,) wakafungaza) wa- kenda zao.

na yule Abu Nuwasi yakenda zake pwani hatta mjini kule ali- kotoka. yakenda kwa sultani, yakamambia: .,,hii merkebu yangu nataka watu wakatute fedda yangu.“ yakamambia: ,,fedda umepataje?”“ akamambia: ,,nimechukua maivu ya nyumba yangu kwenda kuuza, watu wanayataka sana.“ sultani yakachoma mji mzima, yakapakia maivu katika vyombo.

na wale Wareno wakenda kwao wakayafungua magunia, wa- kayaona maivu, wasema: ,,huyu emetughuli.?) wakafunga vita, ili kumtafuta baharini na wenzi wake. na sultani emechoma”) nyumba zake, mji mzima, emetia”) katika majunia!) maivu. emepakia”) jahazi sab'a, yakapakia na watu wajuao biashara).

wakenda wakakutana Wareno baharini, wakawauliza: ,,mnakwen- da wapi?" wakawambia: ,,tunakwenda kuza maivu“. wakawambiana: ndio watu wetu hawa, tunaowatafuta, sasa wapigeni.” wakapigwa kwa mizinga, wakauawa wengi; wengine wakogelea wakafika hatta pwani, wakenda wakamambia sultani: ,,siye?) watu wengi tuliokufa, maana tulipigwa na mizinga tele, hatukutambuana.” sultani ya- kasema: ,,mtafuteni Abu Nuwasi;“ yakatafutwa, asipatikane.

fedda yake yakamnyanganywa yote, yasimbagie”) hatta pesa moja; yakawa kazi yake kuokota mafupa, na ngozi yakatafuta. ya- kapata shehena nzima ya jahazi, yakapakia yakenda zake kusafiri. ya- kenda yakakutana watu wengine, wakamuliza: .,unachukua nini?” ya- kasema: ,,nimechukua zizo"); wakasema: .,tuulize". akasema: ,,siuzi, maana nampelekea sultani, hii tunu kubwa sana.” wakamambia: tunaitaka siye.” asema: ,labda mnipe fedda nyingi na merkebu mbili, ndipo ntauza.” wakampa merkebu mbili, yakafungaza mpaka pwani.

akenda kwa sultani akamambia: ,,nataka watu nikachukue fedda

1) relative Form von uza. ?Jar. zad Reiseproviant, Wegzehrung, suah. zawadi Geschenke. 53) zureden, liebkosen. $) ar. Schifi. $) ar. Fracht. $;) Fahrzeug. ') ins Schlepptau nehmen. $?) ametughuli; gbuli betrigen. 7) amechoma. ') ametia. ') neben gunia. “) ame- pakia. 5?) ar. Handel, aus befi wa shara Kauf und Verkauf; suah. bifashara und biushara. 'f) sisi; neben mimi, wewe, sisi, ninyi haben wir die Formen miye, weye, siye, nyie. ”?) ar. tibrig bleiben. 16) kostbare Felle.

16

yangu." yakamambia: ,fedda hii umcipataje weye?" yakamambia: mhimeokota mafupa na ngozi, nikachukua nikenda nikauza.“ aka- mambia sultani: ,,huko mali sana? sababu watu wangu wanaitaka sana; yakamambia: ,mali tele.” yakachinsha ngombe wake sul- tani wote, akasema: ,,nyama kuleni, nataka mafupa na ngozi."

wakachinsha ngombe wote wa sultani, na punda pia wakachin- shwa. yakanunua magunia, yakatia mafupa; wakapakia katika vyombo sab'a. yakatoa mwanawe sultani, yakamambia: ,,nenda kauza mali haya, mafana weye si mjinga wa biashara; na ukenda!) ukaulizwa, sema: ,,nimechukua mafupa na ngozi."

wale Wareno wakenda wakafungua magunia, wakatazama mafupa na ngozi. wakafunga vita, wakasema: ,,waliotunyanganya tukawatafute hatta tuwaone.” wakenda wakakuta baharini hawa watu wa sultani wakauliza: ,,mmechukua nini?” wakawambia: ,,;tumechukua ngozi;” wakasema: ,,hawa ndio watu wetu, sasa tuwapige.” wakapigwa, jahazi wakazitupa, wakogelea, wakafa; wengi, wengine wakajipona, wakaja mjini. yule mtoto wa sultani yakameleza baba yake mambo yaliyowapata. wakamtafuta Abu Nuwasi, hatta wakamona,”) wa- kamfunga na mali wakamnyanganya, wakenda wakamtia shimoni.

na hilo shimo mna simba ndani, wakamtupa ndani gusudi? yende') yakamle. alipofika chini, yakamambia simba: ,,nimetumwa na sultani, ili kuja kukukuna.” simba akafurahi”) sana, asema: ,,sultani ananipenda sana, ma'ana kuniletea mtu kunikuna."

yakakaa siku tele ndani. hatta siku moja wakapita watu njiani wakasemana; Abu Nuwasi yakajibu ndani, yakasema: ,,ntoeni$9), na mwenyi kunitoa ntampa?) fedda nyingi.” wale wakafanya tama'a9), lakini waliogopa sultani.

bassi, wakenda wakamambia sultani kama: ,,Abu Nuwasi mzima". yule sultani akaleta watu, walikwenda kumtoa Abu Nuwasi. wakamtoa wakampeleka kwa sultani. akenda akapata mali tele, akawa mtu mkubwa.

“Siku moja ikaja ishara?) ya vidole vitano katika mji huu. wa- kesha wa'allim kutazama, wasijue ishara moja wapo, Abu Nuwasi akasema: ,,mimi najua.“ akashuka pwani Abu Nuwasi, yakenda aka- fanyiza vidole vitano kwa mkono wake, kikazama kile cha tano. hatta asubuhi akafanza vidole vinne, kikazama kile cha nne. siku ya tatu akafanza vidole vitatu, kikazama kile cha tatu. siku ya nne akafanza vidole viwili, na siku ya tano akafanya kidole kimoja, kikazama cha mwisho.

) ukienda. 7?) wakamwona. '9JJar. Absicht. 9) yaende aende.

o)J ar. sich freuen. 9)nitoeni. 7) nitampa. 6") ar. Verlangen, Sehnsucht. ?Jar. Zeichen, Hinweis. "

17

sultani akamambia: ,,nipe maana.” ,,ma'ana ntakuelezea, lakini shurti') unipe mali.” yakampa mali sultani. alipompa, yakamambia: >mweny'ezimgu”) alikuja akauliza: ,,wale watu watano wanapendana wako?” mimi nikamambia: ,,hatta wanne hakuna“. na siku ya tatu nikamambia: ,,hakuna hatta watatu“; na siku ya nne nikamambia: -,-hakuna hatta wawili"; na siku ya tano nikamambia: ,,kulla mtu kwa shauri lake."

bassi akakaa siku tano tenna katika mji huu, pana ishara ya bawa?) mjini, na kulla mwenyi koga huchubuka mwenyi mwili mzima?). sultani akasema: ,,mtu mwenyi koga maji haya ntampa?) upande mzima wa mji". akatoka maskini akagubali, akasema: ,,mimi ntalala usiku kucha, walakini shurti unipe khattif) ya mkono wako."

hatta maghribi') akaingia majini, na “askari wanamngojea. na bibiye?) yakaja mpaka pwani, yakawesha?) moto juu. na mjukuu yuko katika maji, na mzee analia kumlilia mjukuwe"”); yakalala siku kucha kule majini. asubuhi yakatoka mzima, yakenda kwa sultani, yaka- mambia: nimeisha'') toka, nipe haggi”) yangu.” sultani akamambia: >bibio”?) aliwesha?) moto juu, weye katika maji ukaupata moto, hu- pati kitu.“

akenda zake huyu maskini, akenda kwa Abu Nuwasi, ili kwenda kushitaki?) akamambia: ,,sultani emenituma'?) burre majini, na ijara”) yangu hakunipa.” Abu Nuwasi akasema: ,,nimegubali."

yakanunua michele mingi, akanunua na mbuzi, akamwita sultani akasema: ,,shamba mna karam”)." yakawaita watu wakubwa waku- bwa, wakafuatana shamba na sultani pamoja. akenda akachinsha mbuzi, na michele ikapimwa, wakatia katika vyungu; wakaweka hapa moto hapa chungu mbalimbali.

mpaka saa sitta sultani anahimiza, akasema: ,,upesi upesi, njaa inauma.” Abu Nuwasi yakamambia: ,,bwana”?), watu wanapika.“ akamambia: ,,nimesikia chungu na moto mbalimbali, ni kweli?” aka- mambia: ,,ni kweli bwana.“ akasema: jissi gani”) hivi, mwenyi ku-

J) ar. Bedingung. 7) mwenyi 'ezi muungu. 95) plestzlich auf- tretende Krankheit. “) der folgende Theil dieser Erzihlung hat einige Aehnlichkeit mit der in Dr. Biittners Anthologie p. go No. V gegebenen. 5) nitampa. “$) ar. Schriftstiick. 7) ar. Sonnenuntergang, im suah. ist matueo ya jua oder machweo ya jua gebriuchlich. 9?) bibi yake. 7?) aka- washa. 7) mjukuu wake. ') neben nimekwisha. 7?) ar. Recht, Forderung. 13) bibi vyako. ') aliwasha. 5?) ar. klagen. '$) amenituma. ) neben ujira ar. Lohn. 5) ar. festliche Bewirthung. ?) meist hort man bana sagen. “?) neben gissi gani und ginsi gani wie kommt das?

Velten, Suaheli-Mirchen. j 2

18

pika moto chini chungu juu, leo umepika mbalimbali?” sultani akakasirika sana, wakagombana.

khatima!) sultani akauliza: ,,kwa nini hivi? akasema: ,,mimi nna ma'ana, nikafanyiza hivo huyu maskini umemnyanganya haagi yake; umeona wapi ya mtu aliyokuwa katika maji, hatta moto ulio juu pwani ukampata? kana?) umempata, mbona chungu hakiwia:? sasa mpe haggi yake.“ sultani akagubali, akasema: ,,;inshallah, ntampa haagi yake."

bassi wakenda mjini, yakenda yakampa haggi yake. bassi ndipo ilipokwishia hadithi ya Abu Nuwasi.

Muhemedi bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

1) ar. schliiesslich. 7?) neben kama.

hadithi ya Abu Nuwasi.

Abu Nuwasi alikuwa na njaa sana, sababu njaa tele katika inchi hii. akatoka akenda kwa rafigi yake kumtazama. na yule rafigi ana chakula. aliposikia, Abu Nuwasi anakuja, akaficha chakula katika kiti, akaweka na nguo juu.

wakamgaribisha ndani. Abu Nuwasi akenda kukaa katika kiti cha pili cha garibu na chakula. akawambia hadithi za vita za kupijana'), akawambia: ,,siku moja tulikuwa tukapijana na watu, nikamkuta moja akatangulia kunipija, nikaanguka. nikaondoka kidogo, nikakimbia kidogo, nikarudi nikaja nikampijia na miye”); yule mtu naye akaanguka. kha- lafu nikampija marra ya pili, akaanguka. nikachukua mfuko wake, nikakimbia nao. nikaona njaa sana nilipokwenda, marra nikapija chini hivi nikakuta chakula, ndio kama hiki hiki kitini vilevile."

ba'ada ya haya wakala sawasawa.

. ..... “Abdallah bin Musa. 1) pigana. 7) mimi.

hadithi ya Koodini.

Palikuwa mtu jina lake Koodini, wengine wakamwita Abu Nuwasi. kazi yote anajua, “agili nyingi sana. ikakokuwa'!) sulutani?) hamtaki; amefanyiza taratibu?) zote yamwuef), lakini hampati, sababu hana sababu.

siku moja sulutani akaweta?) watu, na yule Koodini na mtoto wake. wakachukua mti, wakautia katika chumba chenyi kiza). sulutani

1) besser wire ikawako. 7“) sultani, 9) ar. Ordnung, hier im Sinne von List gebraucht. $) amwue. 9) akawaita. 9) neben giza.

19 akamzmbia Koodini: ,,nenda ndani uchukue rissi'), upije”?) huu mti marra tatu, lakini pahali pamoja; na kama umefanyiza darba?) mbili utakufa.”

Koodini akenda ndani, akawambia: ,,mmesikia?" wakasema: ,,tume- sikia”. yakachukua rissi, akapija kwa nyuma, na marra ya pili akapija vilevile, marra ya tatu akapija kwa uso, akawacha akatoka. akawambia: nendeni ndani mkatazame". wakenda ndani watazame; wakakuta darba moja tu.

wakatoka. sulutani akamambia: ,,sasa na aende mtoto wako". mtoto wake akenda, babakc akamambia: ,,kwa herif), na nyuma yake ntakuifundisha". na yule mtoto akajua, yule babake”) amamfundisha.

yule mtoto naye akenda ndani, akapija kwa nyuma marra mbili, marra ya tatu akapija kwa uso, akatoka. sulutani alipoona hii aka-

sta'ajjabu?), na watu wote pia. wakamwacha yeye na babake. “Abdallah bin Musa.

1) Art. >) upige. J)ar. Schlag. “)seltener hdrt man kwa kheri, ar. kheir, das Gute, gut, wahrend kheri, Gliick, alleinstehend haufiger ist als heri. 9?) baba yake; auch babaye. 9) ar. sich wundern.

Sultani na Abu Nuwasi.

Paliondokea sultani, milki') na inti”) zake nyingi sana, na “askari?) wake wengi sana, kulla namna?) anazo. naye sultani amezaa watoto wake wawili, wote waanawake, mmoja ameolewa na mmoja bado.

akatoka Abu Nuwasi, akanena na watu, akasema: ,,;takwenda?) mposa mtoto wa sultani“. watu wakimkataza, akanena: ,,sisikii maneno yenu”. wakimwuliza wale watu: ,,utakwenda nafsi?) yako ao utapeleka mtu ao barua?" akanena: ,takwenda”) nafsi yangu".

akimngojea siku ya baraza. watu wamejaa tele. akamgabili?) sul- tani, akasema: ,,sultani, nimekuja kwako, nataka unioze mtoto wako, nilale naye". alipokwisha sema vile, sultani akafanya ghadabu?) sana, akiamru “askari akauawe Abu Nuwasi. marra moja Abu Nuwasi aliruka, akianguka katika ) miguuni mwa waziri wa sultani, gasidi ') amwombee apate salaama. sultani akanena: ,,Jhuyu amenitukana sana, walakini ba'ada mmetaka samahani”) nyingi, mawaziri zangu, nimemsamehe,

ar. Macht, Herrschaft. ?)fiir inchi. $) ar. Heer, Soldat. far. Art. ?) das Fiirwort ni wird beim Futur hiaufig weggelassen. 9) ar. Seele. 7) nitakwenda. $) ar. sich nihern. 9) ar. Zorn. 9) katika wire durch das angehingte ni in miguuni tiberfliissig. '!) ar. Absicht, Vorhaben. 7?) Ver- zeihung.

0”

20

lakini nataka yatoke') katika milki yangu, asikae". akatolewa katika mji, akienenda?) nti?) nyingine.

ikitokea shani?) katika mji wa sultani. kwa baadi?) za baharini kiko kitu hutoa mikono miwili ndani ya maji, kikitoa?) vidole kumi, kikawaonyesha walio katika mji. wakata'ajjabu?) watu wote, waka- peleka khabari kwa sultani, wakamwambia: ,,pwani iko ishara?) ya kitu, kinatoa vidole kumi ndani ya bahari“. akienenda sultani, akita- zama akiona kweli. wakitakwa wa'allimu, wanaotazamia kulla ishara, wasitoe fasili?) yake; ikiwashinda waganga wote.

akatokea “askari mmoja, akanena kwa sultani, akamwambia: ,,kama angalikuwapo Abu Nuwasi katika inti?) yako, angaliitambua ishara ile“,. ,,marra"“, sultani akamwambia waziri wake, ,,pelekeni khabari, akatwe Abu Nuwasi, arejec katika mji, aje atuambie mambo haya, atupe fasili yake". akapelekewa khabari Abu Nuwasi kuitwa. akaleta majibu, akanena: ,,siwezi kuja, sababu roho yangu ina khofu, labuda sultani anita'") kunikhada'a?) ataniua". ikipelekwa majibu ya sa- hihi?) ya kwamba ,,huna dara"), ni kuja ?)“.

akaja Abu Nuwasi, hatta akifikia kwa sultani. sultani akimpa khabari. akinena: ,,nimesikia, lakini iwapo mimi nimetambua ishara yake kile kitu, tapewa'9) nini ahsante) yangu?” sultani akanena: ,,takuoza yule mtoto wangu, uliyomtaka auwali“. akanena: ,,vema, sultani, ni- megubali, nipelekani”) pwani hatezame ?)“. .

wakampeleka pwani, akatazama, akiona kitu kimetoa vidole kumi. na yule Abu Nuwasi akatoa vidole tiss'a, kile kitu kikarejesha mikono yake, khalafu kikatoa vidole vinane. Abu Nuwasi akamtolea vidole sab'a— kikatoa vidole sitta. akatoa vitano kikatoa vinne, akatoa vitatu kikatoa viwili. Abu Nuwasi akatoa kimoja, khalafu kile kitu kikaondoka.

wakarejea katika mji. sultani akamwuliza: ,,Abu Nuwasi, nipe khabari, nini ishara yake”)? akanena: ,ishara yake amekuja uliza, anena: ,iko siri?!) ya watu kumi?" mimi hamjibu”): ,,haiko hatta ya watu tissa.” akanena: .,,hatta wanane?" hamwambia: ,,hatta sab'a.” akanena: ,,hatta sitta?" hamwambia: ,,hatta watano.“ akanena: ,,hatta wanne?" hamwambia: ,,hatta watatu.“ akanena: ,,hatta wawili?" ham- ambia: ,,hatta moja;“ akenda zake. hio ndio ishara iliyokujia.

) atoke. 7?) akenda. 3) inchi, f) ar. Sache. 3) ar. Theil. 6) kikatoa. 7) ar. V. Form, erstaunen. $) ar. Hinweis. 9) ar. er- klaren, auslegen. 9) inchi. '!) fiir anijita, ?) ar. betrigen, hintergehen. 3) ar. wahr. 1) ar. Schaden, Ungliick. 5?) wortlich ,,du bist zu kommen“, gebrauchlicher ware njoo. '9) nitapewa. 7) Dank. '?) neben pelekeni. 19) fiir nikatazame. “) zu erganzen ist ma'ana. "!) ar. Geheimniss. 7) fiir nikamjibu.

21

akasadigi') sultani; akafanya “arusi 7), iliyo kubwa sana, ya mtoto wake na Abu Nuwasi. akikaa katika nyumba Abu Nuwasi siku nyingi, asilale naye mwanamke, walla asikae naye mahala pamoja. ikapelekwa khabari kwa sultani, akiambiwa: ,,yule mume, uliyomwoza mwanao, hawakai pamoja.“ sultani akanena: ,,mwiteni, aje.“

akaitwa, akenenda akamwambia: ,,sababu nini, mimi nimekuoza mke, sababu nini hulali naye, walla hamkai mahala pamoja?” akajibu Abu Nuwasi, akanena: ,,nataka amri kwako, sababu nnaogopa.” akanena: “himekuamru."

akenenda Abu Nuwasi nyumbani kwake, akalala na mkewe, h'a- rusi ikasitawi, akapawa na nussu ya mji na watu wake. akastarehe na mke wake, akiwa mtu maarufu?) kwa sultani, sababu ya maana, aliyoitoa mbele ya sultani, fasili ya kile kitu kilichotoa vidole kumi.

Abu Nuwasi akawajibu maneno yaliyo sawasawa: ,.siri hakuna ya watu kumi, hatta mtu mmoja; ajapokuwa mtu pekeyake, akiona jawabu?) la siri, hapana buddi?) atapata rafigi?) yake, atamwambia na rafigi yake, naye anaye rafigi yake mwingine, atamkhubiri”), ndipo linapotoka nje, watu wote wakijua khabari.

Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi.

Yar. glauben. 7) “arusi neben harusi. 39) ar. angesehen. “f) ar. Antwort. ') ar. Ausweg. $) ar. Freund. ') benachrichtigen.

Muhemedi na washitaki wake.

Alikuwako sultani tajiri!) sana, yakazaa waanawe?) wawili, mmoja manamke na mmoja manamme.3) baba yao yakifaf), yakibagi?) yeye na ndugu yake. manamme yakaoa, yakazaa mtoto mmoja manamme, na manamke akaolewa, yakazaa mtoto mmoja manamme.

bassi wakalewa watoto hao hatta wakakua. wakawambia wazee wao: ,.tuozeni wake, ma'ana tumekuwa wakubwa.” wakaoza wake, kulla mtu na mkewe.

hatta siku hiyo wakenda sogonif), wakenda wakakutana mbuzi wawili, wanauzwa kwa rupia 'asherini. wakanunua, sababu siku kuu garibu. yakamambia: ,,mwenzangu'), tungoje siku kuu tuchinshe.“ huyu akamambia: ,,vema.”

hatta siku kuu ikafika, yule mmoja yakachinsha mbuzi wake, yakampelekea kichwa, yakamambia: ,,nnakupa kichwa cha mbuzi wangu, nawe unipe chako;" yakagubali. wakala nyama yao. ikesha naye

1) ar. reich, Kaufmann. 7?) waana wake. 3) mwanamume. 1 akafa. 5) ar. tibrigbleiben. $) sogo ar. Markt. 7) mwenzi wangu.

22

mwingine yakachinsha mbuzi wake, yakampelekea mwenziwe kichwa. akamambia: ,,sigubali mimi, nilikupa kichwa cha mbuzi wangu na weye unipe chako; leo unanipaje!) kichwa cha mbuzi, nasi?) hatukua- gana! shurti nataka kichwa chako!"

yule akafanza dihaka?) ya maneno aliyosikia. yule mwingine emeshikaf), asema: ,,shurti unipe kichwa chako, ma'ana ndipo tulivoa- gana”). wakenda kwa baba zao, wakaamua$) maneno, wasiyaweze. wakawambia: ,,nendeni kwa sultani “Ediri?).“

wakaondoka watu wengi mpaka njiani. yule. ened'awiwas), Muhemedi, njaa inamuma sana. wote huwa mbele watu, yeye akakaa nyuma kwa huzuni?) kumwingia, kwa oga!V) kufa.

hatta wakapata mji mwingine yakapita kuomba maji. akamkuta kizee!!) kimoja huanika. jua likampata sana, yakenda yakataka maji. yakaambiwa: ,,maji, kwetu ta“abu??), waanawake wametoka toka asubuhi, ili kwenda kutafuta maji, hawajarudi; walakini upo mnazi barazani, panda uende juu, ukaangue madafu, upate maji unywe.” yakapanda Muhemedi mpaka juu, akenda akaangua madafu. marra yakaanguka, yakamfikia kizee; yakafa yule kizee.

mwanawe, alipoona mamake amekufa, yakamshika: ,,umeniulia mama yangu, ntakwenda kwa sultani, cnde!?) akatuhokumu.“ waka- fuata njia moja, hatta wakafika mji mwingine.

garibu na mji Muhemedi yakamkamata kanga yakamchinsha. yakenda katika nyumba ya hakim/), yakaomba moto. akaokota na kuni, akazunguka nyuma, yakachoma ndege wake; harufu) ikanuka nyumbani. na yule mke wa hakim ana mimba. aliposikia harufu ya nyama ile yakaharibu.

yakaja, yakaambiwa hakim, kama alikuja Muhemedi, yakapaa moto!$), akazunguka nyuma, yakenda yakachoma nyama yake, bibi aka- sikia harufu, yakaharibu. hakim akakasirika sana, yakamkamata Muhemedi, akasema: ,,na twende kwa sultani, yaende yakahokumu, maana kanitolea!?) mimba ya mke wangu."

wakafuatana wengi, wakenda kwa sultani Ndozi, ili kwenda hokumiwa. walipokwenda njiani, wakasema wengine: ,,pataneni, huyo si amri yake, amri ya njaa.” hakim asigubali. tenna Muhemedi

1) angehiangtes je— wie, was. 7?) na sisi. 9) ar. Spott. 1) ameshika. 3) tulivyoagana. $) richten, Streit schlichten. 7) Gerechtigkeit. $) anayed'awiwa ar. d'ai beanspruchen. 9) ar. Traurigkeit. 19) neben ogopa. 11) unter kizee ist eine alte Frau, Zauberin zu verstehen. 12) ar. Ermidung, Beschwerde. 15) aende, 14) Herrscher, Richter. 19) ar. “arf Geruch. 18) paa moto heisst sich in einem Hause brennende Kohlen holen, um Feuer machen zu konnen. 17) ukanitolea.

23 asema: ,,nataka rukhsa sasa kwenda kwa sultani “Ediri, sababu ya khabari ningine, ma'ana hokum yake nzun.“

marra yakaja yule mwenyi mbuzi, yakashitaki: ,billahi!) wa billahi, namshitaki Muhemedi, tumeagana mimi naye, ,,nakupa kichwa cha mbuzi wangu na weye unipe chako; leo anakataa, kwa sababu gani? na siye?) tumeisha?) agana, sasa nataka kichwa chake.“ sultani akamambia: ,haifaa kumua nduguyo), pataneni.“ akakataa.

akaja yule mtu mwenyi mamie”), aliyokufa, yule mzee. yakaja yakashitaki. sultani Ndozi yakaamua yale maneno, yakamambia: ,,uta- pewa reale mia, maana hakumgusudiab?) kumua billa nguvu za muungu.” wyakakataa.

wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri. akenda akashitaki mwenyi mbuzi: ,billahi wa billahi, namshitaki Muhemedi, nilimpa kichwa cha mbuzi wangu, nikamambia ,,unipe chako“, yakagubali. khalafu chake hataki kunipa. akachinsha mbuzi wake, akaniletea kichwa; na sisi “ahadi?) yetu kichwa chake.“

sultani akamuliza: ,,maneno, anayosema mwenzio3), kweli?“ akamambia: ,kweli, bana.” wakaitwa 'askari, sultani akawambia: mshikeni Muhemedi.” wakamshika, wakatoka naye ugani”); yakatoa kisu yule mwenziwe. sultani akamambia: ,,mchinshe, uchukue kichwa chake angalia umwachie roho!?) yake.” akamambia: ,,siwezi, nikim- kata kichwa, atakufa.” akamuliza Muhemedi: ,,ulimpa roho, ao ulimpa kichwa?" akasema: ,,nilimpa kichwa.” ,,bassi, chukua kichwa chake, umpe roho yake.” akamambia: ,siwezi.” akamambia: ,,utaweza, ma'ana sikunyanganyi haggi!!) yako, mchukue kichwa chake, umwachie roho yake, tenna kwa upesi, walla usikawie, ma'ana nasumbuka kusi- mama, nnakusaburisha?) weye, chukua upesi, uangalie roho yake." vule akalia, akamambia: ,,bwana, nimetubu!?) maneno yangu, hatta siku ya pili nitakapo haya maneno nichinshe." akamambia: ,,bassi, rukhsa, ende!?) zako."

yakagabiri!3) yule mwenyi mama yake, aliomua katika mnazi, yakaja yakashitaki: ,,huyu Muhemedi kaniulia!$) mama yangu.” sul- tani yakamambia: ,,alimuaje?“ akamambia: ,,alipita pangu ya kutaka maji, nikaambia ,.maji hapana, walakini uko mnazi, panda juu kaangua madafu." na mama yangu yakakaa chini ya mnazi. yakenda yakuangua

1) bei Gott. 7?) sisi. 39) tumekwisha ist gebrauchlicher. 4) ndugu yako. 9) mama yake. 9) ar. beabsichtigen. Tjar. Versprechen. $) mwenzi wako. 9) offener Platz. 10) ar Seele. 11) ar. Recht, Forderung. 72) ar. sich gedulden. Endung sha ist suah. causativ-Endung. 3) ar. sich bessern, bekebren. 14) nenda. DP) ar. sich nahern. 168) akaniulia.

24

dafu, marra yakaanguka mwenyewe, yakamfikia mamangu!) yakafa; na sasa nataka uniamue."

yakamwuliza: ,,mnazi unapatajer“ akasema: mnazi mkubwa sana.” ,uwongo, si mkubwa mdogo.” akamuliza tenna: ,,unapa- taje mnazi huu!" akamambia: ,,mnazi mrefu sana.“ yakamambia: twende, ukanionyeshe mfano wake.”

akenda akamwonyesha mnazi. yakapawa kisu mkononi, aka- mambia: ,,panda juu ya mnazi, uende ukaanguc nazi, na huyu atalala hapa chini ya mnazi, uende ukaangukce juu, umfikie huvu; emekufa?) bassi, la umckufa weye bassi.“ yakamambia: ,,siwezi, bana, bokumu hiyo.“ yakamuliza: ,,alimpiga fimbo” yakasema: ,,hakum- piga;“ ,,alimchinsha na kisu?" yakanena: ,,hakumchinsha"; alimpiga risasi?” yakasema: ,,hakumpiga.” alipataje hatta yakamua?“ asema: alipanda juu ya mnazi, akamangukia, akafa; ,na weye panda juu ya mnazi, na mnazi huu ndio mfano aliopanda yeye." akamambia: >Siwezi bana.” akamambia: ,,utaweza, ma'ana mwenyi kuua naye huuliwa, na mwenyi kupiga naye hupigwa, ma'ana huyu kaua nawe panda juu umwuc.”

na mnazi huu mrefu, kama alivosema”), yaogopa kupanda. ya- kitoka juu hatta chini atakufa, yakampata atakufa, na yakamkosa atakufa! akamambia: ,,bwana, nimetubu maneno yangu, walla sina da“awaf) naye, na unasikia ntamshitaki, nifunge utakapo mwenyewe, na mimi ni radi”), nimemsamche?) mambo aliyonifanyizia.“

yakagabili mwingine, huyu wa tatu, aliyotolewa mimba mkewe”. akashitaki, akimambia: ,,huyu kanitolea?) mimba mke wangu.“ akau- liza: ,,kaitoaje?) mimba hiyo?" asema: ,alikuja na ndege wake mpaka mjini, akataka moto nyumbani kwangu. yakapewa moto, yakazunguka nyuma, yakachoma ndege wake; na yule ndege emenonal?), bassi akasikia h'arufu mke wangu, mimba ikatoka; sasa nataka mimba yangu.“ yakaulizwa yule Muhemedi, yakaambiwa: ,,weye mbaya sana, kulla mtu anakushitaki weye kwa ubaya wako.“ sultani akasema: ”mimi ntayaamua hava maneno."

akamwita mwenyi mkewe, akamambia: ,.tafuta nyumba kubwa, utie vyakula vingi, utie na kuni na vibiriti!!) vingi, na nyama nyingi na samli nyingi, na huvu Muhemedi pamoja na mkewe; ufunge mwango, ufunguo uchukue mwenyewe muhulla?) wa miezi sitta,

1) mama vyangu. ?) amekufa. 653) alivyosema. 9) ar. Klage, Prozess. ?jar. zufrieden. 69) ar. verzeihen. 7) mimba ya mkewe. 8) aka- nitolea. ") akaitoaje. 10) amenona. !!) kibiriti ar. Schwefel; plur. sollte also auch kibiriti lauten; so bildet der Suaheli auch yon ar. gissa den plur. vissa. 12) ar. Frist.

25 atatia mimba.” yule asigubali, akamambia: ,,siwezi, bana. aka- mambia: ,,bassi, pataneni weye naye.” yakamsamehc; ndipo ilivopita!) hokumu. |

wakaondoka wote pia, kulla mtu yakajuta. mwenyi mamaye yakajuta, ,,kheri ningalipokea fedda pale kwanza;“ na yule mwenyi kutaka kichwa yakajuta, na yule mwenyi mkewe yakajuta.

sultani yakatoa “askari, wakampeleka hatta kwao yule Muhemedi, wakamgabidi?) mama yake na baba yake, wakawambia: ,,mwanenu3)

emewasiri?). bassi ndipo ilipokwishia. Muhemedi bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

1) ilivyopita. 2?) ar. in Empfang nehmen. 3) mwana wenu; seltene Zusammenziehung. 7) amewasili,

Usishike shauri la mwanamke.

Alitokea mfalme, akanena: ,,shauri la mwanamke asishike mtu“. akitokea mtu na mkewe, anakwenda tembea. wakapata mahala pana mitende mingi. akapanda juu manamme, juu ya mtende kungoa tende, apate kula yeye na mkewe.

alipopanda juu, akashika kuti kavu. yule mwanamke chini aka- mwambia mumewe: ,,uache kuti kavu, ushike kuti bichi, kwa sababu hilo kuti kavu halina nguvu“. yule mwanamume akawaza akanena, sultani amesema ,,msisikilize mashauri ya waanawake.” akashika kuti kavu, ili kukataa shauri ya mwanamke, akaanguka chini akazimia!).

khalafu yule mwanamke alipomwona yule mumewe amezimia, akalia mwanamke. marra wakija wenyewe wenyi mitende yao, waki- mwuliza?) mwanamke: .,,unalilia nini?" akanena: ,,nalilia mume wangu, amekufa. alipanda juu ya mtende, akashika kuti kavu, hamwambia?) vShika kuti bichi,“ asigubali, akaanguka, akifa?), na sasa nalilia mume wangu.”

wale wakamwambia: ,,kama alishika kuti bichi mumeo?), naye akiwa mzima, tungalimpiga mikuki akafa, walakini sasa haiduru?). wa- kamchukua mwanamke.

hatta asubuhi yule mumewe ikarejea roho?) yake, akatazama mkewe amechukuliwa, akanena; ,,kama ningalishika kuti bichi, hafu-

ata$) maneno ya mke wangu, wangaliniua.“ Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.

1) das Bewusstsein verlieren. 7?) wakamwuliza. 5) nikamwambia. 4) akafa. 9) mume wako. 9$j)ar. schaden. “Jj ar. Seele. $) nikafuata,

Mtoto mtundu!) lazima kumrudi?).

Alikuwako mtu mmoja, ana mali mengi, lakini anataka mtoto, hajapata. akaweka naziri”): ,,nipatapo mtoto, gadrif) atakalofanyiza?) simrudi."

akapata mtoto, akamlea, hatta akiwa mkubwa. alipokuwa mku- bwa, yule mtoto hufanyiza utundu, hana heshima?), haogopi watu; kulla mtu akamwona humtekenya?).

wakenda watu, wakimwambia babaye) ya kama: ,,huyu mtoto mtundu, hana heshima, kulla mtu anayemwona humtekenya.“ na yule baba yake hamrudi mtoto wake, kwa sababu ile naziri, aliyoweka auwali.

siku moja akamtekenya mtu, akastuka?) yule aliyotekenywa!, ana kisu mkononi, akampiga nacho, akamwua akafa.

alipokufa, watu waliobagi mjini, wakimwambia baba yake ya kama: ,,mwanao amekufa kwa sababu ya utundu; nawe hukuweza kumrudi mtoto wako? kulla tukinena nawe husikii, na sasa mtoto wako amekufa, hapana da“awa!J).? akashukuru !?) muungu.

hadithi hii hadithi ya mtu mwenyi mtoto mdogo, akifanyiza utundu, wajibu 3) kumrudi.

Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi.

1) unartig. 2) rudi hat die Bedeutung zuriickkehren, dann zurecht- weisen, bestrafen. 59) ar. Geliibde. f) ar. ungefihr. 9) lo auf neno be- ziglich. 9) ar. Respekt. 7) kitzeln. $) baba yake. 9) auffahrer, erschreckt werden. 10) das relat. yo fiir ye der I, Klasse ist sehr hiufig. 11) ar. Prozess, Klege. 72) ar. danken. 13) ar. Pfiicht.

Mwarallimu'!) mwenyi 'agili?).

Alitokea mw'allim mmoja wa kizungu, aliyejua kusoma sana; vamcekuja?; kutoka Ulaya?). akauliza mw'allim: ,,nani anayojua kuso- ma” akaambiwa: ,,watu wengi wanajua.” akasema: ,toka niliposoma mimi, sikuona mw'allim ajuave kusoma kama mimi.“ wakamwambia: utele hapa, wapo hao wafallim.“ , twendeni mnipeleke;" wakimpeleka.

kulla mw'allim humwuliza: ,,kitamu nini?" wale wafallim hum- jibu, wakasema: ,tamu roho?) na 'afyaf) na bakhati?) na mali na uzima na kesho kuingia peponi.” vule mw'iallim wa kizungu akawambia: bado hamjanambia kweli.” wakasema: ,,kwa nini?" ,hamkijui kitu kilicho kitamu nyie58;.“

Ii) ar. Lehrer. 2?) ar. Verstand. 53) amekuja. 1) ar. Bezirk, Provinz. Dcr Suahceli versteht unter Ulaya Europa resp. Deutschland und in zweiter

Linie ,,Heimath“ iiberhaupt. ?) ar. Scele. $) ar, Gesundheit. 7) ar. Gliick. $ . . ) NINYI.

27 akamwona mw'allim mmoja, emekaa!) kitako barazani pake, eme- shika?) kitabu anasoma. yule mw'allim wa kizungu akamjongelea garibu yake, na yule mw'allim yasimtazame, yameshika kitabu chake, emejinamia?), anasoma. akamwambia mw'allim: ,,kitamu nini?“ yule mw'allim wa kiswaheli akamjibu, akamwambia: ,,kitamu wali.“ akatoka akenda zake hatta kwao Ulaya; akakaa miaka 'asherin,. akiwa mtu mzima. khalafu alipokuja zake kwa yeye), yule mw'allim wa kiswaheli, akamwambia: ,,mw'allim, kwa nini?" akamwambia: kwa nyama.” akampa mkono, akamwambia: ,,weye mw'allim mku-

bwa, hapana mwingine tenna." Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) amekaa. 7?) ameshika. 3) amejiinamia. 4) besser kwake.

Mashindana)).

walishindana watu wawili kwa shuruti?) yule mtu mmoja aka- nena: ,,hapana mtu anaweza mtezo?) wa watoto.” yule mwenzi wake akanena: ,,mimi naweza.” wakafanya mashindana, akamwambia: ,,uwe- zapo mtezo wa watoto, ntakupa reale mia.” naye akanena: ,,kama sikuweza takupa?) reale mia. j

akenenda katika mtezo wa watoto, akateza?) nao kulla namna. khalafu alipoona watoto wakavua nguo zao wote, wakenenda tupu, veye asiweze kuvua nguo, ajili9) yeye mtu mzima. akashindwa, akatoa

rcale mia. Mubhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) Wette. 2?) ar. Bedingung. 3) mchezo, 1) nitakupa. 9) akacheza. 6) ar. Grund; gebrauchlicher ist sababu, kwa sababu als ajili, kwa ajili.

Dijoni na Tarafu.

Palikuwa mjini watu wawili, wana 'agili sana. mmoja jina lake Dijoni, na mwingine Tarafu. ikakuwa!) pale sulutani?) moja; yule Tarafu akakuwa3) katika rafigif) zake.

yule sulutani alifanyiza shauri kumkamata yule Dijoni. akenda akafanyiza karamu kubwa sana. na yule rafigi yake Tarafu, alipopata khabari, ya kama sulutani alitaka kumfukuza Dijoni, akachukua mchele kidogo na nyama kidogo, chakula chote chilikuwa?) katika karamu

1) besser ikawa. 7) sultani. 5) akawa. 41) ar. Freund. 9) kilikuwa.

28

amechukua kidogo kidogo kwa yule rafigi yake. akafanyiza paketi!) kidogo?), akampa mtu kupeleka kwa Dijoni.

na yule Dijoni khalafu akaja nyumbani kwake usiku, akakuta ile paketi kidogo, akafungua. alipoona vitu vidogo hivi vyote, aka- tambua maana?) yake, yaani?) sulutani alitaka kumkamata.

aka“azimu”?) kuondoka usiku na vitu vyake na mke wake na mama yake. akachukua tenna mbuzi wawili na ngombe wawili, aka- wafunga mlangoni kwake nje. walikuwa wanalia sana, yule Dijoni akathanni$), ,,sasa wanakuja kunikamata“, yakakimbia, na vitu vyake na mke wake na mama zake na mbuzi na ngombe vyote?) akawacha palepale nyuma.

siku ya pili watu wa sulutani wakenda nyumbani pake kumka- mata, wakamkuta hayupo, amekimbia.

ikapata mwaka mwingine, yule sulutani akafanyiza shauri, alitaka kufanyiza suluhu?) na yule Dijoni. akatuma watu ya kuwa; ,,sitaki ugomvi na wewe sasa, urejee papa hapa mjini.” na yeye akasema: Ndio, ntakuja;“ lakini yeye hakuja.

yule sulutani akafanyiza watu kwenda mchukua, yakamambia yule Tarafu: ,,nenda, ukamlete Dijoni.” yule Tarafu akasema: ,,mimi sitaki kwenda, kwa sababu nikenda ntasema, labda nimesema na yeye.” khalafu yule sulutani kamambia: ,,nenda, kwa sababu weye rafigi yake, ukenda weve atakuja.”

Taratu akafanviza safari?), akafika kwake. walipokutana, Tarafu akashika upanga wake, akamambia rafigi yake: ,,nimetumwa na sulutani kuja kukuchukua.” Tarafu aliposema maneno haya, akafanya “alama!9). na upanga wake, Dijoni akajua akamambia: ,,ngoja kidogo, nakuja, navaa nguo zangu kwanza.” marra akakimbia, sababu ametambua katika “alama sulutani alitaka kumchinsha.

“Abdallah bin Musa.

1) das deutsche Wort Packet. 7?) besser ndogo. 3) ar. Bedeutung. 4) nimlich. 9) ar. sich entschliessen. 69) ar. glauben, meinen. 7) zu er- ganzen vitu. 83) ar. Frieden. 9) ar. Reise. 19) ar, Zeichen.

Mfalme na waziri wake.

Alitokea mfalme katika inchi yake; na waziri wake mmoja hum- penda sana. na katika inti!) za mfalme yule zimo nyumba mbili za mawe tu, moja va mfalme na moja ya waziri wake; bassi hapana nyumba ningine ya mawe katika mji.

1) inchi; inti und nti (Lamu Dial.) sind neben inchi gebriuchlich.

29

hatta siku moja akibarizi mfalme katika barza!), na watu waka- kutana sana. akaletwa mtu mmoja mbele ya yule mfalme, na jamf'ei ya watu wakubwa katika barza. mtu yule ameshitakiwa, sababu ame- zini na mke wa mtu mkubwa, mfalme akafanya ghadabu?) sana. aka- ondoka waziri wa mfalme, akawaamru 'askari kumkamata, kumfunga yule; akiamriwa kuuawa.

khalafu akanena yule mtu, akanena: ,,msiniue, nna?) neno nataka kusema.” yule mfalme akasema: ,,mmwacheni, msimfunge.”“ waki- mwacha), wakimwambia: ,,sema maneno yako.” khalafu yule mtu akasema, akamwambia mfalme: ,,;iko mbegu kwangu, nataka kupanda." mfalme akamwuliza: ,,unayo mbegu gani?" akamjibu akamwambia: “mbegu ya lulu, ndio niliyo nayo.” mfalme akamwambia: ,,kalete?), nipande.” akanena: ,,;ina shuruti9) mbegu hiyo, kupanda kwake shurti ipatikane mahala panapo nyumba ya mawe ivunjwe, ipatikane ki- wanja cha nyumba ya mawe pasaftidiwe?), ndipo panapofaa kupanda mbegu hiyo.”

mfalme akamwambia waziri wake: ,,amru$) nyumba yako ivunjwe.“ ikavunjwa nyumba va waziri wake, pakitengezwa kiwanja. wakimwam- bia: ,,sasa lete mbegu, upande.” akanena: ,,ipo shuruti ya pili.“ aka- mwambia mfalme: ,taka mtu, asiyopenda waanawake, huyo ndio afaaye kupanda mbegu hiyo.“ akidabbiriwa?) mtu, asiyopenda waana- wake, katika buldani!?) zote, asipatikane.

khalafu akija!!) sultani wa inchi ningine kutembea katika milki!?) ya yule mfalme. akampa khabari zote yule mfalme, akamwuliza mfalme mwenzi wake, naye akamwambia: ,,hatta katika inchi yangu hutapata mtu asiyopenda waanawake.“ akasamehewa yule mtu akapata sa- laama kwa vule mfalme asiuawe, walla asifungwe, akapata amani, akenda zake.

Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi.

1) baraza. 2?)ar. Aerger. 39) nina. 1) wakamwacha. 9?) ukalete; besser lete. 6) ar. Bedingung. 7?) ar. reinigen. $) amuru. ?) ar. anordnen, disponiren. 10) ar. beled pl. buldan Ort, Stadt. 11) akaja. 12) Reich, Herrschaft.

Mwallim!) mtaowa na shetani?) zake.

Kuwa mw'allim, ana rafigi zake shetani wawili. na yule mw'allim kazi yake ya :kusali?). killa siku, hatta kutembea njiani, anataka kusali tu. hatta mwanamke kuoa hataki, alitaka kusali, ndio kazi vake.

1) ar. Lehrer. 2?) ar. Teufel, Verfiihrer hier. 9) ar. beten.

zo

siku moja yule rafigi yake, shetani mdogo, akafanyiza shauri na huvu shetani mwingine, akasema: ,,nataka kumhadaya!) mw'allimu, yawache?) kazi ya kusali“ vule mwingine akashindana”); akamam- bia: ,,huwezi kumhadava.” na yule mdogo wa shetani akamambia: ntaweza.”

yakenda, yakamtafuta mwanamke mzuri sana, mtoto bado, “omri!) wake miaka sitta'ashara. akamchukua akamfanyiza nymba garibu na yule mw'allim wa kusali, akamambia: kaa wee?); kesho kapiga kelele kuwa huwezi."

siku ya pili yule shetani yakafika kwa yule rafigi yake mw'allim, kamambia?): ,,yuko mwanamke kijana hawezi sana, usiku halali, njoo umtazame.“ na yule shetani amechukua ulewi?!), amemwekea yule kijana. yule mw'allim akafika kwa yule kijana kumtazama; ikakuwaf?) siku zote anafika kumtazama. na vule manamke kijana, alipomfika)), akimgaribisha yakimpa mvinyo!) kidogo, akanywa mwenyewe, hatta khalafu wakilewa wote mawili. na munda!!) wa miezi minne vule mw'allim amefanyiza mtoto kwa yule mwanamke.

khalafu yule mw'allim ameogopa kwa sababu ya kulewa, amejua kama shetani amemhadava, akamchinsha yule mwanamke na yule mtoto wake.

mwisho wake akakuwa???) shetani vilevile.

“Abdallah bin Musa.

1) verfiihren. ?) aache. ”) wetten. Bar. Alter. 9) wewe. $) akamambia. 7) berauschende Getranke. 9$)ikawa. 9) besser alipomfikia, 10) jedes starke berauschende Getrank. 11) mudda. 12) akawa.

Mahomedi.

Alikuwako mtu mmoja, jina lake Mahomedi; akawa na mali sana. akawa tenna manamke, binti sultani, naye mzuri sana. naye Maho- medi anamtaka; bassi mali yake yote anampa manamke. na yule manamke alitaka kumnyanganya mali yake, walakini hamtaki. bassi fedda nyingi anawapa tenna watumwa wake, walakini hampati bibi.

hatta siku hiyo akamwita bibi, akasema kama: ,.leo njoo kwangu.“ alipokwenda akapewa kileo, akalewa sana. khalafu bibi akamuliza: ,,una mali yako giasi!) gani?“ akamambia: ,,nna laki?) ya fedda.” akamambia: ,,vema, mali yako yote unipe mimi, nawe utani- pata, ntagubali kuolewa.” yakampa mali yote Mahomedi. alipokwisha kumpa, akamfukuza Mahomedi.

1) ar. Maass. 72) hindust. lakh 100000, pers. lik s0000.

31

akawa maskini sana, akaomba mjini. khalafu siku moja aka- mambia mamake!): ,,mimi ntatokomea?) mjini.“ bassi yakaondoka mjini, akenda zake. akenda siku sab'a, hapati chakula, walla hapati maji. akenda kutana matango mahali yamewiva sana; akenda akatafuna tango moja, akaota pembe mbili za kichwa. akenda zake, yakasema: ”nnasimama ntaanguka, hapa sipati jengine nitafune, maana njaa inaniuma sana.”

yakenda mbele, yakapata tango bichi, yakatafuna; pembe zika- anguka chini. khalafu yakachuma matango mabichi na mabivu, akachu- kua mpaka mjini alikotoka. yakamona yaya wake3?) binti sultani, ya- kampa matanga mabivu, akamambia: ,,kampe bibi.” yakachukua tango, akenda akampa. alipotafuna, zikaota pembe. wakesha kufanza dawa, zile pembe zikakaa vilevile kichwani. sultani akasema: ,,mwenyi kufanya dawa zikaanguke, ntamoza huyu mwanangut?), ewe?) mkewe."

akatokea Mohamedi, akamwambia sultani: ,,nikafanza9) dawa, zianguke pembe, mke nioe mimi, lakini nipe khatti?) ya mkono wako.“ akafanza dawa Mohamedi siku sitta; siku ya sab'a zikaanguka pembe. zilipoanguka pembe, ikapigwa mizinga mingi; khalafu aka- mwoza mke.

alipokwisha oa, akamambia: ,,nipe mali yangu, maana ulinitoa khada'a$), mali yangu ukanidanganya, na sasa nikatafuta uganga ku- pata mali yangu; na sasa nipe mali yangu.“ manamke akamambia: mhaya, mali yako na mimi sawasawa, sasa ntakupa nini?“ Mohamedi akasema: ,shurti?) unipe mali yangu, kama nilivyokupa.“

sultani akasikia khabari, akampa usultani mkwewe, aliyomolea mwa- nawe. naye akakaa mjini hana hokumu!?), hokumu yote kwa mkwewe.

Muhemedi bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

1) neben mamaye von mama yake. 7?) verschwinden. 3) Auslassung des gen. praef. hiufig; binti sultani konnte als Apposition gedacht werden. 4) mwana wangu. ?) awe. 6$) nikifanza. 7) ar. Schreiben, Schriftstiick. 8) ar. betrigen. 9) ar. Bedingung. 10) ar. Urtheil, Gesetz, Herrschaft.

Mtoto mwenyi kigongo.

Palikuwa mtu, akazaa watoto wanne; wale watatu wakimchukia!) yule mtoto wa mwisho, kwa sababu mwenyi kigongo. na yule baba na mama walimpenda sana yule mwenyi kigongo.

1) wakamchukia,

32

khalafu baba yao na mama yao wakafa. wakarithi!) wote mali, kulla mtu akachukua sehemu?) yake. yule mtoto mgonywa akafanya karamu), akawetaf) rafigi zake na ndugu zake, wakaja katika karamu. akawambia: ,nasafiri kuondoka hapa, ninyi na mkae hapa, na miye”) ntaleta barua huko.“ akanunua punda moja, na vitu vingine vya safari, akaondoka, akafika njiani katika inchi haina mtu.

khatima siku moja akakuta mama moja mzee. yule mama aka- mambia: ,unakwenda wapi?” akamambia: sijui huko naokwenda, na naotoka?) sijui.” yule mama akamweka pale katika nyumba yake, kamambia: ,njoo, tukae hapo wote wawili.“

khalafu pana pahali pengine, si mbali sana, iko nyoka kubwa nyumbani mwake. ile nyoka siku moja hujigeuza mtu, kwa sababu ni shetani, na siku moja ni nyoka, hukamata watu njiani.

akamkamata yule mtoto mgonywa. yule mama akamtafuta siku mbili, asimwone. na yule nyoka akamambia yule mtoto: ,njoo hapa ukae kitako, kanipikie?) chakula.“ na ile nyumba viko vitu vingi sana; ile nyoka huchukua vyote nyumbani humo.

kulla siku nyoka hutoka kutafuta vitu, hurudi jioni; akaja, akala, akalala. na yule mtoto kazi yake kufanyiza chakula.

siku moja akafanyiza maji ya moto sana. alipolala nyoka, akam- mimina maji yote katika kichwa; akafa nyoka.

akarudi kwa mzee, akamambia khabari zote. khalafu akarudi akachukua vitu vyote, kachukua?) frasi na punda na kulla kitu aka- chukua; akenda akajenga mji mkubwa, akawa sulutani?) mkubwa.

“Abdallah bin Musa. 1) ar. erben. 2?) ar. Amntheil. 3) ar. festliche Bewirthung. 49) aka-

waita. >?) mimi. 6) besser nakokwenda und nakotoka. 7) ukanipikie. $) aka- chukua. 79) sultani.

Maneno matatu.

Palikuwa sultani, kakaa!) katika mji. akawaita watu wote walio katika mji, akawambia kuwa: ,nataka mnambie maneno matatu.” nao watu wakauliza: ,maneno gani unataka“ kasema?) nauliza: vikiwa?) imekuja njayaf?), khalafu njaya ikatoka nyumba gani huwa njaya killa siku?“

na jingine”): ,ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka nyumba gani huwa ugonywa?“

1) akakaa. 2?) akasema. 5”) fiir ikawa, 1) njaa. >?) auf neno be- zuglich,

33

na la!) tatu: ,ikawa vita; na vita zikisha toka nyumba gani huwa vitar“

na watu mjini hawajui; akawauliza watu wote, bapana mtu aka- jua. hatta siku ya pili mtu moja akasema: ,yuko mtu ambayo?) mzee, hayuko hapa, naye atajua, tukamwite; wakenda wakamwita.

alipokuja, wakamwuliza. akasema: ,ikiwa njaya, na njaya ikaondo- ka; nyumba enyi?) njaya nyumba ya mtu mvivu.“

Ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka; nyumba vya ugonywa nyumba ya mtu mzee, hautoki ugonvwa.“

”Mmjini ikiwa vita, vita zikatoka; na nyumba enyi vita ma- namme mwenyi wake wawili.“

aliposikia maneno haya, sultani akasema: ,ndio, maneno yako kweli.

“Abdallah bin Musa.

1) neno. 2?) veraltetes Relativ. 3) yenyi.

Bibi mungwana na bibi mtumwa.

yuko mtu alikuwa na manamke na mjakazi wake. na yule mkewe akizaa naye, akazaa watoto; mjakazi wake akazaa naye, akapata watoto. na sura!) zao ote?) sawasawa. tenna yule mjakazi na yule mwanamke nuru”) zao sawasawa.

khalafu yule mwanamme akafa, wale warithi?) wake walitaka kurithi?). wakawakamata yule mama, mjakazi, wakasema: ,,wewe bado?) uko katika utumwa; umezaya?) na baba yetu, lakini bado hakufanyiza mungwana."“ na yule mjakazi akasema: ,,mimi ni bibi yenu, mimi si mtumwa, mtumwa ni huyu mwingine.”

kakuwa?) da“awa?) kubwa sana; wakachukuliwa wote mbele ya magadi 9). wakifika, hawajui nani mjakazi nani bibi, sababu nuru zao sawasawa.

mwisho ikakuwa!!) mtu moja mzee wa katika wao kafanviza!?) shauri. wakachukuliwa yule mjakazi na watoto wake, wakatiwa katika chumba chenyi kiza !5), na yule bibi na watoto wake wakatiwa kazalika H) katika chumba chenvi kiza; na katika kulla chumba kina chakula.

1) ar. Form, hier Gesicht. 7) ote gebriuchlich neben wote. 3) ar. Licht, hier helle Hautfarbe. 9) ar. Erbe. 9) ar. erben. 8) zu erginzen huru. 7) zaa. 8) ikawa. ar. Klage, Prozess. 10) ar. Richter. 11) ikawa. 12) akafanyiza. 13) neben giza, Dunkelheit. 14) ar, gleichfalls.

Velten, Suaheli-Mirchen. 3

34

khalafu yule mjakazi na watoto wake wakashikwa na njava!), wakala katika kiza. na wale wangwana kazalika wakashikwa na njaya, lakini wao wakapiga mlango?) kutaka taa, wapate kula.

khalafu vyumba vyote viwili vikafunguliwa. wakakuta yule mja- kazi na watoto wake wamekwisha kula chakula, na yule mungwana na watoto wake hawakula bado. vule mzee akasema: ,,kweli, hawa

ndio watumwa.” “Abdallah bin Musa.

1) njaa. ?) mlangoni.

Kibwana na kibibi.!)

yakitokea maskini ya muungu, amekaa katika inchi ile. yule maskini ana mkewe, amezaa mtoto mwanamume. yuko sultani katika inchi ile amezaa mtoto mwanamke.

wakikaa siku nyingi na miezi mingi na miaka mingi, hatta mtoto mwanamume yakibaleghi?), yakiwa mtu mzima. na yule mtoto wa mfalme amekwisha vunja ungo; yakikaa mwaka moja”) yakibaleghi. vi- jakazi wake wote wakisifu?), kama mtoto wa bwana mzuri sana, walla hapana mwingine tenna.

na yule mtoto wa maskini jina lake Kibwana. bassi, wale wa- jakazi kulla siku hunena: ,,kama kibibi vyangalimpata mardadi?) kama huvu Kibwana, mtoto wa maskini! kuwa mwana mardadi sana."

hatta siku hiyo wale wajakazi wakimwambia bibi yao kama: mbibi, yuko kijana kizuri sana.” akiwambia: ,,anakaa wapi?" wakisema: mbibi, yanakaa hapa mjini, ni mtoto wa maskini."

na vule Kibwana, tangu amemwona huyu kibibi, akikataa chakula. mama yake na baba yake humwuliza: ,,Kibwana, una nini? una kichwa? una homa: Kibwana jibu lake huwajibu: ,.sina homa walla kichwa, lakini yuko mwanamke moja mzuri sana, nampenda sana.” yule Ki- bwana, mtoto wa maskini, kulla siku hunena vilevile. na babaye hu- mwambia: ,,€6€, mwanangu, utasikia? watakuchukua wakakuchinsha; mtoto huyu wa sultani, usifanze zarau") yako.”

na yule mtoto wa sultani amesikia, kama yule mtoto wa maskini yananitaka mimi, yanioe yeye. roho vyake anampenda, walakini atam- pataje kumwoa?

1) Diese Erzahlung hat cinige Aehnlichkeit mit mtoto wa sultani na mtoto wa mfalme. ?) ar. mamnmbar. 3) mmoja. 1) ar. Inf. sifa, gute Eigenschaft (beschreiben). ?) schmuck, eitel. 9) ar. zara, verachten, hier: mach dich nicht zum Spott anderer.

35

na yule kibibi akapewa rizigi!) yake vyakula vya siku settin, na vitoweo vya siku settin, na kuni, na maji, kulla zana?) za matumizi”) wafanyiza pamoja na mchele wake. yakijifungia mlango mudda wa mwezi mmoja; baba yake hakumuliza.

siku hizi yakitoka, yakamamkia baba yake, yakitaka zana zake zilezile za miezi miwili, siku settini. yakapewa yote, yakenda zake, yakajifungia ghorfani kwake.

hatta siku moja wakimteremsha wajakazi wale katika kikapo, ya- kishuka kibibi yule, yakenda nyumbani kwa yule kijana, yakipiga hodi; yakimwitikia, yakifungua mlango, yakipita hatta ndani, yakimgaribisha, akikaa kitako.

kijana amefurahi sana kama amemwona. wakizumgumza mwezi u nussu. hatta siku moja kibibi yakimwambia kama: ,,mimi si mwenzio?), nimekuja kukutezama?”); na wewe usinitie rohoni mwako, kwa ma'ana mimi mtoto wa sultani, akikusikia atakuchinsha.”

yakitoka, yakenda zake; hatta wajakazi wakimwona bibi anakuja wakateremsha kikapo. kilipoteremshwa, vakiingia kikaponi, wakam- vuta, yakifika hatta juu.

na vule Kibwana yakikaa siku nyingi, hatta siku hiyo wyakifikiri$), yakimambia mama vyake: ,,nifanyizie mikate; kesho, nikija'aliwa?), sina buddi?) kuondoka.“ yakitoka yakenda zake nyumbani kwake. na vule kijana mwanamke ametoka yapata siku sitta.

na vule Kibwana yakenda hatta yakafika njiani; pana mti mku- bwa, yakikaa chini ya mti, yakapumzika. khalafu yakipanda juu ya mti, yakiona mwanamke mahali mbali sana, na garibu yake pana ziwa la maji; mwanamke huyu kizee?), amekaa kitako, amechoka.

Kibwana vakenda hatta yakifika kwake. alipomwona yakimwam- bia: ,,umekuja taka nini?“ yakimwambia: ,,mama wee, unajua msiba 10) wangu! unaniulizaje?” yakimambia: ,,utapona, inshallah.“

bassi, wakenda zao wote wawili mahali mbali, wakiona mji. wakenda hatta wakifika, wakikaa kule mjini siku nyingi. hatta siku hiyo kizee yakimambia: ,.tarudi!!).“ yakimambia: ,,wewe bibi, ukirudi, sitakupata tenna, nipe shauri lako wewe mwanamke.“ yakimambia: nitakupa dawa ya kugeuka njiwa, uingie ukajifiche katika mapango ya nyumba ya mawe. na ukitaka kumgeukia mwingine useme ,,nataka",

1) ar. Lebensunterhalt, MNahrung. 72) Vorrath. 5) Verbrauchs- gegenstinde. 4) mwenzi wako. 9?) tazama. '#Sjar. nachdenken. 7?) ar. bestimmen; hier: wennich von Gott dazu bestimmt werde. 8) ar. Ausweg. 9) unter kizee versteht man fiir gewohnlich eine alte Zauberin. 10) ar. Ungliick. 11) nitarudi.

36

marra yakigeuka; ya pili useme ,,nataka“, utapinduka paka; na ikiwa yuko mtu mwingine useme ,,nataka“, yatageuka chui, nawe umegeuka mtu. kiisha shika bundugi umwende umwuce. ndio dawa yangu na- kupa, nami nakwenda zangu sasa."

naye Kibwana yakenenda hatta yakifika nyumbani kwa baba yake. na baba yake hakupata khabari, ya kama mtoto wake amekwenda kutembea mahali mbali. yalipokwisha mtezama, wakikaa kitako nyum- bani mwao.

hatta siku moja yakipita yule kibibi, hawara!) yake ya zamani, yakenda kutembea. marra yakigeuka njiwa, yakimrukia yakimgeukia njiwa, yakicheza naye. yule mtu anayomlinda huyu kibibi, alipoona njiwa hawa yakasta'ajjabu?). marra akaona paka, naye mwenyewe ya- kigeuka chui; naye Kibwana yakipinduka kuja mtu, yakashika bundugi, yakimpiga chui yakifa. na huyu njiwa mwingine yakipinduka kibibi.

yule mfalme, baba yake, zamani ameweka naziri”) ,,sitamwoza mtoto wangu mume illa mtu hodari)". alipopata khabari ya vitendo vya yule Kibwana, akapeleka mtu kumwita. alipokuja, akampa yule Kibwana mtoto wake, awe mkewe; yakimwoza mwenyewe. na yule kibibi hakusema tenna ya kama: ,,huyu maskini“, maneno hava yamekwisha.

yakioa Kibwana, yakitumia ufalme; yeye na baba yake na mama yake na jama'a”) wake walio mjini wakikaa kitako raha mustarehe.

Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) Geliebte, die man nicht zu hceirathen beabsichtigt, auch Liebhaber einer Frau; Geliebte, die man zu heirathen gedenkt, heisst mchumba oder mposi (Braut). ?) ar. sich wundern. 93) ar. Gelibde. 4) tapfer, tuchtig, fleissig. ?) Familie, Verwandtschaft.

Binti Matar'i!) Shemshi.?

Aliondoka sultani, yakawa na mwanawe mwanamme. vakamlea hatta akawa mkubwa. bassi akasema: ,,nataka binti Matari Shemshi"“. babaye yakamjibu: ,,mke huyu simpati miye”), ma'fana ana “askari wengi, tenna tajiri sana, na kwake ukuta wa shaba.” mtoto yakalia sana, akamambia: ,,baba, hunipendi!” yakamambia: ,,mwanangu, huko siwezi kwenda, maana nikienda ntakufa.”

yakamambia mama yake: ,,nifanyizie mikate, na maji unitirief)

1) ar. matlai Sonnenaufgang. 2?) ar. shems Sonne. 9$) mimi. 4) unitilie.

37

katika guduria.“!) wakamfanyizia vitu vyote vile, wakampa. yaka- panda frasi wake, yakaondoka yakenda zake. yakafika njiani, yakaku- tana na shetani, yakakutana na nyoka ana vichwa sab'a, anataka?) kummeza shetani. mtoto yakenda yakatoa salaamu, yakamuliza; aka- mambia: ,,nifae, mafana huyu nyoka ataka kunila.” akafuta upanga yule kijana, yakampiga nyoka, ataka kumua; nyoka akafa.

akamambia yule shetani: ,,twende kwetu!” yule kijana yakamjibu: kwenu hakwendi?) mtu, kulla enaokwenda?) hufa.” akamambia: kwetu hafi mtu; ukafa?) juu yangu mimi!” wakafuatana, wakenda hatta garibu ya kwao. yakamambia: ,,ukija kwetu usicheke, ma'ana kuna watu uso upande, kuna watu wa mguu mmoja, na wengine mkono mmoja, na wengine jicho moja.“ akamambia: ,.sicheki.”

wakenda hatta mjini kwao. wakafika kwa baba yake, akauliza: mtu huyu umempata wapi?” asema: ,,cmeniponya$9) njiani; kama si huyu ningalikufa. mafana tulikutana na nyoka, yakataka kunimeza, huyu yakamua nyoka; nikamambia ,,;twende kwetu“; yakakataa sana, khatima nikambembeleza?) kwa nguvu.“ ikafanyizwa karamu nzuri na ngoma kupigwa. akakaa miezi minne, akawambia: ,,nataka kuon- doka, ma'ana nimekaa siku nyingi."

shetani akamambia: ,,somo$), tunakwenda kwa baba, atakupa mali mengi, kataa, illa taka kitwana, jina lake Kibelei.”“ wakafuatana wote, wakenda baba yao kumwaga safari. yakapewa ngamia sab'a na kulla ngamia shehena?) fedda kwa zahabu; yakapewa na wachunga sab'a na kulla mchunga ana nguo zapata reale mia. mtoto yakakataa yote, akawambia: ,,nataka Kibelei“; alivyosema yakaanguka.

wakamchukua nyumbani, hana “agili, yakaugua siku nne. siku ya tano yakapata 'agili, yakamuliza: ,,mwanangu, unataka nini?" aka- mambia: ,,nataka Kibelei.” wakapelekwa watu kutafuta Kibelei, yaka- patikana, yakapewa. alipopewa, yule kijana yakakasirika sana, yaka- mambia: ,,weye, mwenzangu, mbaya, hukuwacha mali kunipa, unanipa kitwana huyu, hapati hatta rupia kumi.“ yule akasema: ,,mimi nakupa, mchukue.”

mtwende sasa kwa mama, twende tukaage; kwa baba tumekwisha aga, ndio twende kwa mama. na kwa mama utapewa mali mengi kataa, utake upatu,"19) akamambia: ,,nimesikia.” wakenda hatta kwa mama yao, akamambia: ,,mama, kwa heri, nakwenda zangu.” yakampa

1) Thonkrug. 72) statt aliyotaka. 93) haendi gebrauchlich. 9) ana- yokwenda. 9) ukifa. $) ameniponya. 7) liebkosen, jd. zureden. $) Freund, wenig gebrauchlich. 9?) ar. Last. 10) Messingteller, der als Musikinstru- ment dient.

38

ngamia kumi, na kulla ngamia ana twike!) ya fedda na wachunga kumi. yakakataa yote, akamambia: ,,nataka upatu." alipokwisha ku- sema, yakaanguka. wakamchukua nyumbani, yakakaa siku tatu; siku ya nne yakapata 'agili. yakapewa upatu, akaondoka akenda zake.

moyo wake ukakasirika sana, yakasema: ,,mwenzangu mbaya sana, amenipa vitu havipati hatta rupia tano.“ akaondoka na uchungu wa moyo wake, akenda zake na mtumwa wake na upatu wake, hatta njiani akakaza mwendo sana, ili gusudi?) kumtupa yule mtumwa, ham- taki. kulla akenda, yule mtumwa yuko nyuma. hatta saa sitta waka- fika mti mkubwa, wakapumzika.

mtumwa yakamambia bana wake: ,,kwa nini bana hatuzum- gumzi'“ bana wake akamjibu: ,,ntazumgumza na nani?” yakimambia: khassa?) mali uliyopewa ungaliyafanyaje?" akamambia: ,,ningalijenga nyumba ya mawe, ghorfa tatu, nikanunua na vitwana na vijakazi na masuria mazuri, ningalikuwa tajiri.” yakamuliza: ,,ungalijenga mahala gani?“ akamambia: ,,ningalijenga juu ya mrima.“f) akamambia: ,,kaa kitako upatu, piga bismillahi ondoke!” upatu ukaondoka, ukampeleka

hatta palepale alipotaka.

j marra ikaota nyumba ya mawe kubwa, na vijakazi wengi na vitwana wengi na fedda nyingi na masuria mengi. kule watu waka- sema: ,,hii “ibura?) gani? sasa hivi pakawa mwitu, sasa pana nyumba, sasa kumekuwa nyumba ya mashetani“; wakakimbia watu wote.

akakaa pekeyake mjini. mtumwa wake yakasema: ,,ntafanya hila za kuwaita watu.” hununua vitu vyote kwa themani?) kubwa. watu wakafanya tama'a?), huja watu wengi sana wakauza vitu, naye hunu- nua vyote. bassi, wakaja watu mjini tenna, wakakaa kitako tenna mjini, lakini kule kwake wanafanza oga kuenenda. mtumwa wake akenda mjini, yule Kibele, akasema: ,,nimetumwa na bwana, anaweta?! watu wote mjini, kwa saa tatu mwende kwake." watu wakasema: inshallah, tutakuja.”

akenda akapika wali mwingi yule Kibelei kwa sahani?) za fedda; kulla sahani mna kitwana moja kusimama. wyakafagia sebleni10), yaka- weka sahani, yakafunika na shuka. wakaja watu wakala, waliofanza oga wakajuta; lakini bana wake Kibelei!!) hashuki chini. walipokwisha kula wakenda zao.

Kibelei yakenda yakamambia bana wake: ,,ulitaka kwenda kuoa binti Matari Shemshi, mbona huendi?" akamambia: ,fanza hila,

1) Last. 2?) ar. Absicht. 5) ar. besonders. 9) mlima. 9?) ar. Beispiel, Zeichen. '#$j)ar. Preis, Werth. Yar. Verlangen. 8) anawaita. 9) ar. Teller. 10) sebule Empfangshalle. 11) gen. praef. ausgelassen.

39

twende!” akamambia: ,,jingia katika upatu." akaingia ndani, upatu ukapaa, ukenda!) hatta binti Matari Shemshi, ukenda mpaka mwan- goni.”) wakakuta 'askari thelatha mia; akamambia bana wake: ,,una- ona “askari hawa?” wakapanda ghorta mbili?), wakenda wakakuta “askari mia. wakapanda ghorfa ya tatu, wakakuta wajakazi mia; waka- panda ghorfa ya nne, wakamkuta bibi kalala. alipomtazama vya- lianguka. wvyakamuliza: ,,bwana, unaangukia nini?“ vyakamambia: tokea ndipo zaliwa, sijamwona mzuri kama huyu." Kibele; aka- mambia: ,jifunge?) vitambaa vya macho, tumshike tumweke katika upatu.“ wakamshika wakamweka katika upatu. upatu ukaondoka hatta nyumbani kwao; wakenda wakakaa kitako.

mwanamke alipoamka, yakauliza: ,,miye?) niko wapi?" akaam- biwa: , tulikuja kwenu, tukakuchukua.” mwanamke akakaa kitako na bwana wake. naye mtumwa hamkumbuki, huko juu alikopanda ha- shuki chini, walla hamwiti, walla hampi chakula. yule mtumwa aka- sema: ,,bwana wangu mbava, haya?) asingalipata kama si miye, leo wanawambiwa?): ,,Jhuyu msimpe chakula, walla msimpe maji; na neno ndio kosa?) silijui? watumwa wake kulla suku?) hunipiga.“

bwana wake akalala, yakaota yuko kwao, cemekaa 9) barazani anangojea muhogo wa kutafuna. alipoamka yuko kwao, nguo hana, walla kofia hana, hatta pesa moja hana. yakashukuru muungu, vaka- sema: ,,muungu kanipa!!), yakannyanganya.“!?) ndipo ulipokwishia.

'Ali bin Rajabu aus Kilossa.

1) ukaenda. 2?) mwango neben mlango gebrauchlich. 53) ya pili. 1) mfunge. ?) mimi. 9) mambo zu erginzen. ') Zu crganzen watu. 4) nimelikosa. ?) siku. 10) amekaa. 11) akanipa. 7?) akaninyangainya.

hokumu!) ngumu.

kuna waanawake wawili, wamezaa katika nyumba usiku kitanda kimoja na kiza tenna.

hatta asubuhi walipoamka, wakatazama watoto wawili, mmoja mwanamke na mmoja manamme?), hawatambui kulla mtu mtoto wake. khalafu wakaondoka wakagombana.

tenna watu wakauliza: ,jee?), khabari gani kugombana nyvief) wa- wilir? moja akasema: ,tunagombana sababu ya watoto, mwenzangu”)

1) ar. Urtheil. 2) mwanamume. 3) Ausruf des Erstaunens, etwa was ist denn das?" 4) ninyi. ?) mwenzi wangu.

40

anataka kuchukua mtoto mwanamme, kuniwachia!) mtoto mwanamke, ndio khabari yetu tunagombania?). wale watu wakawambia: ,twen- deni kwa gadi”), atazame khabari yenu.“

wakenda zao kwa gadi. gadi akawauliza: ,jee, khabari gani?“ waanawake wote wawili wakasema: ,tumezaa wote wawili pamoja, sasa kulla mtu hamjui mtoto wake; mwenzangu anataka kuchukua mtoto manammce kuniwachia mtoto mwanamke, na mimi nataka kuchukua manamme kumwachia manamke.

bassi yadi akashangaa!), hakuweza kuwahokumu, akasema: ,mtu mwenyi kuja hapa akahokumu waanawake wawili hawa, ndiye ata- kuwa gadi pahali pangu.”

akatokea mtu akasema: ,hokumu yao khafifu?); chukueni kulla mwanamke maziwa yake vapimeni, mwenyi kutokea maziwa yake ma- zito, ndiye mtoto wake manamke, na mwenyi kutokea maziwa yake mapesi, ndiye mtoto wake manamme!).

bassi, gadi akasema: ,emejuaje') khabari hii? ninakuona “agili?) yako barraba?,..” yule mtu akamambia gadi: ,“omri!?) wangu sikula samaki, illa marra moja, na tenna imekaangwa na samli, ndio “agili zangu zikaja barrabarra kichwani!!).“

“Omar ben Rufa'i aus Barawa.

1) wacha neben acha. 2) die relative Form ist hier wohi ge- braucht, da der Erzihler ninamgombania meinte,. 39) ar. Richter. 3) rathlos, in Sorge sein. P”jar. leicht. 69) aligemein verbreitete Ansicht unter den Suaheli. 7) amejuaje. 4) ar. Verstand. 9?) barraba oder barrabarra pers. gerade, eben. jar. Alter. !!) wer nach Ansicht der Araber und auch der Suaheli viel Fisch isst, dessen Verstand nimmt ab.

Vipofu watatu.!

Alikuwako mtu mmoja maskini, vakaweka naziri?): y,ymwaka ni- patao mali, nitapiga mafungu mawili, fungu moja ntampa maskini, fungu moja ntwae3?) miyef).“

yakapata kazi, yakapata rupia nane. vakenda kumpa maskini rupia nne, yakasema: ,niliweka naziri mwaka nipatao fedda, ntapiga mafungu mawili, fungu moja kumpa maskini.“ maskini akasema: |hipe haggi?) vyangu.”

1) Diese FErziahlung ist zur Halfte dieselbe wie kijana aliyeweka na- ziri na vipofu vitatu in den Swahili stories ..Kibaraka" von der englischen Mission in Zanzibar herausgegeben. Diese hier gegebene ist jedoch aus- fiihrlicher. 7?) ar. Geliibde. 59) nitwae. 4) mimi. 9?) ar. Recht, rechtliche Forderung.

AI

alipompa, yakamkamata mkono, yakalia sana maskini, vakasema: ”nmji huu hamna hakim? huvu ananyanganya fedda yangu!“ wakaja watu, “askari, wakamkamata yule kijana, wakamambia: ,kunyanganva kwako hakuna hava? unanyanganya maskini ya muungu?“ yakasema: mimi sikunyanganya.“ maskini vakasema: ,uwongo, kaninyanganya!) fedda yangu rupia nane.“ wakamfunga kamba yule kijana, wakam- piga fimbo nyingi. yakasema: ,mtaniua burre, miye sikumnyanganya." vakesha yakafunguliwa, akenda zake.

tenna maskini akenda zake. yakamvizia bassi hatta nyumba encokaa?). yakasimama maskini, yakafungua mwango”), yakaingia ndani. na yule kijana akaingia ndani. yakesha yakafunga mwango maskini, akaingia chumbani; na yule kijana yakaingia nave pamoja. yakachimba chini maskini, yakatoa chungu chake cha feddaf), na yule kijana ana- mwona, yakahasibu?) reale mia. yakesha yakachimba palepale, yaka- fukia fedda yake.

hatta khalafu yule kijana yakachimbua, yakaifungua miango yote miwili, vakamambia: .wfedda vyangu nimechukua mwenyewe; na chungu akamvunjia cha uso. wyakalia maskini sana, yakapiga makelele sana mjini. watu wakenda wakamsikiliza, wakamambia: ,una nini maskini?“ asema: ,nimenyanganvwa fedda vyangu reale mia.“ wa- kamambia: ,mwongo, kama ungalikuwa na fedda, usingaliomba.“ wa- kamfanyiza ana wazimu. wyakalia siku kucha.

hatta asubuhi yakaondoka yakenda kule wanapoomba maskini, vakakaa kitako. na yule kijana yuko nyuma amemfuata, yakenda ya- kakaa naye pamoja. yakawambia wenziwe?) kama: ,,mimi nimenya- nganywa fedda yangu.“ wakamambia: ,tueleze khabari, ilivokuwa?) hatta ukanyanganywa fedda yako.“ akawambia: ,alikuwako mtu moja yakaweka naziri, asema: ,mwaka nipatao fedda, nitampa maskini.“ ya- kapata rupia nane, yakaja yakanipa rupia nne. mimi nikamkamata mkono, nikapiga kelele; wakaja “askari wakamkamata wakampiga, bassi ndio khabari iliyonipata.“

wakamambia: ,weye mjinga weye, huna macho, fedda yako unachimbia chini? ikawa ikawaka moto ile nyumba, fedda yako utai- pata wapi? na weye huna macho, huoni!” akamambia mwenziwe: >mimi fedda yangu ntatia katika fimbo vangu.“ yule kijana anasikia, akakaa kumvizia yule mwingine.

hatta majila8) wa jioni yakamfuata mpaka nyumbani kwake. wa-

1) akaninyanganya. 7?) anapokaa. 3) nceben mlango. 1) Es ist dies die herkommliche Art und Weise bei den Suaheli grossere Summen aufzu- bewabren. 9?) neben hesabu gebrauchlich. 9) wenzi wake. 7) ilivyo- kuwa. 8) majira die Zeit, wenig gebriuchlich.

42

kenda wakaingia nyumbani wote wawili, maskini na yule kijana. ya- kakaa kitako yule maskini, yakatoa fimbo yake yakaipakata!). bassi ikesha?) yakalala na fimbo vake pamoja. yule kijana yakafungua miango yote, yakaivuta fimbo yakaitoa, yakatoka nayo mbio.

alipoamka maskini, yakapiga kelele, asema: ,mwizi3) emekuja!) nibia”?).“ watu wakaja wengi kumuliza khabari: ,una nini maskini weye, unapiga kelele burre, walla hapana sababu?“ yakasema: ,,nimei- biwa fedda yangu reale miten.“ wakamambia: ,mwongo wee, kama ungalikuwa na fedda, hungaliomba.“ wakamambia: ,ninyi mmezoea kupiga kelele burre, na kule amepiga makelele sana maskini moja kwa hu khabari ya uwongo.“ , yakalia sana maskini.

hatta asubuhi wakenda wanapoomba, wakamkuta mkubwa wao, wakameleza khabari iliyowapata. mkubwa wao yakacheka, akawambia: nyie wajinga sana.“ na yule kijana emewafuata?), emekaa?) kitako, kulla neno wanalosema anasikia. akamwambia: ,weye mjinga, weye huna macho ukatwae fedda yako ukatie katika fimbo, ukaja ukanyanga- nywa ukapigwa nayo mwenyewe; miye fedda vangu natia katika mi- fuko, nikavaa na fulana tenna, nikavaa na kanzu gusudi$) mtu asipate kunyanganya. tenna nalala meskitini, watu wote wakiondoka ukawa usiku sana ndipo nipovua?) kanzu yangu.“ yule mtoto anasikia.

yakaondoka mtoto yakenda kwao, yakamambia mama yake: ,ni- fanzie mkate, utie pilipili nyingi, unipe.“ akakaa mpaka usiku, aka- jitia upofu naye, yakavaa nguo za maskini, yakenda meskitini vyaka- mambia: ,miye maskini, nataka mahala pa kulala.“ huyu kipofu ya- kamambia: ,lala huko.“ vakampa mkate akala; alipokula mkate unao pilipili nyingi, yakafanza jasho, kulala na nguo nyingi hawezi, yaka- nena: ,ntastamirri!?) mpaka yalale huvu, niende nikoge.“

yule ,kijana yakajitia usingizi. yakamwita marra tatu asimjibu; vakasema ,yamelala.“ yakaondoka polepole hatta katika biriga!!), ya- kenda yakavua kanzu ya kwanza, yakavua na fulana, yakavua na nguo ya chini, aliyovaa, yakavua na mfuko unao fedda, yakaweka wyakatoa maji koga. na yule kijana yakamfuata nyuma yake. yakachukua mfuko wa fedda, yakatoka nje, akenda nacho.

alipopapasa maskini hapana fedda, yakalia sana, yakapiga kelele. wakaja watu wakamuliza wakamambia: ,nyie maskini mne- ngiriwa?) na wazimu, mnapiga makelele burre, walla pasipo neno.“

jin den Arm, Schoss nehmen. 2?) ikiisha. 3) neben mwevi. 1) amekuja. 9) kuniibia. 6) amewafuata. 7) amekaa. 8) ar. Absicht. ?) ninapovua. 10) ar. N. Form von marr beharren. 11) ar. Wassergefass, in arabischen Hiiusern gewdohnlich ein Wasserbehalter aus Stein. 12, fiir mnaingiliwa,

AA

43

asema: ,,nimechukuliwa fedda yangu yote.” wakamambia: ,uwongo wako, ungalikuwa na fedda ungaliombar“

yakalala hatta asubuhi, yakawambia wenziwe mambo yaliyompata usiku, akawambia: ,sasa hivi twende tukebe!) kwa sultani.“ na yule kijana anasikia, akawavizia mpaka usiku. wakenda wakeba mifuko mitatu”), wakachukua mpaka magaburini mwituni. wakakaa watu wa- tatu wakaweka mifuko mitatu; na yule kijana emewafuata?) nyuma. akawambia wa kwanza: ,gawa weye.” yule akasema: ,la, gawa weye.” wakashindana sana. yule kijana yakaondoka, akenda yakai- chukua mifuko yote, akenda akaificha.

wale wanashindana, wakapapasa hapana kitu. wakajishuku?) wenyewe kwa wenyewe, wakamfanyiza mwevi yule maskini wa kwan- za, wakamambia: ,weye mbaya sana, fedda yetu isingalipotea illa kwa ajiri?) yako weye.“ wakampiga sana kwa migongo?), naye akawa- piga; wakafukuzana mpaka mjini, wakampingia kumua, naye aka- kimbia.

yakapotea, yakenda katika mto, yakakaa kitako; na maji mengi mtoni. yakapita mw'arabu moja na mkewe na mtumwa wake na frasi watatu, wakamkuta maskini analia, wakamuliza: ,unalia nini?“ aka- wambia: ,nalia njaa, ya siku sab'a') sijala kitu.” wakampa mkate, wakampa na maji, vakala. yakesha yakawauliza: ,mnakwenda wapi? nami mnichukue.” wakamambia: ,tunakwenda kwetu.“ akawambia: nami chukueni.” mkewe akamambia mumewe: ,,usimchukue, ma'ana maskini mbaya hana imani$).<“ mumewe akamambia: , weye mbaya sana, huyu maskini yuko mtoni, hajui enekokwenda?) walla enekorudi!0).“ mumewe yakampakia katika frasi, wakenda mpaka mjini kwa sultani, mji mkubwa sana.

wakafikia nyumbani, wakakaa kitako. maskini yakauliza: ,nyum- ba va sultani garibu?“ wakamambia: ,garibu.“ ,nipelekeni kwa sul- tani!” wakaja watoto wakampeleka mpaka nyumbani kwa sultani. alipopata nje, yakaanguka maskini, yakalia sana. sultani akatoka ya- kamuliza: ,unalia nini?“ akamambia: ,nimenyanganywa mke wangu, nafsi zangu, na mtumwa wangu na fedda zangu nimenyanganywa, na hivi!!) nataka “askari waende wakawakamate.”“ wakaondoka “askari, wakenda wakawakamata, wakawaleta mpaka kwa sultani. akawauliza: kwa nini mnamnyanganya mke wake?” yule mwarabu akakana,

1) tukaibe. 7) ya fedda. 3) amewafuata. 1) ar. beargwohnen, ver- dachtig halten. 9) ar. Grund (ajili). $) gongo, mag. Kniittel, oder mgongo mig. 7?) siku ya sab'a, es ist der siebte Tag. 98) ar. Vertrauen. 9) anakokwenda. 10) anakorudi. 11) sasa hivi.

44

akasema: ,sikumnyanganya mke wake; nikamkuta yule mtoni nikam- chukua.” yule akasema: yuwongo, bana, wameninyanganya mke wangu.”

wakenda wakafungwa wote watu wanne. moja!) maskini aka- fungwa chumba cha punda, na manamme yule mwarabu yakafungwa chumba cha ngombe, na manamke yakafungwa chumba cha mbuzi, na yule mtumwa wao yakafungwa chumba cha kondoo. hatta usiku sultani yakapeleka kulla chumba “askari watu watatu kwa sikiliza MANCNO Vao wasemayo.

hatta usiku mwanamke akasema: ,mume wangu nilimambia, kana?) maskini mbaya, usimchukue, akanikaidi?), na sasa tumefungwa bilashif.< na mtumwa yakasema: vybana wangu mkaidi sana, bibi amemambia usimchukuc maskini, vakakaidi yakamchukua, na sasa tumefungwa burire.” maskini akasema: ,punda na wanyie mavi, na wanipige mateke, asubuhi ntapata mke.” “askari wakasikia killa ma- neno wasemayo.

hatta Zama za buraza waketwu?) 'askari wote: wkulla maneno mliyosikia nelezeni9).€ “askari wakamjibu maneno yote, waliyoyasema hawa watu watatu. wakafunguliwa wakasailiwa. mwanamke akaulizwa, yakaambiwa:? vyule maskini mumeo)?” akakuna akusema: ,tulimwona mtoni huyu muskini.” maskini alikamatwa yakafungwa, vakapigwa hatta yakasema:! ,si mke wangu.“

na yule akapewa rukhsa na mkewe, na mali yakampa sultani, yakamambia: wniwic radi kwa maneno ndio kutendea, usiuzike sana, huyu maskini mwongo.“ akasema: wmimi ni radi.” bassi wakashika njia wakenda zao. na maskini akakaa kitako pale mjini yakaomba kama kwanza. Muhemedi bin Diwani Tambaza

" aus Klein-Bagamoyo.

1) mmoja. ?) ncben kama. 5”) widerstreben, 9) ar. ohne cine Sache, 9) wakaitwa, 6) nielezeni. 7) mume wako.

Mchumba!) wa ndugu watatu.

yalitokea mtu moja?) yakizaa watoto watatu; na yule mkubwa wao yameposa mchumba.

wale watoto wakitaka kusafiri kwenda kuchuma mali, yakiwapa fedda baba yao kwenda fanya bfashara?); yakiwapa kulla mtu rcale mi- teni. wakiondoka kwenda chuma, wakikaa miaka mitatu.

1) Geliebtc, Braut (auch mposi genannt). 72) mmoja. $) ar. Handel.

45

mmoja, yule mkubwa wao, yakinunua kichupa cha mafuta mazuri, yakiuliza!): ,,dawa yake nini?" yakiambiwa: ,,yakifa mtu ukimtia?) hufufuka, yakiwa mzima.

na yule wa katti yakinunua kioo, yakipewa. kioo hicho dawa vyake kwenda kukitazama marra kuwa yuko kwenu, na kule kwenu mahali mbali, hana buddi?) kuona yote; ndio khabari ya kioo hicho).

na wa tatu yakinunua kitanga”). yakiambia: ,,shughuli yake nini?“ wakimambia: ,,kwenu hapo kuwa mwendo wa siku kumi hatta miaka kumi, utafika kwa siku moja, kwa sa'a mbili hufika; ndio khabari ya kitanga hiki.

kama hiyo wakikaa siku nyingi. hatta siku hiyo yule wa katti yakatezama$) kioo chake, yakiona mchumba wa kakaye?) amefarigi3) dunya?), yakimambia: ,,kaka yangu, mchumbao!!) amefaligi!!) dunya, tenna leo hatta kilio kikija amrishwa.“ yule kakaye yakimambia: ,,twende zetuni!?), tukawahi tuzike.” yakiwambia: ,,haya twendeni."

wakingia katika kitanga, kikaruka, marra kikafika. wakiwahi hatta kilio kikija amrishwa, yakinena kaka vao: ,,niwacheni nikamwage mchumba wangu.” yakungia ndani, yakimnukiza mafuta puani, marra vakiwa mzima. watu wakista'ajjabu!?), mtu yule yu kufa khalafu hufufuka.

tenna wale ndugu wakigombana. ,,mchumba huvu wangu mimi mdogo.” na yule wa katti yakinena: ,,mchumba wangu mimi.” na vule mwenyewe, mkubwa, yakinena: ,,mchumba wangu mwenyewe tokea zamani, na sasa nimempa dawa mimi mwenyewe." na yule wa katti yakinena kama: ,,siku hiyo wangu, kumwona mngalipataje kumpa mafuta yenu hayo?" na yule mwenziwe akanena: ,kama si mimi kuwaleta mngalimpataje?"

wakigombea mchumba yule, hatta khalafu wakimambia/!): ,,sasa mchague mwenyewe wa?) kumwoa.” sasa wote wanaacha kugombana. shauri gani? watu yakawashinda kumtafuta mumewe, illa hapana mwin- gine illa baba yao, ndio wa kumwoa, wote wamwite ,,mama”; mwisho ndio wakigubali. ndipo ulipokwishia.

Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) besser alipouliza. 72) zu erganzen puani. 3)ar. Ausweg. 1) oder hiki. 5) kleine runde Matte. 6) akatazama. 7) kaka yake; kaka, der altere Bruder. 939) ar. sich trennen. 9) ar. Welt. 190) mchumba wako. 11) farigi. 2) neben twende zetu, auch twendeni zetuni. 13) ar. sich wundern. 14) wakamambia. 1?) zu erganzen mume.

46 Mtu bakhili).

yalitokea mtu mmoja bakhili, yamekufiwa?) na baba vake na mama yake, yanataka kufanviza khitima?). kwa karamu hii yakinunua michele na mbuzi na bizari!) na vitunguu, kulla kitu zana?) yakinunua, illa nazi hajanunua.

yakiona ghali?) zile nazi. na mwenyewe vanajua kupanda mnazi, vakenenda sogoni') kuuliza: ,nazi giasi?) gani?” yakiambiwa?): mbili pesa, walakini ukenenda hapo mbele utakuta tatu pesa.“ yaki- pata tamaa), yakenda yakiuliza: y,giasi gani nazi?” wvakiambiwa: ntatu pesa, walakini ukenda hapo mbele utakuta nazi nne kwa pesa.“

yakenda hatta mbele, vakiuliza: ,nazi giasi gani?“ yakiambiwa: Mhizi nne kwa pesa, walakini nenda Kiungani!!) wanatafuta mkwezi!?), kama unajua kupanda, utapata nazi sawasawa!?).

na mwenyewe yakenenda hatta Kiungani, yakiziona yakiziuliza. ndiasi gani?“ yakiambiwa: kumi kwa pesa, walakini nenda hapo ga- ribu wanatafuta mkwezi wa kupanda minazi, wewe kama unajua nenda ukapanda.“ wvakisema: ,ninajua.” wakimwambia: ,haya, nenda uka- pande, utapewa nazi tele.“ yakipata tama'a yakenenda; wyakiwaona, wakimpandisha minazini, yakipanda.

na huku kawacha!?) mudda wa siku kumi kusoma khitima va baba yake na mama yake, wanamngojea wasome khitima.

na yule kisha panda juu ya mnazi, yakipindukia juu ya katti??) Hle kule la nazi, na mikono yake kazuia kuti lake; miguuye!6) kapa- suka!?), yakizuia mikono na miguuye.

yakapita mtu moja, yakamambia: ,tafaddali, ukija ukiniondosha, nitakupa reale thelatha mia.” wyakipata tamaa, yakipanda kumzuia miguu yake, ikanasa mikono yake ndani ya miguu ya yule anayomtoa, wakaninginia!3) wote.

yakipita?) mtu mwingine, wakimwambia: ,ukija tutoa, tutakupa fedda.”“ yakiuliza: ,wewce ulio juu utanipa giasi gani?” yakimambia: ambapo nikitoka salaama, nitakupa reale arba mia.” yakimambia: ha wewe ulio chini yake, utanipa giasi gani?“ vakimambia: ,nita- kupa arba mia.“

1) ar. geizig. “) amefiwa. ") ar. Koranlesung. 1) ar. Gewirz. ?) Vorrath. Sjar. theuer, 7? ar. Markt. 9) ar. Preis, Werth. 92) aka- ambiwa. 10) ar, Verlangen. 11) Vorort von Zanzibar, kiunga Obstgarten. 12) Kokosbaumkletterer, von kukwea klettern. 13) worti. das Gleiche d. h. zur Halfte. 4) akaacha. !#) Mitte, d. h. in der Krone, wo die vielen Acste zusammenlaufen. 168) miguu yake. 17) akapasuka. 18) da hingen sie beide (als wenn sie aufgehingt wiaren). 19) akapita.

47

yakipata tama'a, yakiwaza ,reale themanie mia hizi nitatwaa reale mia ninunue punda, na reale miteni nitanunua nyumba ya mawe, kidogo chanitosha; na reale mia nitanunua joho na kilemba na jam- bia, na fedda ningine nitaweka nikenda shamba nitumie nikiludi!).“

yakiwaza yakiwaza, hatta yamekwisha kuwaza na kutengeneza yalivopanda?) juu ya mnazi marra wakiporomoka?) wote na kuti lao, wakianguka wakifa. yule na matengenezo yake hakupata, ikiwa

wamekufa wote wawili.

Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

') rudi. 7) alivyopanda. 9?) herunterstiirzen,

Usijifiche kusikiliza maneno ya watu wengine.

wagati!) wa kulima na gabla?) ya kuvuna watu hufanya siku kuu. yuko mtu moja siku hii anakwenda pekeyake katika minda”), anapima anasema kuwa: ,huyu atapata mizigo khamsini, na mwenziwe!) atapata mizigo 'asherin, na huyu atapata labda mizigo mitatu ao minne.“

hatta munda wa mwaka mwingine ikakuwa?) mtu mwingine, jirani yake, akasema: ,leo mimi ntakwenda ntajificha, nisikilize ma- ncno vambayo?) yatasema huyu katika shamba langu.“ khalafu akenda akajificha katika shamba lake. na yule mtu akatokea; alipoona shamba lake la jirani yake, akasema: ,huvu atapata mzigo mmoja.“ na veye mwenyi shamba yuko hapa, akasikia maneno yale. khalafu akenda zake.

na yule mtu akenda akafanyiza muaba'?), lakini mkubwa sana sana, upata mizigo mia. siku ya kuvuna katika shamba lake ule muaba ukajaa tele; wakauchukua watu wengi sana. kutaka kufika nyumba- ni kwake, yule mwenyi muaba akafa, na ule muaba ukapotea njiani, hawajui umekwenda wapi.

na tenna tokea hapo hatta sasa hamna mtu hathubutu3) kufanyiza kama hii, ma'ana kujificha kusikiliza maneno ya watu wengine.

“Abdallah bin Musa.

'Jar. Zeit. “Jar. vor. 7) munda (kiangazija) shamba. f) mwenzi wake. ”) ikawa. $) veraltete, nur selten gebrauchte Relativform. 7) kiangaz. Sack. $) ar. fest, muthig sein.

48 Wajinga watatu.

Alikuwako maskini, ana mwanawe mzuri sana; kulla mwanamume anakuja kuposa hataki. ,,atakaye mwanangu!), atoe reale thelatha mia.“ kulla watu?) wanakwisha, hapana awezaye kutoa.

khatima yakawa mtu mmoja akasema: ,,naweza kutoa.” yakauza vitu vyake vyote, hatta watumwa wake akauza, yakapata reale thelatha mia. yakapeleka kwa mkwewe”), yakamambia: ,tezamia?) siku njema, nije nikuoze." akatazamia, yakapata siku njema, yakenda yakaoa; asi- pate heshima, yakaoa kana mtumwa. yakakasirika sana, yakasema: mfedda yangu nimepotea burre.”

akakaa siku nyingi pale, khalafu akachukua mkewe; babaye asim- pe nguo hatta moja, asimpe mtumwa hatta mmoja. yakatoka yakenda na mkewe, yakakaa nje ya mji, yakawa maskini sana. na kazi yake kupiga ndege. hupata ndege wawili, moja akauza chakula na moja kitoweo; sikuzote kazi yake.

yakatoka manamme mgine?”) kijana, akuja taka mkewe. mwanamke akafanya kama akagubali. yakampa reale ya sham€); killa siku hum- zungusha, humambia: ,,kaningoje mwituni“; naye haendi.

siku moja yakaja baba yake, mwenyi kumzaa yule manamke, yakamkuta njiani yule mtu, aliyotongoza mwanawe, akamambia: ,,na- taka nyumba ya “Ali, iko wapi?“ akamambia: ,,mimi najua sana, twende nikupeleke.” vyakamkuta mumewe hayuko, yakapiga hodi, akamambia: ulete mkeka, baba emcekuja?).” yakatoa mkeka yakampa, wakatandika barazani?). akauliza: ,,mumeo?) emekwenda9) wapi?" akamambia: vemekwenda tembea."

wakakaa barazani kuzumgumza, yakaja mumewe. yakaona watu barazani, naye akachukua ndege wawili, yakafanya haya!!) ya kupita, yakapita kwa nyuma. yakampa ndege moja, yakauliza: ,,nani emekuja barazani?" akamambia: ,,baba emekuja.”

akenda sogoni?) kuuza ndege wake. wakapata mchele yakanu- nua, na nazi yakanunua, na pilipili yakanunua, yakapita kwa nyuma, yakampa mkewe. khalafu akarudi kwa njia ningine, yakaja barazani,

1) mwana wangu. 7 besser kulla mtu oder watu wote. $) mkwe wake. “$) tazamia. 5) mwingine. 9) ein Maria-Theresien-Thaler. 7) ame- kuja. ") baraza ist zundichst die vor dem Hause noch unter dem Schutz des weit vorstehenden Daches befindliche meist etwas erhdhte Terasse, die gewissermassen als Empfangsraum fiir Giste djient; ferner werden die von den Bezirksmannern abgehaltenen cffentlichen Gerichtssitzungen sowohl, wie die Gerichtshallen selbst baraza genannt. 7) mume wako. 0) amekwenda. ') ar. Scham. 2) ar. Markt.

49

yakampa mkwewe mkono, yakamuliza: ,,khabari ya huko utokako? kina mama otc!) hawajambo?" akamambia: ,,0tc hawajambo.” waka- zumgumza sana, khalafu wote wakalala.

manamke akapika. chakula kimekwisha, yakasima?) mwangoni?), yakawetaf): ,,enye), wajinga watatu!" kwanza yakaamka baba yake. yakaweta: ,,enye, wajinga watatu“ tenna, yakaamka mumewe. yakaweta: wajinga watatu“ tenna, yakaamka yule kijana aliyetongoza mke.

baba yake akakasirika sana, yakamambia: ,,mwanangu, nimekuja kukutazama, nawe unanambia mjinga?" akamambia: ,,nipe mkoba wangu, niondoke!” mwanawe akamuliza: ,,unaondokea lini?” akam- ambia: ,,umenitukana, ntaondoka sasa hivi, umenambia mjinga na mimi mwerevu.” akamambia: ,,kaa kitako, ule chakula kwanza, khalatu ntakwambia maana yake."

na yule mumewe alikasirika sana, akamambia: ,,mke wangu, umenitukana.“ akamambia: ,,usikasirike, kula chakula kwanza, ntaku- ambia ma'ana yake.

na yule mwingine akakasirika naye, yakawaga?), yakasema: ,,kwa herini”), ntakwenda zangu, ma“ana nimetukanwa burre.” akawambia wote: ,,kaeni kitako, mle chakula, ma'fana zake ntawambia khalafu." wakakaa, wakala chakula.

walipokula, wakesha$), wakamambia: ,,tupe maana yake." ,,kwan- za, akasema, mjinga baba wangu ya kunmioza mimi mwanawe kwa reale thelatha mia, walla asinipe mtumwa hatta moja, walla asinipe nguo na mali, walla asinipe chombo cha fedda, walla asinifanyizie “arusi?) nzuri! umenioza ao umeniuza kwa mume? baba yangu mjinga."

mwa pili mjinga mume wangu. ukatoa reale thelatha mia, ukanioa miye), sina shamba walla sina kitu; ungalioa mwana wa sultani, un- galipata mali mengi, ungalitumia kwa wasa'a!!), ukapata shamba nzuri la kwenda 2), na vitwana nyuma vitakufuata 3) ukanioa miye mas- kini wa muungu, sina kitu cho chote. ya pili: ukiwa na kazi ya ku- patia pesa, tukatumia kwa nafasi), ikawa kunitazama nikifurahi miye kulla suku!3) weye, mume wangu, mjinga."

wa tatu mjinga huyu. mume wangu alinioa kwa gharama 18) nyingi, fedda zake zote, zisiwe mali, ikawa mari!?) reale yako moja;

1) wote. 7) simama. 9) mlangoni. “) akawaita. ”) ninyi. $) aka- waaga. ') kwa heri ninyi. 9) wakaisha. “) meist hort man harusi sagen. 10) mimi. '!) Musse. ?) kwendea. 5) der bessere Suaheli liebt es, nach -dem Vorbild des Arabers, einen moglichst grossen Tross von Leuten hinter sich zu haben, wenn er ausgeht. 4) ar. Gelegenheit. 2?) neben siku ge- briauchlich, jedoch seltener. '$) ar. Unkosten, Gebiihren. 7) mali.

Velten, Suaheli-Mirchen. 4

50 akiwa kanitongoza siku zote kwenda laza mwituni umetokea huna adabu.”

aliposikia mume, akakasirika sana, akamambia: ,,huyu ndio emem- tongozea!?) mke wangu?“ yakashika fimbo, yakampiga sana yule, ya- kamfukuza mbio, na matusi yakamtukana, akamambia: ,,nataka nikuone hapa, ukapita!?) pangu tu, ntakuua.” akarejea barazani akakaa kitako.

mkwewe akaaga safari, asema: ,,nimekuja kuwatazama, na sasa nakwenda zangu nyumbani.” wakamambia: ,, kwa heri baba, salaam mama na watoto wote pia mjini salaam.” yakaondoka yakenda kwa mkewe, yakamweleza khabari, iliyompata huko alikotoka.

yakatoa fedda, yakapiga mafungu mawili; fungu moja yakatwaa yeye, na fungu moja yakanunua vitu. yakanunua nyumba nzuri sana, yakanunua na vijakazi vizuri, yakanunua na matandiko mazuri, yakanunua na mapambo mazuri, yakanunua na mbuzi, yakanunua na mchele mwingi, yakanunua na pilipili na bizari. yakaandika barua, yakawaita mkwewe na mwanawe; wakaja. wakatia h'arusi kwa mali mengi waka- fanyiza, yakatoa watumwa yakampa mwanawe, na vitwana yakampa mkwewe. |

mwanamme akafunga mali kwenda kuchuma barra. yakapata mali, yakapata pembe na watumwa wengi; yakarudi pwani, yakakaa kwa kheri na mkewe, wakazaa watoto.

ndipo ilipokwishia hadithi ya wajinga watatu.

Muhemedi bin Diwani Tambaza aus Klein-Bagamoyo.

') amemtongozea. 7) ukipita.

Sultani 'Ediri!) na sultani Ndozi?).

Alitokea mfaume?) 'Ediri na mfaume Ndozi. kulla mtu anakaa kwa inchi yake. na ile inchi ya sultani 'Ediri haina mvua, kulla mwaka jua. hukaa wale katika inchi yao. na yule sultani 'Ediri ana watoto wake na yule sultani Ndozi ana watoto wake.

hutoka mtu mmoja mvuvi wa samaki, akenda baharini kuvua. aliporudi akimwamkia mama yake kizee, lakini yule kizee si mama yake aliyomzaa, kamzaaf) mtu mwinginc. yule kizee humpikia chakula chake; akiona hana mama, afadali awe mama yangu huyu. akenda

1 ar. Gerechtigkeit. 7?) der Deuter, Traumdeuter. 7?) mfalme. 1) akamzaa.

HI baharini kuvua, ndio kazi yake kulla siku; kurejea kule baharini yakija!) zake nyumbani.

na yule kizee kulla siku kamwambia mfalme Ndozi: ,kulla siku ukiota, njoo unambie.“ yule kizee akamwambia: ,vyema.” na yule kizee kulla siku huota, huenda yakimwambia sultani: ,leo nimeota hivi ao nimeota hivi.” na yule kijana hulala, naye akiota, humwambia vule mama yake kizee, na yule kizee hupeleka kwa sultani Ndozi ndoto zake, kulla siku ndio 'amali?) yake.

hatta siku hiyo yule kijana, mvuvi wa samaki, akiota ,,mwezi unakuchwea huku matokea jua?), na jua linatokea machweo jua.“ yule kijana akamwambia yule kizee, mama yake, na yule kizee akaenda mwambia sultani, kama ,leo nimeota mwezi unatokea machweo jua, na jua limekuchwea matokea jua.“ yule kijana akimwambia: ,,mama, usiende mwambia sultani, ma'ana maneno haya mabaya sana; tuta- kufa wote, atatufunga, atatupiga."

yule mama yake asisikie maneno ya yule kijana, akiondoka yule kizee akenda kumwambia sultani. na sultani alivomwambiaf) vile, ya- kamkamata, yakamfunga, akataka kumchinsha. naye akamwambia: ”Siyo mimi niliyoota!” sultani akamwambia: ,nani aliyoota?“ akim- wambia: ,mtoto wangu.“ akafunguliwa yule kizee. akapewa na 'as- kari kwenda mkamata yule mtoto, aliyoota ndozi?) hiyo. hutoka wa- kenenda, wakamkamata, wakamleta kwa sultani. sultani akiwambia: vSitaki kumwona, mtie ndani ya fumba, mshone kamtose baharini.”

wakamtia ndani ya fumba, wakimchukua hatta nyumba ya pili ya sultani, anayokaa mtoto wake; na yule mtoto mwanamke. aki- wambia: ,nini mmechukua“ wakimwambia: ,mtoto moja maskini, baba yako amesema mchukueni, mkamtose baharini.” akasema: ,mle- teni kwanza nimtezame. akapeleka kurabu$) yake chini yule mtoto, ikinaswa ile fumba, ikavutwa juu. na wale 'askari wapo chini, wa- nangojea; huwambia: ,yhuyu mtu namchukua mimi, na nyie”) twaeni mawe, yatieni ndani ya fumba, kayatoseni baharini.“ wakitia mawe, wakenda tosa baharini, wakirudi wakimwambia sultani: ,tumekwisha tosa.“ akiwambia: ,bassi.“

na yule kijana yuko juu kwa mtoto wa sultani, ndio aliyemchu-

YVakaja. 7) ar. Arbeit. 7) Fir N. S. O. W. haben wir folgende Bezeich- nungen im suah.: N. gibla (Gebetsrichtung) oder kaskazini (N. O. Mon- sun); S.: suheli oder kusini (S. O. Monsun); 0.: kunapotokea jua, kuna- pokucha jua, matokea jua, ma'a wa jua, matlai, mashrig; W.: kunapo- kuchwa jua, machweo jua, mateo jua, maghribi oder maghribu. “) alivyo- mwambia. ?) Traum, sonst ndoto gebrauchlich. 9) ar. Haken (kulabu). 7) ninyi.

4"

52 kua. siku moja yule kijana humwambia: ,mimi sina kazi yangu.“ akimwambia: ,kazi gani?" akasema: ,nnavua baharini na mshipi." akimwambia: ,nikununulie mshipi utavua?”“ akimwambia: ,nunua.”“ akimnunulia') akimpa, akimnunulia na mtumbwi, akimpa, akenda pwani kuvua.

anaporudi kuvua, hutumbua samaki, matumbo yao hutupa, samaki yakatunga. huja ndege, wakalia: ,nipe utumbo, nipe utumbo ao sa- maki.“ na ndege wale huja wengi samaki). wanavosema”?) vile, mama yao huwapo pale, akiwambia: ,nyief) watoto, kuna kuja ki- pande kinatoka kwa mfalme 'Ediri, mje mkatambue ncha na shina, kinaletewa sultani Ndozi.”“ wale ndege husema wadogo wadogo: ,na wewe mama kazi gani hiyo, itayomshinda mtu? kinapokuja kipande hicho?) hukitia majini, kunakozama ndio shina, na kunakoelea ndio ncha.“

hutoka yule kijana, akenda zake, humwambia yule mtoto wa sul- tani, aliyemponya yeye, humwambia: ,baba yako ataletewa kipande, akitambue shina na ncha.“ akimwambia: ,na akitwae kipande hicho, akitie majini, kunakoelea ndio ncha, na kunakozama ndio shina."

akiletewa barua yule sultani na sultani 'Ediri, na kipande pia kikaletwa. akasoma barua sultani Ndozi, akaona khabari yake ya ku- tambua shina na ncha kipande, naye hajui. akatoka mtoto wake, yule mwanamke, yakimwambia: ,baba, lete sufuria kubwa, ujaze maji tele, ukitie kipande ndani, ukaona?) kunakoelea ndio ncha, na kunakozama ndio shina.“ akakitia majini, akaona kipande ncha na shina. shina akaweka “alama?), akampelekea mwenyewe sultani “Ediri, yakimwambia: >kipande chako hicho kinakuja, na ncha nimetambua, na shina nimeli- tambua, na huko kunako 'alama nyekundu ndio shina, na kunako “alama nyeusi ndio ncha.” yakapelekewa; akatazama sultani “Ediri, akasema: ,huyu kweli sultani Ndozi.“

na yule kijana huenda akivua. kulla siku wakaja ndege tenna, wakimwambia: ,tupe samaki, amma utumbo.“ mama yao husema: mwataka nyie, yeye atakulani”)?“ kuna kuja mbuzi watatu kwa sul- tani 'Ediri, aje awatambuc sultani Ndozi watoto na mama yao.“ wale ndege wadogo wakimjibu mama yao: wee, mama, ni rakhisi?).“ wa- kija mbuzi watatu hao, huwafungia majani vichungu") vitatu, na wale mbuzi wakaletwa kwa yule sultani Ndozi. akiletwa na barua ya ku- tambua mbuzi hao'!).

') akamnunulia. ") zu erginzen kutaka. 97) wanavyosema. 1) ninyi. 5) neben hiki. $) ukiona. ar. Zcichen. 6") atakula nini. 9) ar. rakhis, billig, leicht; suah. wird es meist rakhisi geschrieben,. 9) kichungu kleine Last Gras, Heu, Holz etc. '!) hawa.

53

akitoka yule kijana mvuvi, akenda mwambia yule mtoto, aliyom- ponya, wa sultani kama: ,baba yako sultani ameletewa mbuzi awa- tambue mama ya mtu na watoto, mwambie na wafunge mbalimbali, asubuhi anapowafungua watakimbia kumkimbiria!) mama yao, bassi ndiye?) watoto wale.“

sultani akafanyiza vilevile, akawatambua mbuzi watoto na ma- mic?) mtu). mamaye mtu?) akamkata shikio, akimwambia: ,huyu ndio mama yao.“ alipoona hii sultani “Ediri, akasema: ,yatanishin- da huyu.“

akapeleka watu watatu. na yule kijana huvua, wakimwambia ndege: ,tupe samaki, ao tupe utumbo.“ akawapa; mama yao akiwa- jibu akiwambia: ,kuna kuja watu watatu, uwatambue mtumwa na mungwana na khadimu?).“ wale ndege wakanena: ,kama sisi tunga- liwapikia chakula, tukawatandikia ukumbini?). akiweka taa ya bati ya pesa tatu, wakagaribishwa ndani, wakapita, wakakaa kitako ndani wanakula chakula. akapita mtoto akiuzima taa, ukamwona anayo- sangaa$) na tonge?) ya wali mkononi ndiye khadimu, na aliyo- weka mkono mtupu, asiyoweza kushika chakula gizani ndiye mungwana."“

na yule kijana mvuvi akitoka, akenda zake nyumbani, akamwam- bia mtoto wa sultani: ,kuna kuja watu watatu kwa baba yako, awa- tambue mtumwa na khadimu na mungwana.“ kusema vile marra wakitokea. sultani tenna roho yake ikafanya kutumai, kulla siku ina- letewa aina!) ya kutambua na muungu yamweke mtoto wangu, hu- sema: ,sizijui ndozi hizi mimi, walakini mwanangu ndio anayonipa ma'arifa!!) haya.”

akatumwa mtu upesi kwenda kwa mwanawe: ,wamekuja watu tenna wameletwa, watu watatu, wataka watambuliwe mtumwa na khadimu na mungwana.“ akimwambia: ,pika chakula, baba, uwa- tandikie ndani; wanapokula yapite mtoto mmoja aizime taa kwa ujanja.“

wakitandikiwa ndani, kikapikwa chakula, wakapita ndani kwenda

1) kimbilia. 7) besser ndio ndio wao. J) mama yake ma- maye und mamiye. 1) das gen. praef. wird hiaufig ausgelassen. 59) ar. Diener; suah. freigelassener Sklave; Aussprache ist hadimu und khadimu; Muhadimu, Wah. werden die Urbewohner Zanzibars genannt (ihr Chef Munyi mkuu), von denen noch e€in geringer Theil sehr zu- rickgezogen im Innern der Inscl lebt. 9) der an der Vorder- und Hinter- thiire gelegene lange, schmale Raum in den Suahelihausern. 7) giza und kiza. $) rathlos sein, nicht wissen was zu thun. ?) kleines Kliimpchen. 10) pers. Sorte, Art. 1) ar. Kenntniss.

54

kula. mtoto mmoja akazima taa kwa ghafla!), wakaona moja ame- sangaa na wali mkononi, na moja anakula, na moja hali, anangojea taa. sultani akawakamata, akawambia: ,huyu mungwana, akamweka “alama, na huyu khadimu na huyu mtumwa, akiwaweka 'alama, kulla mtu na “alama yake.

wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri, wakamwambia: ,tume- kwisha tambuliwa.“ sultani “Ediri akasema: ,l007), amenishinda, wala- kini sasa nitataka kitu kingine, aniletee mvua.

na yule kijana akenda zake pwani kuvua samaki, wakija ndege vilevile, wakinena: ,tupe samaki, tule, ao utumbo.“ akinena mama yao kama: mwacheni, mnataka niye?) yeye atakulanif)?“ kuna kuja amri moja huko ya kutaka mvua sultani "Ediri kwa sultani Ndozi.“ wale ndege wadogo wakinena: ,kama mimi ningalitwaa mjusi, nikam- kata mkia, nikatwae nikachome, unga wake nikarushe kwa upepo, marra mvua itakuja.

ikija barua ile ya kutaka mvua. yakiletewa sultani Ndozi, yaki-. nena: ,emenishinda”) huyu sasa, khabari ya kuleta mvua nitajuaje mimi sasa? khabari hii anajua muungu mwenyewe.” akitoka mwe- nyewe, akenda mwambia mtoto wake: ,imekuja barua ya sultani “Ediri ya kutaka mvua.“ akimwambia: ,kamata mjusi, umkate mkia, mkia wake uchome, unga wake urushe kwa upepo, bassi mvua itakuja marra. ukitaka jua, twaa kichwa cha mjusi ukichome, ufanye sawa- sawa, marra itakuja jua.“

yakitoka?), yakenenda sultani Ndozi hatta kwa yule sultani “Ediri, aliyotaka mvua, akimwambia: ,kama nimekwisha kuja, nini unataka sema?” akimwambia: ,nataka mvua.“ akamwambia: ,ungoje, saa sitta usiku itakuja mvua.“

yule sultani Ndozi akakata mjusi wake mkia, akachoma hatta usiku akarusha kwa upepo, marra likatanda uwingu, ikija mvua nyingi sana, ikajaa ndani ya majumba, nyumba za udongo zinaelea juu kwa juu.

yakipiga makelele yule sultani “Ediri kama: ,sultani Ndozi, kama nimetubu?) maneno yangu, tenna sitaki mvua, walla kitu kin- gine sitaki kufanyiza juu yako; nikifanyiza nyumba zangu na mji wangu raia?) zako, na mji uchukue wewe.“ yakimwambia: ,sasa unataka jua.“ sultani Ndozi yakachoma kichwa cha mjusi, akarusha unga wake, likatoka jua. j

) ar. Nachliissigkeit. 7) Ausruf des grossen, bewundernden Er- staunens. 7) ninyi. “jatakula nini. ) amenishinda. 9) akatoka. 7) ar. sich bessern, bekehren. #$Jar. Unterthan.

55

yakafirisika!) yule sultani “Ediri, sultani Ndozi akaja zake mjini kwake. khalafu yule mwanawe mwanamke akawambia kama: mbaba, aliyo?) akakuponya huyu mtoto uliyotaka kumtosa, mimi ni- kamtwaa, ikenda?) toswa mawe mahali pake; na maneno yote ananam- bia yeye.“

sultani akamfanyiza ndio mwanawe mwanamme, tenna akamwo- za na mwanawe, akamfanya mkwewe tenna. ndio khabari!) ya sul-

tani Ndozi na sultani “Ediri. Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) fiir Bankerott erkliren; d. i. er erklirte sich fiir geschlagen. 3) aliye. 7?) es gingen. “$) khabari und habari.

Mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri.”

LI

alikuwa mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri, walikuwa sahibu?) sana. mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri walikuwa wakitoka pamoja na kucheza pamoja.

ilikuwa siku moja wamepata fikira?) ya kujenga uwalio.9) wali- pokwisha jenga uwalio huenda zao, hatta asubuhi hurudi huja huta- zama samaki. wakipata samaki, vule mtoto wa sultani huchukua samaki wazuri, walio wadogo humwacha mtoto wa tajiri. yule mtoto wa tajiri hakuridiwa?) na khabari hii, kwa sababu wamefanya gha- rama?) sawasawa, kulla mtu ametoa fedda nuss kwa nuss. mtoto wa tajiri akasema nafsi yake: ,;tumekamata samaki kwa mchezo tu, hatu- taki kuziuzi, kwani siye?) tuna fedda, hatutaki fedda ya bi“ashara va samaki! tafanza?$) 'agili gani hatta tugawe huu uwalio?" akamambia mtoto wa sultani: ,tugawe uwalio nuss kwa nuss, kulla mtu awe na wake; uwalio wangu wakiingia samaki zaidi bakhti?) yangu, waki- ingia kwako zaidi bakhti yako.” mtoto wa sultani amegubali 19), wakagawa!!) uwalio.

mtoto wa tajiri uwalio wake ulikuwa na bakhti, zikaingia samaki

') reich, Kaufmann; die Aussprache ist entweder tajiri oder tajiri. 2) ar. Freund. 3) ar. Gedanke. $) Zaun, der am Meeresstrande im Wasser angelegt wird, um Fische zu fangen. Wenn die Fluth die Fische daritiber hinwegtreibt, konnen dieselben bei ablaufendem Wasser nicht wieder zu- ruck und sind bei eintretender Ebbe leicht zu fangen. 5) ar. zufrieden sein. 9) ar. Unkosten. 7) sisi. $9) nitafanza. ?) ar. Glick. 9) ar. an- nehmen. '!) neben gawanya.

56

sana; na mtoto wa sultani huingia kidogo. yule mtoto wa sultani akaona vile uwalio wa mtoto wa tajiri unavoingia!) samaki wengi, akafanza hosuda?), akiondoka asubuhi mapema kuliko mtoto wa tajiri, huenda kule huchukua samaki wa mtoto wa tajiri, hutia kwake. mtoto

wa tajiri akija hukuta samaki kidogo, na kule kwa mtoto wa sul- tani wengi. akatokea mtu, akamambia kama: ,,wewe uwalio wako huka-

mata samaki zaidi, lakini mtoto wa sultani huondoka na mapema, akaja akaweba.“3) akasikia mtoto wa tajiri, akanena: .,haina hajaf) kugombana na rafigi yangu kwa ajili?) ya samaki; kwanza nikinena haitapendeza mimi kudai?) samaki mbele ya rafigi yangu, mtoto wa sultani.” akawacha uwalio, akenda zake, akampa mtu mwingine. akamambia rafigi yake: ,,sasa sitaki uwalio.“ billa yeye kutoa fikira mtoto wa sultani akawacha naye uwalio wake.

wakakaa siku kaza wa kaza hawana mchezo. hatta siku moja wakanena kama: ,.tukacheze karata?) mgahawani.) wakenda mgahawani, wamepata watu wanne, wakacheza karata, nao wakaingia katika shirika?) ya karata. walikuwa wakacheza zile karata, mtoto wa sultani akafikiri!0): neno gani tamwambia!!) sahibu yangu hatta au- zike?"12) huchukua mzungu wa nne') hupijaM) juu ya bao!5), hu- sema: ,,sultani aula.“16) mtoto wa tajiri amesikia marra kaza wa kaza katika mchezo, gauli!?) ile imemuzi. kwani huyu ananena ,,sultani aula?" akaondoka na msiba!8) moyoni mwake, akenda zake.

alipokwenda zake nyumbani mwake, baba yake amemtazama, marra ile alimjuilia, kama huyu amepatikana na “izara!?). ,,mtoto wangu umcfanya ninir mbona umekasirika; akanena: ,,sikufanya kitu.“ akamambia: ,,mtoto wangu, usikasirike! kwa nini unakasirika? kitu gani unachokitaka? mtoto wangu una fedda, kulla kitu unacho- kitaka utakipata! kwa nini unauzika?" akasema: ,la, sikuuzika kwa hivo, rafigyi yangu kanikasiri. tumekwenda kucheza karata, na kulla tukicheza huchukua mzungu wa nnc, hupija juu ya bao, husema: ,,sul- tani aula.” babake akanena: hayo ndio maneno yaliyokukasiri? aki- sema marra ya pili, nawe chukua asi), mwambie: ,,mali ngazi?!).“

wakenda kucheza karata. mtoto wa sultani akacheza, akasema: vsultani aula; naye akapija asi yuu ya bao, akanena: ,,mali ngazi.“

') unavyoingia. ”) ar. Neid. 7) akawaiba. $) ar. Verlangen. 5) ar. Grund. “SJ ar. beanspruchen. ')Karten. $)im Kafleehaus. 7?) ar. Gesell- schaft. ?) ar. nachdenken. ') nitamwambia. ?) sich gekriankt fuihlen. 13) KOonig im Kartspiel. ) hupiga. '”) Spielbrett, Tisch. '$) der Sultan ist mehr. li) ar. Rede. )ar. Unglick. '?) ar. Erniedrigung, Beleidigung. 7?) Ass. 21) Vermeogen ist die Leiter, der Weg, auf dem man alles erreichen kann.

aa

57 mtoto wa sultani akashtuka!): ,,vilikwendaje kunambia mali ngazi?" naye akamjibu mtoto wa sultani: kwani?) ukanambia ,,sultani aula?“ akanena: ,,ndiyo mimi sultani, ntaweza kufanya. nnavotaka?).”“ wale watu walikuwapo wameshtuka, wakasema: ,,ngojeni tuwafanzie sulu- hu.” wale watoto wamesikia, na wale watu wamewafanzia suluhu; wakapatana.

wakacheza marra ingine. mtoto wa sultani akacheza mzungu wa nne, akanena: ,,sultani aula.“. mtoto wa tajiri akacheza, akamcheza asi, akajinasabu?): ,,mali ngazi." akanena mtoto wa sultani: ,,kwani unanena mali ngazi?" naye akamrudishia mtoto wa sultani kamam- bia$): ,,kwani unanena sultani aula?" akasema: ,,mimi naweza kubho- kumu katika inchi hii na katika inchi ningine.” akanena: ,,nami naweza kufanza kulla kitu nnachokitaka, kwani nna?) mali.” akamambia mtoto wa sultani: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani akamambia mtoto wa tajiri: ,,na wewe huwezi kumwoa ndugu yangu.” akamjibu: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani amemcheka, akamambia: ,.tajiri hawezi kumwoa mtoto wa sultani.“

wakagombana sana, hatta khalafu wakafanya shuruti$). mtoto wa sultani akamambia mtoto wa tajiri: ,,uUkiweza kumwoa dada yangu inchi yangu na usultani wangu halali?) yako.“ akanena mtoto wa tajiri: ,,kama ukiweza kumwoa ndugu yangu mali yangu yote chu- kua halali yako.” wakaweka na mashahidi!?), kulla mtu akatia sahihi!) va ushahidi, na kulla mtu akachukua khatti?) yake. wamepatana tenna, na khalafu wakenda zao.

mtoto wa sultani akajenga merkebu, alitaka kusafiri kwenda ma- tembezi. na yeye hakumwambia rafigi yake, amekaa siku kaza wa kaza hatta merkebu imekwisha, imebagi!3) siku tatu alitaka kusafiri. akaja mtu moja akamambia mtoto wa tajiri: ,umepata khabari ya ra- figi yako? siku gani atasafiri?” mtoto wa tajiri akashtuka, akamwuliza: .Tafigi yangu gani?“ akanena: ,,mtoto wa sultani.” kanena): ,,sina khabari kama anasafiri, umesikia na nani?“ asema: ,,najua zamani amejenga merkebu, ataka kwenda matembezi, kesho anashua?), na kesho kutwa anasafiri."

mtoto wa tajiri ameuzika; ameondoka katika baraza, akenda zake kwa baba yake. babake alivomwona!) macho yake yamegeuka, marra alimjuilia kama amcuzika. akenda zake katika chumba chake, akenda

1) stuka, erschreckt werden. 7?) kwa nini. 9$)ninavyotaka. “ar. Friede, Versohnung. ”) ar. sich bristen. ")akamambia. ')nina. #Jar. Be- dingung. 7) ar.erlaubt. 9) ar. Zeuge. '!) ar.richtig. “ar. Schriftstick. 13) ar, iibrig bleiben. '“) akanena. ?) vom Stapellassen. ) alivyomwona.

58

akajilalia. amekaa hatta wagati!) wa chakula, babake ameuliza: ,,mtoto wangu yuko wapi?" wakanena: ,,mtoto wako yuko chumbani kwake.” akaondoka, akenda chumbani kwake, akamkuta ametia tumbuu?) kwa ndani. akamwita: ,,mtoto wangu, fungua mlango.“ akaondoka aka- fungua. akamambia: ,,una nini? huwezi?" akamambia: ,la, mzima.” akamambia: ,,nambie kweli.” yule mtoto akamambia: ,,baba, mzima, lakini ntakwambia neno moja, kama kweli unanipenda usikasirike." kanena: ,,unataka nini, mtoto wangu?" akanena: ,,mtoto wa sultani amejenga merkebu, anataka kusafiri, na miye hakunambia; bassi, baba, kama unanipenda, nataka leo hatta kesho nataka merkebu, na kesho kutwa asubuhi nataka kusafiri." kanena: ,,hivo tu? ndiyo maneno ya- liyokukasiri?"“ akasema: ,,bassi usikasirike, ondoka ukale chakula, mer- kebu iko tayyari?) hatta ukitaka kesho.

alipoondoka baba yake, akenda zake mashamba, akakusanya ja- mfei ya watu, akawambia: ,,nataka merkebu, hapa hatta kesho jishe, mtoto wangu asafiri.” akamambia yule fundi: ,,ukiweza kwisha hatta kesho, takupaf) befi unaitaka”). wakenda wakajenga merkebu. siku ya pili imekwisha. mtoto wa sultani hana khabari. wakapakia rufa'a9), kulla kitu cha dunyani na aina?) vyakula, wakaishua merkebu. mtoto wa tajiri akasafiri.

mtoto wa sultani amesikia, kama mtoto wa tajiri amejenga mer- kebu kwa siku moja, siku ya pili amesafiri. marra ile mtoto wa sul- tani akaamru watu, wakashua merkebu yake, wakasheheni$) na vya- kula, wakapakia na makaa?), akamfuata rafigi yake.

alipomfuata, akamkuta katika bahari. alipomkuta, akampandia akamambia: ,tafaddali twende shanjari!9), na tule pamoja.“ yule mtoto wa tajiri akamambia: ,ndio, lakini siku moja tule kwangu na siku moja tule kwako.“ siku anayokula kwa mtoto wa sultani hapati vyakula vizuri, siku wanayokula kwa mtoto wa tajiri hupika kulla aina ya vyakula vizuri.

hatta wamekaa siku kaza wa kaza baharini, mtoto wa tajiri vya- kula vyake vimekwisha. akamambia mtoto wa sultani: ,tafaddali, ni- hesabie!!) nuss ya vyakula vyako katika merkebu yangu, kwani vya- kula vyangu vimekwisha.“ mtoto wa sultani amekataa kumpa mtoto wa tajiri. mtoto wa tajiri akastahamili?), akila vyakula vya maba- haria!5).

ar. Zeit. 7) Riegel. 53) pers. fertig. “) nitakupa. “) unayoitaka. 8) ar. rufa, aufheben, tragen; hier Ladung. 7) pers. Art. Sar. be- frachten. 7) Kohlen. 9) neben einander fahren. 7) auf Rechnung ab- lassen. 7) ar. mit Geduld ertragen. ?) Matrosen.

59

hatta siku ya tatu alivomambia vyakula vimekwisha ikeshiwa!) makaa, kamambia?) mtoto wa sultani: ,nipe makaa kidogo, makaa gu yamekwisha.“ kamambia: ,sikupi.“ mtoto wa sultani akenda e. mtoto wa tajiri akatwceka.

mtoto wa sultani akarudi, akenda zake kwao. katika fikira?) yake thanni?) ,mtoto wa tajiri amekufa kwa njaa.“ alipowasili akasema: 'oto wa tajiri amekufa, kaniusia?) nimwoe dada yake, alipokuwa a.“ dada yake akasema: ,la, miye siolewi na mtoto wa sultani.“ mjibu: ,miye takuoaf), kwani ndugu yako ameniusia.“ dadake kataa, akanena: ,hunioi, mimi naolewa na mtoto wa tajiri kama ai.” mtoto wa sultani akamambia: ,kama kesho hukufanza shauri ikuoe bassi kesho kutwa utaondoka katika inchi yangu, na mali 0 takunyanganya/?).“

siku ya pili akawasili?) mtoto wa tajiri. alipowasili bendarini, u wakamwuliza: ,umemambia mtoto wa sultani amwoe ndugu oo?“ kawambia: ,la, sikumambia.” watu wakasema: ,mtoto wa ani amekuja, amesema umekufa; amenena: ,ulipokuwa ukifa ume- sa kama amwoe dada yako.“ akawambia: ,uwongo.”

gadi?) akenda kamchukua mtoto wa sultani, akamambia: ,kwani!?) :sema uwongo mbele ya shera'a!!)? umenena kama mtoto wa tajiri 'ikufa, naye amekuusia kama umwoe dada yake!“ akajibu: ,haku- ibia, lakini nataka kumwoa dada yake.“ mtoto wa tajiri akam- via gadi: ,sema sasa nimemsamehe?) mtoto wa sultani, kwani za 'agili”) anaitaka kufanza;“ akamsamehe.

akenda zake nyumbani mtoto wa tajiri, akenda akaandika barua mpelekea dada yake, mtoto wa sultani, akataka kumposa. na ile a yake, mtoto wa sultani, alikuwa anampenda mtoto wa tajiri. mjibisha majibu, akamambia: ,nimeridia!?4), lakini sitaki mtu ajue ika tufunge khutuba!?), wagati ule wakijua bassi hapana cka 16),

siku ya pili akamjibu barua dada yake mtoto wa sultani, aka- nbia: ,kesho kutwa nakwenda shamba, nakwenda kutembea, bassi ddali njoo katika shamba langu ufuatane na gadi, aje atukhu- ishe.

siku ya pili akatengeneza magari na frasi na watu wa kufuatana, enda shamba. na mtoto wa tajiri akenda shamba. wakenda wa-

1) ikishwa. 7?) akamambia. ?J) ar. Gedanke. 9) ar. denken. 3) ar. nachen. 9) nitakuoa. 7) nitakunyanganya. $) ar. Ankommen. ar. iter. 0) kwa nini. '!) ar. Gesetz. ?) ar. verzeihen. 3) ar. Verstand. ir, Zufrieden sein, einwilligen. 5?) ar. Predigt. '8) ar. Zweifel.

60

kifanza karamu wakala. mtoto wa tajiri akaonana na dada yake mtoto wa sultani, akamwita gadi, akenda akawafungisha nikahi!).

mtoto wa tajiri amerudi amekuja zake, akaja akamwita mtoto wa sultani, akamambia: ,nimemwoa ndugu yako.“ mtoto wa sultani akamambia: mwongo, ndugu yangu humjui.“ akamambia: ,mimi namjua.” kamambia?): nani jina laker“ akasema: ,jina lake Fatuma." marra ile alishtuka mtoto wa sultani, akaingia khofu”), akamambia: bado sikusadigif); nioneshe?) mashahidi, walipokuwa ulipokuwa ukikhutubisha nikahi.“

akamwita gadi na mashahidi watatu. akaja akauliza. gadi akam- ambia: ,ndugu yako ameolewa na mtoto wa tajiri.” na mashahidi wakatoa ushahidi waliposhuhudia. akaondosha barua yake ya ma- shuruti kamambia: ondoka katika inchi yangu, usultani wako ni- menfuta.”

Selim bin Abakari.

) ar. Ehe. “jakamambia. 3) ar. Furcht. 9) ar. glauben. ) nion- yeshe.

njia ya mbali na njia ya garibu.

walikuwa watu wawili, wakafanya urafigi. walikuwa wakilima mashamba pamoja. yule moja njia anayopita mbali, naye shurti afua- tane na rafigi yake, wapite kule njia ningine. na garibu ya ule mji wanaokaa pana njia ya garibu; ukikaa mjini huona mashamba yao.

siku moja wakatoka asubuhi, wakafika pale penyi njia ya garibu, akamambia: ,tupite hii njia ya garibu, twende upesi.“ yule rafigi yake akamambia: ,napita hii ya mbali, nende zangu, maana hiyo ga- ribu siijui.“ vule akanena: ,bassi miye napita hiyo garibu, maana nataka kwenda upesi, nawe pita hiyo mbali nende zako.“

yule akapita njia ya garibu, alitaka kwenda upesi; akenda akaanguka katika shimo; na yule aliyopita mbali akawasili salaama.

njia ya garibu si njia!), afadali ya mbali unaijua?).

Selim bin Abakari.

1) Ein guter Weg um, ist nicht krumm. 7?) unayoijua.

01 mtu mvivu na mtu wa kazi).

alikuwa mtu mmoja mvivu, naye alikuwa mzima na nguvu zake. kulla siku, akiona watu wakienda mashamba kulima, yeye husema: <nangoja muungu.“

hatta siku moja akaja rafigi moja, akamambia: ,kwani?) weye huendi kulima“ asema: ,siwezi kulima.“ rafigi yake akamambia: >miye nnalima, mweny ezi?) muungu anisaidief).“

hatta walipovuna mpunga wao na mtama wao, yule mtu mvivu akawaona wamekwisha vuna, wamekuja zao mjini, yeye kulla siku hulala na njaa, huondoka na njaa, akasema: ,mweny'ezimgu?) anipe.“ yule rafigi yake akamambia: ,nenda ukalime, amma ufanye kazi, upate pesa utumie.“ yeye hataki kufanya kazi kwa ajili) ya uvivu mwingi.

hatta siku moja akenda kwa rafigi yake, akamambia: ,nipatie chochote?), ninunue chakula, maana sina chakula sina nguo.“ akamwu- liza: ,kwani huna chakula huna nguo, weye mgonywa? akanena: la, miye mzima.” asema: ,kwani weye hulimi?” akamambia: ”mimi namngojea muungu, mwenyezi muungu atanipa.“ akamambia: mhatta sisi tunamngojea mwenyezi muungu atupe. lakini mtu hufanya kazi, akaomba muungu mweny'ezi muungu humsaidia, lakini uki- kaa kitako, ukisema ,nnamngojea mwenyezi muungu“, na wewe hu- fanyi kazi, hakupi kitu, atakupa donda3).

Selim bin Abakari. 1) fleissig; hodari. 7) kwa nini. 9?) mwenyi 'ezi; 'ezi ar. Macht.

1) ar. helfen. 7) mwenyi “ezi muungu. $) ar. Grund. 7) kitu. 9) Wunde, d. h. Krankheit.

Mfalme tajiri na mfalme maskini.

alikuwa mfalme tajiri na mfalme maskini. mfalme tajiri alimam- bia mfalme maskini: ,tukizaa watoto waanaume!) tuwaue.” yule mfalme maskini akasema: ,haifai, watoto waanaume zaidi kuliko wa- anawake.“ mfalme tajiri akasema: ,la, tutawaua.” mwenzake?) aka- fikiri3): ,shauri gani ntafanyiza watoto wangu wasiuawe?” alipofikiri “agili, akanena: ,vema tutawaua, lakini kulla mtu ataua wake mwe- nyewe katika nyumba yake.“ mfalme tajiri akasema: ,vema;“ akagu- bali lile shauri.

!) neben waanawaume. 7) mwenzi wake. 39) ar. nachdenken.

02

mfalme tajiri amezaa mtoto kwanza, akamambia mfalme maskini kama: ,mtoto wangu namwua.“ akamambia: ,vema, fanya una- votaka!).“

mwaka wa pili mfalme maskini amepata mtoto manamme, aka- fikiri: ,mtoto wangu nnampenda, shauri gani ntafanyiza mtoto wangu asiuawe?“

akenda kwa mtu moja maskini, akamambia: ,nifanzie shauri, kwani nimezaa mtoto, na miye sitaki kumwua, na ndugu yangu sitaki yajue, ya kama mtoto wangu yu hai?).” yule maskini akamambia: vlete mtoto wako ntamficha, walakini usimambie mtu, kama mtoto wako yu hai. mtu akikuuliza, mambie: ,mtoto nimemwua.”

akenda kwa mfalme tajiri, akamambia: ,nimepata mtoto, nami nimemwua.” akanena: ,vema.“ kulla mwaka kulla sultani hupata mtoto. mfalme tajiri huua wake, na mfalme maskini huwaficha wake, hatta wamekuwa saba.

wale watoto wamekua, wametiwa chuoni, wamesoma hatta wa- mekhitimu gorani?). mfalme maskini akanena: ,sasa watoto wangu wamekua, wamcekhitimu gorani, wanajua killa kitu, 'agili?) gani ntafan- viza watoto wangu wasiuawe, na miye?) nisiuawe?

akatokea mtu moja fitinaf), akawaona wale watoto katika ua wa- nacheza, akaingia katika nyumba ya yule mtu maskini, akamuliza: Watoto wa nani?” akamjibu: ,watoto wangu.“ akauliza: ,,umezaa watoto hatta upate watoto wazuri namna hii? neno hilo sitagubali, hawa ni watoto wa watu wakubwa, sura?) zao naziona.“ akamambia: hawa watoto wa sultani maskini, amekuja kuwaweka amana$) nyum- bani kwangu, mfalme tajiri asiwauc, lakini usimambie mtu.“ akamam- bia: la, sitamambia mtu.”

akaondoka, akenda zake, akenda kwa mfalme tajiri, akamambia: shipe kitu, nami nikwambie neno usilolijua.“ akauliza: ,neno gani'“ akamambia: ,shurti unipe kitu nikwambie.” akamuliza: ,unataka kitu gani“ akajibu: ,nataka kitu kitontosha?),.“ akamambia: ,takupa!?) mali itakutosha uhai!!) wako na uhai wa watoto wako.

akamandikia barua, akampa mashamba na fedda zambazo!?) zi- tamtosha. akanena sasa: ,ndugu vyako watoto wake hakuwaua.“ ka- mambia: , weye mwongo, ndugu yangu amezaa watoto saba, nami nimezaa watoto sab'a, na sote!”) tumewaua.” akanena: ,la, watoto wa

1) unavyotaka. 7) ar. lebend. 7) den Koran beendigen, lesen kdnnen. 1) ar, Verstand. 7) mimi. 9) ar. Zwist, Zwietracht, Intrigue. 7) ar. Form, Gesicht. 9?) ar. Sicherheit. 7?) kitanitosha. ') nitakupa. '!) ar. Leben. 12) selten gebrauchte Relativform von amba sagen. 3) wote.

63

ndugu yako wa hai, na kama husadigi!), takuoncsha?)j; na kama sivo3) kichwa changu halali yako.“ akamambia: ,twende ukanione- she.“ yule mtu fitna akamambia: .jigeuze namna ningine, uvae ki- maskini, tukingie?) katika nyumba, usije kutambulikana, kama wewe mfalme tajiri.“ akajigeuza kama maskini, akenda katika ile nyumba.

walipogurubia?) ua, wakawakuta wanacheza uani. akamwuliza yule mtu mwenyi nyumba: ,watoto wa nani?“ akamjibu: ,watoto wangu.“ akamambia: ,usinene uwongo, nambie neno la kweli, kwani nauliza kwa haggi?).“ yule mtu akashtuka. ,kwani anauliza namna hii? akamambia: ,nataka nijue, kwani watoto hawa si wako, hawa watoto wa ndugu yangu, na wewe ukisema uwongo kichwa chako halali yangu, ma'ana mimi mfalme katika inchi hii.“ marra ile akaji- geuza na nguo ningine kwa hali yake, na yeye akamtambua, akasema: mkweli, mfalme tajiri.” akanena tenna: ,hawa watoto wa ndugu yako, lakini akanambia ,,usimambie mtu,” kwani anawapenda watoto wake. na yeye anataka kusikia hokumu') yako, ndio ma'ana aliowaficha, aka- kwambia kama amewaua.

akaondoka mfalme tajiri, akenda zake nyumbani, akamwita ndugu yake kwa uchungu na mauziko, akamambia: ,neno gani tuliloseme- zana, hatta ukaja ukanighilibu$), ukanambia watoto wako umewaua, nawe hukuwaua.“ akanena: ,ndio, watoto wangu sikuwaua, kwani miye napenda damu?) yangu, weye hupendi damu yako; kwani!?) weye usiweke wako?” akamambia: ,la, sive tumekwisha maneno kama tuue watoto, weye umegubali kama tuwaue. sasa nimewaua wangu, kwani usiue wako?” ,nimetaka kusikia hokumu yako, ndio maana niliyo- kwambia nimewaua, kwani wewe umenishika kwa nguvu, kama tuue watoto, na miye sikuridia!!). ukaja ukanishurutiza kwa nguvu, kha- lafu nikaitika kama ,fanyiza unavotaka!??).“ akanena: ,na sasa twende katika sheri'a3), twende tukahokumiane, huyu atakayeshindwa shera“a itamlazimu.“ akanena: ,vema, twende.”

gadi!4) akawauliza: ,,kuna maneno gani?“ mfalme tajiri akanena: tuna mashitaka yangu na ndugu yangu. nilimambia ndugu yangu shauri kama ,,tukiwazaa watoto waanaume tukiwaue,” naye ame- gubali. tuliwazaa watoto. miye nimewaua wangu na yeye kaficha 9) wake; kwani10) hakuwaua? sasa tunataka shera'a ituhokumu.” gadi akatazama katika kitabu, akamwuliza mfalme maskini: ,,maneno haya

1) ar. glauben. 7) nitakuonyesha. 37) sivyo. 1) tukaingie. 9) ar.sich nahern. 6) ar. Recht. ?) hier Befehl. Sar. bezwingen. ar. Blut. 9) kwa nini. 11) ar. <zufrieden sein, cinwilligen. “) unavyotaka. 5?) ar. Gesetz. “ar. Richter. 5) akaficha. '9) kwa nini.

64

yalikwendaje weye usiue wako” akanena: watoto wangu nawapenda, ndio ma'ana sikuwaua. kama siwapendi, haifai kuwaua, kwani ni bin Adam kama mimi, ni watoto wangu. tenna mtu mwenyi 'agili hatoi shauri kama hu ya kuwa ,,ukipata mtoto umwue.” miye nilimam- bia mfalme tajiri kama ,,shauri hili si zuri,” naye hakusikia, ame- sema ,,anataka,“ ndio ma'ana sikutaka kumkasiri. na miye nikaitika, nikamambia ,,vema, fanyiza unavotaka." akafanza alivotaka mfalme tajiri, kaua watoto wake, nami nimeweka wangu. killa mtu ana khi- yari!) katika nyumba yake.“

mfalme maskini amepata shera'a, sherafa imemlazimu mfalme tajiri. gadi amefikiri: ,,tafanza suluhu?).”“ akamambia mfalme maskini: gaweni watoto, chukua watatu, mpe mfalme tajiri, nawe chukua wanne.” mfalme tajiri amekataa, amesema: ,,na tuwaue.” mfalme maskini akasema: ,,siwaui watoto wangu!” lete shauri jingine, kulla neno unalotaka?) ntafanyiza, lakini watoto wangu siwaui.” mfalme tajiri akasema: ,,kama huwaui, niletee ngoma ya milio sab'a, na miye takusamehe1) watoto wako. kama hukuniletea ngoma ya milio sab'a, ntakuua weye na watoto wako." kamambia?): ,,vema, takwenda$) ku- fanza shauri miye na watoto wangu."

akenda kwa watoto wake akaweta?), akawambia: ,,watoto wangu, nimeshikwa kwa8) sultani, nami ntauawa, nanyi?) mtauawa, kama hamkuweza kufanza neno analotaka!9), bassi sote!) tutakufa.” wa- katoka wale watoto, wakamambia: ,,baba, neno gani unalotaka 2)? kulla kitu unachotaka 3), inshallah tutafanyiza.” akawambia: ,,pana ngoma ya milio sab'a, nayo iko hilani?), iko kwa sultani wa mashetani.” wakasema: ,,bassi, baba, tuundie jahazi, twataka kusafiri.” baba aka- waundia jahazi, watoto wakatengeneza safari, wanataka kusafiri. sultani tajiri akasema kwa sultani maskini: ,,kama watoto wako hawakurudi na ngoma ya milio sab'a “umiri?) wako halali yangu, ntakuua.” akenda akaweta watoto wake: ,,msende 18) mkapumbazike?!?); kama hamkurudi miye ntauawa.”“ watoto wakasikia maneno ya baba yao, wakasafiri, wakenda zao mudda 8) wa miaka miwili.

wakenda katika bahari?) mwendo wa miezi miwili, wakenda wakapata inchi. watoto sitta wakashuka pwani, yule Msiwanda”) amebagi jahazini. wale walioshuka, hawakurudi jahazini illa kwa siku

Ijar. Wahi. ?) ar. Friede, Versohnung. 95) unalolitaka. “) nitaku- samehe. ") akamambia. 9) nitakwenda. 7) akawaita, 9?) na. 9?) na ninyi. 9) analolitaka. '!) sisi sote. '?) unalolitaka. ?) unachokitaka. 7!) sie ist nur auf listige Weise zu bekommen. 3) 'omri, ar. Alter, Leben. 16) msiende. '?) sich dumm anstellen. '?) ar. Zeittaum. 2?) ar. Meer. 2) der jiingste Sohn wird immer Msiwanda (Benjamin) genannt.

—.

65

ya pili. Msiwanda akakasirika, kawambia!): ,,ndugu zangu, huku hatukuja kucheza, tumekuja kutafuta kitu kwenda kumhui?) baba yetu.” ndugu zake wamekasirika, wameanza kumpiga na kumtukana Msiwanda, kwa ajili?) kawambia kweli. wakasema: ,,na tusafiri". wakatweka chombo chao, wakenda inchi ningine.

walipofika bendarini, ndugu zake wote wakashuka, wakamwacha yeye na Uledi) katika jahazi. wamekwenda wamepata machezo ka- tika mji, wakakaa gadiri?) ya siku tatu, wasipande jahazini. ndugu yao Msiwanda akakasirika, akamtuma Uledi: ,,nenda katafute ndugu zangu, wambie waje zao tupate kusafiri, maana huku hatukuja kucheza, tumekuja kwa shughuli).

Uledi akashuka pwani, akenda akawakuta katika ngoma wana- cheza. akaweta wote pamoja, akawambia: ,,ndugu yenu anawiteni?”); tafaddali3) nendeni jahazini.” wakenda jahazini, wakamuliza: ,,una- tuitia nini?" kawambia: ,,nataka kutweka, nataka kwenda zangu, ku- tazama kazi, niliyoijia.” wakamkamata, wakamfunga na mlingote, wakampiga, wakamambia: ,,wewe una wazimu? unataka kutuhokumu, sisi wakubwa zako?" akawambia: ,Ja, sitaki kuwahokumuni?), lakini nnauzika kwa baba yetu atakavouawa!), na sisi tumegabali, tumemda- mini!!), kama tutaweza kumhui asiuawe! sasa mnakuja mnafuata ma- chezo! neno hili halitapendeza baba yetu akisikia. na nyie fanzeni mtakavo?), na mimi ntawambieni!3) kweli, ijapokuwa mmenipija 1); walakini haiduru!9), radi iko kwa baba na mama yetu."

wakasafiri wakenda zao, hatta wakafika katika inchi waliyoitaka. wakenda wakakuta inchi; inchi ile ina mji mzuri. wakashuka katika mji kwenda kuuliza wenyi ngoma ya mishindo sab'a. waliposhuka wakakuta hanasa!$) kubwa iliyoko katika mji. wakafuata vijana kama wao, wakenda katika machezo, wakazoea katika mji, hawafikiri baba yao hatta mama yao."

Msiwanda amekaa na msiba!?”), akawambia: ,,nyie mmekuja kuta- futa kitu kwenda kumwondosha baba yenu katika mashakka!$) na “azabu !?), sasa mmejikalia na sterehe, nyie mmekosa radi ya baba yenu na mama yenu.” wakamfukuza Msiwanda, wakamambia: ,,nenda zako."

Msiwanda akenda zake, akenda katika nyumba ya mzee moja, akenda akapanga chumba. akakaa siku mbili, akamuliza yule mzee,

1) akawambia. ar. am Leben erhalten. 9) ar. Grund. 1) der jiingste Schiffsjunge wird stets Uledi genannt. “jar. ungefahr. $jar. Geschaft. "Janawaita ninyi. 9) ar.bitte. )kuwahokumu ninyi. “)atakapouawa. 11) ar. biirgen. 7) mtakavyo. 5) nitawambia ninyi. '?) piga. “?) das schadet nichts. '$) wohi ar. husn, Schonheit, durch Metathesis zu hanasa ge- worden. 7”) ar. Ungliick, Trauer. '3) ar. Zweifel. ?) ar. Strafe.

Velten, Suaheli-Mirchen. 5

66

akamambia: ,.tafaddali unambie kwenyi!) ngoma ya milio saba?” ,,00" yule mzee akashtuka, akamambia: ,,mtoto wangu, huko unaulizia nini? asema: ,,nataka kwenda kutafuta kitu.” yule mzee amemcheka, akamambia: ,,ni ujinini?), huku hakwendi?) mtu; akenda mtu, harudi m'aisha?) yake.” akamambia: ,.tafaddali unambie, na miye nikwambie gissa?) niliyojia huko.” yule mzee akamambia gartasi€) ya kulla mji atakapokwenda, akampa na hivo?) atakavofanyiza.

yule mtoto akamambia maneno yote ya baba yake, na maneno ya ndugu zake walivomtupa. akamambia: ,,nataka shuruti ya kupata ngoma hii, na miye nikipata, ntakupa mali utajirike.” yule mzee aka- furahi, akamambia: ,,ntakufanyizia safari yako.” akamfanzia safari, akamfanyvizia bissi la mtama, na 'asali9) ya nyuki, na bissi la mahindi. akamtilia katika mituko, akampa na buyu la maji, akamambia: ,,nenda katika njia, ukisikia watu wamekoroma, usiende, kaa kitako; ukisikia wanasema, nenda wamelala."

vule mtoto akenda katika njia usiku na mchana, naye hapati kulala kwa kumfikiri?) babake na mamake. akisikia wanakoroma, hu- kaa kangoja 9) hatta wanaposema. akafika pahali penyi mji, akenda katika nyumba. nyumba ile nyumba kubwa, na hapo hapana mtu. akenda kutembea katika ile nyumba, akenda pahali akamkuta mzee moja, mzee sana. mzee yule alipomwona akashtuka, akamambia: ,,mwa- nangu'!), unakwenda wapi?" akasema: ,,natafuta ngoma ya milio saba.” mzee vule akamambia: ,,ngoma ya milio sab'a afadali rudi uende zako, bado wenyewe hawakuja, nathanni!?) wako njiani wana- kuja.“ akamambia: ,,njoo upesi nikufiche." akamchukua, akamtia katika uchochoyo!3), akamfinika na makanda, akamambia: ,,nyamaza. usiseme neno, walla usitoe upiimzi, mafana hawa wakija wakisikia watakutafuta wakuue.

wakaja majini katika nyumba. walipokuja wakamwita yule mzec, wakamambia: ,,mbona pana h'arfu 1) ningine katika nyumba, labda ume- ficha mtu. amekuja bin Adam katika nyumba hii?" yule mzee akasema: Sijui, miye sikumwona.“ yule mtoto amesikia, anatetemeka katika ule uchochoyo alipofichwa. yule mzee akawambia wale majini kama: labda nyie mmekamata bin Adam, nani atakuja katika nyumba hii:”

') zusammengesetzt aus ko und enyi, der Ort dort, welcher besitzt. ?) im Reich der bosen Geister. 7) haendi. f) ar. Leben. ?) ar. Sache. $) ar. Papier, hier Beschreibung. 7) hivyo. $) ar. Honig. 9?) ar. denken. 0) aka- ngoja. 1) mwana wangu. ?) ar. glauben. ?) ein dunkler schmaler Gang im Hause. ) ar. 'arf, Duft, Geruch; im suah. harufu und harfu ge- sprochen.

07

wale majini wamegubali, kama hapana mtu katika nyumba. marra ile wakenda zao.

akenda akamtoa yule mtoto katika uchochoyo, akamambia: ,,njoo upesi, tazama wale majini, wale ndio wenyi ngoma ya milio sab'a.“ akamambia yule mtoto: ,,kama umenipa ngoma ya milio sab'a, ntakupa reale laki na buyu la 'asali ya nyuki.” akamambia: ,,nipe nuss ya mali, khalafu ntakwambia namna ya kuchukua ngoma ya milio sab'a.” akampa nuss ya laki, na nuss ya buyu la “asali. akamwita akamambia: unaona pale penyi ngoma? tazama kile kilima pana mlingote, na ile ngoma imetundikwa juu, na wenyewe wamelala chini. bassi na ngoma ukitaka, chukua bissi lako na 'asali yako na buyu lako utie katika mifuko, uenende polepole, hatta ukifika pale. ukisikia wanako- roma usiende, ukisikia wanapiga makelele panda mlingote, ui- chukue ngoma. ukisikia wanakoroma kaa huku juu ya mlingote, ukisikia wapiga kelele ,,huyo huyo, mfuate, mkamate, mpije" bassi chukua polepole, nenda zako. ukisikia wamenyamaza, ujue, kama wamekufuata. bassi, uwamwagie “asali. kama umeona wamekuzidi!), wanataka kukukamata mwaga bissi la mtama; ukiona wamekuzidi sana mwaga buyu la maji, itafanya bahari, wasiweze kukukamata.

amekwenda hatta katika njia, amesikia wamekoroma, amejinama?), amekaa kitako. alivosikia?) wanapija kelele, alikwenda akapanda mlin- gote, akaikamata ngoma ya milio sab'a. alivoikamata?) ngoma, ilianza kuvuma namna ya mishindo, na majini hupija makelele ,,huyo huyo, mkamate, mtuate, mpije.”“ hatta walivyonyamaza, wakaondoka kuta- zama ngoma yao katika mlingote haipo.

naye amekwisha fika mbali. wakamfuata mbio, wamenyamaza kimya; wakamgurubia hali ya kuwa walitaka kumkamata. akamwaga “asali ya nyuki. wakasimama kuiramba. ikesha wakamfuata, wataka kumkamata, akamwaga bissi la mtama. wakaokota bissi la mtama. likesha wakamfuata, akavunja buyu la maji, ikaondokea bahari, wasi- weze kumfuata. yule mtoto ameipata ngoma ya milio sab'a.

akenda zake kwa ndugu zake, akawambia: ,,nimepata ngoma ya milio sab'a.” ndugu zake wakafurahi, wakamambia: ,,twendeni zetu." wakenda katika jahazi, wakatweka, wakenda zao. Msiwanda akamam- bia Uledi: ,,chukua vijiti?) vya ngoma, ufiche kwako, na kamba zake vilevile, ndugu zangu wakiniua, khalafu peleka kwa baba yangu.”

khalafu ndugu zake wakaona, kama Msiwanda anapatana na Uledi. wakafanya shauri ,,;tuwaue wote wawili, nasi) tuchukue ngoma,

1) vermehren, hier in der Bedeutung ,,ndher an jemand herankom-

men". 7) amejiinama. 9) aliposikia. “) alipoikamata. 5) die Trommel- stocke. $) na sisi; neben nasi ist auch naswi gebriauchlich.

n”

68

tukaseme, tumepata sisi, Msiwanda amekimbia, hataki kwenda ujinini." wakamtupa Msiwanda na Uledi baharini; na Msiwanda alikuwa na kamba na vijiti vya ngoma. na kama ile ngoma haina vile vijiti vyake vijiti vingine havifai.

Msiwanda ameogelea yeye na Uledi, hatta wamefika katika inchi ya Islam. wakapata mashua moja, wakanawili!) ile mashua. na ndugu zake wamekwenda zao. wakenda wakasema kama: tumeipata ngoma ya milio saba.” babao?) akafurahi, akasema: ,,yuko wapi Msiwanda?" kwani alikuwa akimpenda zaidi kuliko wote. wakamambia: ,,Msiwanda amekimbia yeye na Uledi, amesema hataki kwenda ujinini, na siye tumekwenda tumepata ngoma, tumekuja.”

wakenda kwa mfalme tajiri, wakamambia: ,,tumepata ngoma ya milio sab'a.” akawambia: ,,vema, nataka mwipije?), nisikie mlio wake." wakenda wakaipija kwa vijiti vingine, isilie kwa namna yake, ilitokea sauti) zisizojulikana. mfalme tajiri akasema: ,.hii siyo, bado hamkuni- letea.” babao marra akafikiri: ,labda hawa wamemwua Msiwanda." bassi, mfalme tajiri akasema: ,,kama hatta kesho ngoma sikuipata nyote mtauawa.”“ ikibagi siku moja kuuawa.

mudda wa sa'a mbili watauawa marra wakaona mashua iko mbali inakuja. na baba yao ana msiba moyoni mwake ya khabari ya kuwa watauawa. wakaja kuchukuliwa na mfalme tajiri kwenda kuuawa. mfalme maskini akamambia: ..,nisibiri?) hatta mashua ile iwasili, labda ntapata barua ya Msiwanda.“ akampa saburi$9), akangoja ile mashua. hatta ilipokuja, ikaja na Msiwanda na Uledi.

alipowasili Msiwanda, akawambia khabari, ya kuwa ngoma amei- pata yeye, na ndugu zake wamemnyanganya, wamemtupa baharini. ndugu zake walijinamia kuona haya. marra akaondosha vijiti na kamba za ngoma, akaikaza kwa kamba; akaipija na vijiti vyake, marra ilianza kulia kwa mishindo sab'a ya namna yake. na kulla mtu ana- cheza, anayetaka na asiyetaka hucheza, kwa jissi?) inavolia$) nzuri. wafalme wote wawili wakacheza, wakasema: ,,hio ndio ngoma tuliyotaka/?).

Msiwanda akawambia vissa vyake na ndugu zake, walivyom- fanyiza wakampiga wakamtupa, na hivo!) alivoipata!!) ngoma. babake akafurahi, akampa radi, akawafukuza ndugu zake. mfalme tajiri akampa

Msiwanda “ezi?) yake, akaituma. Selim bin Abakari. 1) nauli Fahrgeld, Fracht; hier miethen. 7?) baba yao. 37) mnaipige. 1) ar. Stimme, Ton. Jj ar. warten, sich gedulden. $) ar. Geduld. 7) ar. Art; im suah. ist die Aussprache jinsi, jissi Oder ginsi, gissi. $) inavyolia. ?) tuliyoitaka. 9) hivyo. '!) alivyoipata. 7?) ar. Macht.

69

Mtoto wa sultani na mtoto wa mfalme.!)

Alitokea sultani na mfalme. sultani amezaa mtoto manamke na mfalme amezaa watoto sab'a waanawaume. watoto wale akawaoza wake, illa yule mkubwa wao wa sab'a ndio hakuoa.

na yule sultani katika ule mji mfalme mkubwa. na yule mfal- me ni mfalme, mtu mojapo mkubwa katika mji, akampenda yule sultani, amemfanya waziri wake; anakula mshahara yeye na wa- toto wake.

yule mtoto mkubwa wa mfalme husikia, ya kuwa kuna mtoto wa sultani, jina lake Miza. na yule kijana kazi yake, kulla siku huwa kazi yake, kwenda barran?) kupiga ndege. hatta siku hiyo alipokwe- nenda mwituni, akafika mahali pana siwa kubwa la maji. akaokota unywele, akauchukua, akaukunjua, akauona mrefu, zera“a?) mbili marefu vyake. alipouchukua yakafika nayo nyumbani, marra akaingia ndani va nyumba yakalala.

wale watumwa wake wakasta'ajjabu?), kama bwana emeingia?) na mapema leo humo nyumbani; na desturi yake, yakienda piga ndege, hurudi jioni, lakini leo amerudi na mapema, ameingia ndani amenya- maza kimya. wale wajakazi wakamwambia baba yake: ,,kibana$) yumo humo ndani, yemeingia') zamani, ana nini? hebbu?) nenda kamwulize, bana."

akenenda mwuliza, yakamwambia: ,,una nini mwanangu wee kibana, una kichwa, tufunge mgomba, kama una homa, tupae ma- kaa?" na kibana akamjibu baba yake: ,,sina kichwa, walla sina homa, nalikwenda kule matembezi?), halikuta9) kapo!!) la wanja 2), si wanja, si makoma manga), nipaticni Miza mnioze. hapatiki Miza, hapitiki, na miango?) ya kwao ifungwa, panga na ngao ziko mko- noni.”

yakatoka baba yake mle ndani, yakaja zake kumwambia mkewe: khabari ya kibana unayo? anataka mtoto wa sultani kuoa; na mimi naogopa, siwezi kwenda posa nnaogopa, sisi maskini, sultani

1) Diese Erzahlung hat einige Aehnlichkeit mit kibwana na kibibi. ?)ins Inland. JJ ar. Elle, suah. zirafa und zera'a. “$) ar. sich wundern. >) ameingia. 9) der ilteste Sohn wird vielfach bei den Suaheli kibana ge- nanpt. /) yemeingia fiir yameingia, ameingia. 9) Ausruf der Aufforderung, deren Sinn sich gewohnlich nach dem im nachstehenden Satze vorkommen- den Verb richtet hier also etwa ,,komm her“, ,,sieh her“, 9?) Spazier- gang. 5“) hakuta fiir nikakuta. '!) grosser Korb. 7?) Schonfirbemittel. 13) Granatipfel aus Arabien. 1) milango; mlango und mwango.

70 ni mtu mkubwa sana, ni sultani mwenyi mali mengi. mtoto wetu ana khatari!) sana, mtazame kwanza mwanao?)."

yule mtoto wake mfalme akafanya uchungu, akakaa kitako nyum- bani. na yule Miza amepata khabari kuwa: ,,mtoto wa mfalme ana- nitaka mimi.“ na yule Miza anasoma gorani”) na ilimu), na 'ilim dunya”) anajua. akatazama katika ramli yake, akamwona mtoto mfalme anataka kumposa. naye mgonywa, walla hataki kula kwa sabiki?) ya mtoto wa sultani; ,,shurti nimpate nimwoe.”

na yule mtoto sultani mwanamke anapewa vyakula vya mwezi mzima, na kuni za mwezi mzima, na maji ya mwezi mzima, kulla shughuli, na vitoweo pia pia, anapewa vitu vya mwezi mzima. naye desturi yake anakaa huko huko juu, hashuki. hatta siku moja akinena akimwambia mjakazi wake: ,,nenda kwa mtoto wa maskini yule, mwam- bie leo yafurahi, walla asiuzike, na chakula yale?) kwa furaha, kama ananitaka mimi jioni ntakuja sa'a mbili usiku.

yule kijakazi yakaondoka kwenda mwambia yule kijana, mtoto wa mfalme, akamwambia vilevile kama alivomwambia?) bibi yake. akafurahi yule kijana, yakimwambia: ,,kweli atakuja leo bibi yako?" yakinena: ,,atakuja.” wyakifurahi sana, akikaa hatta jioni sa“a mbili usiku. yule manamke wa sultani akateremsha kikapo juu ya nyumba, yakashuka yeye na mjakazi wake, wakaingia ndani ya nyumba ile. yule kibana akafurahi sana. wakakaa siku kumi pamoja.

yule mtoto wa maskini akamwona?) baba yake, akasta'ajjabu huyu: ,,mwanangu furaha gani aliyo nayo?“ hatta siku ya hed“ashara vule mwanamke akitaka rukhsa, akamwambia: ,,nenda 9) zangu sasa, shika adabu yako, mimi mtoto wa sultani, si mwenzio!!), walla huni- pati mimi, umekwisha pata kwa kuzini, kuoa hunipati mimi; bakhti 2) yako kubwa hatta nimekuja nyumbani kwako.“ akamwambia: ,,sasa hivi nitakwenda zangu, kwa heri.

hatta sa“a nne ya usiku akafika nyumbani. wale wajakazi wake wakamwona yule bibi, wakamteremshia kapo, yakaingia, wakamvuta hatta akafika juu; akakaa kitako. na baba yake anathanni3) labda mwanangu yuko juu tu, atakwenda wapi? hatta siku ya arb'at'ashara akija mwamkia baba yake chini, akirejea kwenda kaa kitako.

na yule mtoto wa maskini emefanya 9) ghadabu 19) marra ingine, ememwambia!6) mama yake: ,,nipikie mikate.” yakimpikia mikate mingi,

1) ar. Gefahr. 7) mwano wako. Jjar. Koran. fjar. Wissenschaft. 5) ar. Welt. $9) ar. Resultat kwa sababu. 7) ale. 9) alivyomwambia. 9) fiir aki- mwona, besser alipomwona. 'P) nakwenda. 'J3) mwenzi wako. Bar. Glick. 5) ar. glauben, meinen. 'f) amefanya. P)ar. Zorn. 8) ame- mwambia.

71

akatandika na frasi wake, akamrukia akimpanda. akamwaga akamam- bia: ,,baba kwa heri, na mama kwa heri, nenda!) zangu, walla siji tenna.”

akaondoka yule kijana akenda zake, hatta yakafika mahali pana mti mkubwa. akapanda juu ya mti akatezama anakokwenenda, akiona mji uko mbali sana. na ule mji hauna watu, watu wamekufa wote, vuko zimwi pekeyake.

yule kijana akenenda, na inchi hiyo amekwenda mwendo wa siku sab'a. alipofika ugani, panapo ile nyumba kubwa, ndani mna zimwi, yule zimwi yakanena: ,,nani wee?" yule kijana akasema: ,,mi- mi.“ zimwi akamwambia: ,,njoo ule chakula, upate ushibe, nije kha- lafu kukumeza.”“ yule kijana akamjibu: ,,utaweza kunimeza mimi?“ vakimwambia: ,,ntakumeza.“ zimwi yakimwambia: ,,wacha ghururi?) yako weye kijana, hapa kuwa watu wengi walio katika mji huu, na mimi wote nimewameza; kama wewe mtu moja, utanishinda mimi?" vakamwambia: ,,njoo unimeze, kama unaweza kunimeza!” zimwi aka- sema: ,,ngoja, nakuja, kaa tayyari.

akatoka zimwi kwenenda. na yule zimwi ana vichwa sab'a na miguu sab'a na mikono sab'a. alipokwenda mrukia, yule kijana aka- peleka upanga wake, akavikata vichwa viwili pamoja na mikono mi- wili. zimwi yakasema: ,,umekata vichwa viwili na mikono miwili, lakini vichwa vitano viko na mikono mitano iko bado.“ akimwambia: njoo.“ zimwi yakamwendea kumrukia, alimpiga vichwa viwili, ya- kaviangusha, na mikono miwili, vikabagi vichwa vitatu na mikono mitatu. akamambia: ,,€883), umefanya nini wee, ngoja nakuja tenna." vule kijana akasema: ,utakufa zimwi leo.“ alipomrukia akamkata vichwa vitatu vyote na mikono mitatu likaanguka zimwi.

na yule kijana mwenyewe emechoka, emeduruf), hatta “agili hana, akaanguka naye. hatta saa kumi na moja umekuja ubaridi mzuri, akapata fahamu?). akaondoka, akachukua upanga wake, huenda vakimpiga yule zimwi aliyokufa, humgonga zimwi huyu alitaka kum- ua. yule mtoto anapogonga hivi, hutoka mtu moja moja ndani ya zimwi, wakatoka watu wengi ndani ya zimwi mle tumboni mwake, watu wa mji ule wote wakatoka, hatta sultani wao, hatta na wa- toto wa sultani pia pia, na mbuzi na ngombe na punda wakatoka.

khalafu mwisho akatoka Mgazija$) mmoja. alipokuwa yakimpiga yule zimwi, alipotoka yule Mgazija, kidole cha mwisho ukamkata ule upanga kidogo, akakasirika sana yule Mgazija, yakamwambia: ,,umc-

') nakwenda. 7) ar. Betrug, Verfiihrung. ?) Ausruf der Verwundc- rung. far, schaden. ?) ar. verstehen. 9) ein Comore.

72

nikatia nini? na mimi ntakukata vilevile! watu wale waliopo wa- kamwambia: ,,tazama huyu, sisi cmetuponya!), tulikufa sisi ndani ya tumbo la zimwi, huyu amekuja kutoa, kama unataka kumpiga yeve tupige sisi, mtu umtakayo hapa, japo?) kama sultani mpige, walakini huyu usimpige.” Mgazija akasema: ,.sitaki, ntampiga huyu huyu35).“ vule kijana akasema: ,,mwache, anipige.” yakamwambia: ,,lakini tuka- pigana hapa utakufa weye, twende tukapigane msituni?).“ akam- ambia: ,,haya, twende;“ wakenenda msituni.

yule kijana akamambia yule Mgazija, akamambia: ,tusipi- gane kwa upanga, tupigane kwa fimbo.“ vule Mgazija akamambia: "ndio kweli.” wakapigana; yakapigwa yule Mgazija sana, likapinduli- wa gogo, yakaanguka, yakapotea “agili.

yakija zake mjini yule kijana, akaulizwa: ,,yule Mgazija yu wapi:” akasema: ,,nimemwua.” watu wakasema: ,,sisi tumejua toka zamani kama anataka kwenda kufa bassi.” yakakaa yule kijana, yakarejea kule mwituni, akamsomea, akageuka bin Adamu. yule akamambia: mbassi bwana, nimetubu?) tenna.” akamambia: ,,bassi, nenda zako, rukhsa.

sultani akapiga mbiu, wakija watu wengi sana, na yule kijana akija. alipokuja yule kijana, sultani akamwambia: ,,wewe ndio mwe- nyi 'enzi9), wewe sasa ndio sultani, hapana sultani mwingine tenna ila wewe; na mimi ni mtu mzima, tenna wa kukaa chini yako.” vule kijana akakataa, akasema: ,,mimi siwezi usultani.“ wale watu wa mjini wote pia wakasema: ,bwana wetu wewe, sultani wetu wewe.“ yule kijana hana hila?) tenna va kukataa, akakaa vyule ki- jana. mudda wa mwezi moja akamwoza mwanawe, akimwoa. vule sultani akiwapa upande wa inchi mwanawe$) na upande mkwewe?!,

yakikaa juu ya 'enzi hatta mwezi wa sitta, yakamwambia: ,,na- taka kwenda kwetu, mkwe wangu." akimwambia: ,,nenda.“ akifunga safari “askari mia, akachukua na punda moja na frasi moja na waja- kazi waanawake kumi na watwana waanaume 'csherini, na mkewe akachukua wajakazi kumi. akatoka yule kijana na mkewe kwenda mtazama baba yake na mama yake.

alipofika mjini, wakapiga bundugi nvingi. yule sultam akastuka!? , akapeleka “askari: ,,katazameni bundugi nvingi za nini?” yule mtoto

') ametuponya. 7?) selbst wenn, mecist wird ijapokuwa gesagt. 3) die Comoren sind im Aligemeinen nicht beliebt bei den Suaheli und gelten bei ihnen als undankbare Menschen. f) auch mwituni. '“Jar. bekehren, sich bessern. #$jar. Macht, Kraft; “ezzi, “ezi und “enzi sind ge- brauchlich. 'Jar. List, hicr ,,cr fand keinen Ausweg."" 9?) mwana wake. ?) mkwe wake. 0) erschreckt werden, auffahren.

73

wa mfalme, aliyetoka zamani mjini humo, akasema: ,,mimi, mtoto wa mfalme, nimekuja kumtazama baba." wakarudi “askari wale, wakam- jibu sultani, wakamwambia: ,,mtoto wa mfalme amekuja mtazama baba yake.” wakafurahi sana baba vyake na mama yake kuwa mwa- nao!) amekuja.

na yule mtoto wa sultani, Miza, akapata khabari, ya kuwa ame- kuja mtoto wa, mfalme. akimwambia baba yake: ,,baba, mimi nnataka mume mtoto wa mfalme, mume mwingine simtaki kabisa.” aka- mwambia: ,,vema, mwanangu.” akapelekwa mtu kwa mfalme kwenda mwita. yakija, akimwambia sultani: ,,mwanangu utamwoza mwanao? nipe shauri lako, nini? utagubali?” mfalme akasema: ,,nimegubali, sultani.”

akenda kumwambia mwanawe mfalme: ,,sultfani anataka yakupe mwanawe uoe, yule uliyokuwa ukimtaka zamani.“ yule kijana yakiji- zuia, akisema: ,,sasa simtaki, nimepata mke mzuri huko, nimepata na usultani na mali mengi huko, huyu simtaki tenna.“ akambembeleza?) baba yake, hatta khatima yakagubali yule kijana.

akamwoza yule mtoto wake sultani Miza, yakiwa ndio mumewe uladi3) mfalme. wakakaa kitako siku nyingi, yakiaga kwenda zake tenna kule alikoupata usultani. kule akakaa kitako na wakeze), wa- kizaa nyike na ndume), wakakaa raha mustarehe.

Muhemedi bin Madigani aus Kondutschi.

1) mwana wao. '?)zureden, liebkosen. 7?) ar. Sohn, hier falschlich der plural gebraucht. f) wake zake. ?) Weibchen und Minnchen; meist von Thieren gesagt.

Msiwanda.!)

Alitokea sultani mmoja, akizaa watoto sab'a, mmoja jina lake Salem, na mmoja jina lake Sleman, -na mwingine Nagsur, na mwingine S'aid, na Hemedi, na “Abdallah, na mwisho wao Msiwanda, ndio mdo- go?) wao; ndio jina lake hili Msiwanda.

wakikaa watoto wale hatta wakiwa watu wazima. na pale

1) Diese Erziahlung hat einige Aehnlichkeit mit kisa cha binti Matlai Shems, Bittner Anthologie p. 106, ist jedoch bei Weitem ausfiihr- licher. 7?) jingste.

74

ugani!) pana mti mkubwa, katika uga ya nyumba ya baba yao. yali- kuja ndege moja, yakitua katika mti ule, yakilia yule ndege; mlio wake mzuri. baba yumo ndani, na watoto wote wamekwenda zao majum- bani kwao, yakibagi?) yule mtoto wa mwisho, msiwanda?) wao.

akimtezama?) yule ndege, ndege yakiona oga akiruka, yaken- da zake, yakiangusha unyoya moja. yule mtoto yakiuokota?), akimpe- lekea baba yake, yakimwambia: ,,baba, yalikuja ndege mzuri leo hapa panapo mti huu.” yakimambia: ,uko wapi unyoya wenyewe?" yakimambia: ,,huu.” yakiutazama baba yake, akiuona kweli mzur sana, yakaweta9) watoto wake wote, akiwambia: ,,nyie?) ni watoto wangu, nawatuma, sheruti$) mtumike, kama mnataka radi?) yangu mwende mkaniletee ndege huyu.” wakimwambia: ,,tutamwona wapi, baba, na ndege wengi aina?) moja, huyu umtakayo hatumjui sisi." akiwambia: ,,mkafanza upindani!!) na mimi, baba yenu? nawatuma, sasa hivi mwenende mkamlete huyu ndege, ndio mpate radi yangu."

wale watoto wakiona neno limekuwa kubwa tenna, walla hali- kataliki, wakimwambia: ,tusafirishe.“ yakafanyiza mikate mingi sana, na kulla mtu akampa fedda rupia elfu elfu?) kullu mtu, na kitwana kimoja kimoja), na frasi moja moja. wakitoka wakipanda frasi zao, wakenenda hatta mwendo wa miezi miwili hawamwoni ndege, wa- naona barra na pori4) moja kwa moja!”), walla mji hawauoni.

hatta mwezi wa tatu akiona mji yule mkubwa 19), akanena: ,,mi- mi hapa siondoki tenna, na kama radi za baba za kumtafuta ndege, shurti nimpate huyo ndege, na ndege ni wengi, simjui mojapo!?). na kama radi ni hizo, na nizikose!8). mimi hapa tenna siondoki, na nyie!?) kama mnataka kwenda, nendeni, mkamtafute huyo ndege.“

wakatoka watu sitta wale, ndugu yao wa sab'a wakimwacha. wakenenda wao hatta mwendo wa siku kumi, wakikuta pori moja kwa moja. wakaliingia, wakienenda mwezi mzima na mwezi wa pili na mwezi wa tatu, ndio lilipokwisha pori. yule mwingine ba“ada ya mkubwa wao ndiye yeye akisema: ,,mimi miguu inauma, hapa nime- fika katika mji huu, siondoki tenna, nendeni zenu.”

wakitoka, wakenenda watu watano tenna. waliobagia hawa- wezi kujizuia, kulla mwendo wa miezi miwili wakikuta?) mji hupa-

JJ) auf dem freien Platze. ?Jj ar. tibrig bleiben. 9) der zuletzt Ge- borene.. $) alipomtazama. 7) akauokota. 9) akawaita. 7) ninyi. '"“Jjar. Bedingung. ) ar. Zufriedenheit. 1) pers. Art, Sorte. '1) Worte ver- drehen, davon das subst. mpindani z. B. weye mpindani mno du verdrehst meine Worte, um mir tiberlegen zu sein. 7?) je tausend. 2) je einen. '“)Steppe. 2) nur. 9) ilteste. 7) wo der eine steckt. 9) so moge sie mir fehlen. ?) ninyi. €) walipokuta.

75

iga, wakikaa kitako wote wale watu sitta. kulla mji amekaa moja noja, akibagi yule ndugu wao wa mwisho, aliyozaliwa msiwanda!) vao. yakinena: ,,mimi kama kuwachongea nimewachongea mimi, kwa na“ana alikuja ndege huyo, akiingia?) mtini, akiangusha unyoya, ni- rampelekea baba, na baba ule unyoya akiuhibbu”) sana, akinena): wanangu”), kama mwanitaka radi zangu, sherti munipatief) ndege ijuyu.” .na sisi tukatoka tenna wote kumtafuta ndege huyu kwa rida?) zetu wenyewe. na leo siwezi kukaa mimi, illa nimpate ndege, nim- etce baba yangu, aima?) nife mimi bassi. imekuwa miaka miwili asa, na ndege hatujampata; haya, kwa heli?) ndugu zangu, nenda) angu kutafuta ndege.“ yakitoka akenda zake.

hatta mwendo wa miezi miwili akikuta kizee kimoja, kimekaa ijiani na kijumba chake. yakipiga ,,hodi“, yakamwitikia: ,,Hodi, nani weye?” yakimambia: ,,mimi, mtoto wa sultani.“ yule kizee yaki- nuliza: ,unakwenda wapi" yakimambia: ,sijui nnakokwenenda, walla sijui nitokako.“ yule kibibi kizee yakimambia: ,,nimekwisha jua thabari yako, kwa mafana mmekuja watu sab'a kutafuta ndege, wenzio 1) wote wamepanga, kulla mji wamekaa kitako, na weye ume- zuja mtafuta ndege. hupendi kukaa, unaogopa radi ya baba; walakini idege huyo hapatikani hapo, yulipo ndege huyu mahali pa sultani, za watu 'askari wengi sana na mizinga na bundugi.” yakimambia 2?) yule kizee: ,,ntakupa werekeo!3) moja). ukasikia?) ,,mfunge” ao mpige", ,,mchinshe“, ,,mnyonge", ,,mtose” ndio wamelala hao 18), ikasikia!?) kimya, hawaneni bassi ndio wako macho 8); ukienenda, watakukamata watakuua.” yule kijana akinena!?): ,,vema, nimesikia;“ yakitoka.

akenenda, frasi wake na mtumwa wake yakiwaweka msituni, ya- :diwaficha. akatoka yeye mwenyewe, yakienenda akasikia wamenyama- za. akirudi?), akikaa kidogo, akisikia wanasema kwa matusi na kum- unga mtu na kumpiga. yakijua?!) yule kijana, ndio maneno yake yule kibibi kizee. yule kijana yakitagaddam ??), yakienenda akamwom- ya muungu: ,,nife ao nipone!" vakenenda.

alipokwenda, wamelala wenyewe, na mikelele yao ndio kulala swao. yakenenda hatta panapo ndege huyo; roho inampiga shindo,

1) der jiingste Sohn wird meist msiwanda genannt. 7”) akaingia. ') ar. lieben. “$) akanena. 5) waana wangu. $) mnipatie. ') ar. Zu- ;timmung. 9) amma. 9) kwa heri. 9) nakwenda. '!) wenzi wako. 2?) aka- mambia. "?) welekeo Richtung, Fingerzeig. ') mmoja. 5) ukisikia. 6) hawa. ”) ukisikia. 9) wako macho sie sind wach; yu macho er ist wach etc. ?) akanena. €) akarudi. "'!) akajua. ?) ar. vorgehen.

76

na maungo yanamtetemeka, woga umemwingia. yakenda kumkamata yule ndege, yakaziacha mbawa zake; akikamata miguu yule ndege akapupurika!). “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana, wakim- funga kamba sana mikono nyuma, wanamambia ,,mchinshe“, na wengine wanasema ,,mpige”, wananena ,,€e82), mtose katika maji, katika mto huo."

wakatoka “askari wengine wenyi huruma”), walioamriwa na muungu kwa ebhsanif) yao, wakawambia: ,,€88, mwacheni huyu, mchu- kueni kwa sultani kwanza yakamwone, kwa ma'ana hajaja mtu hapa, huyu labda emeamriwa?) na muungu, ndiye wyakija9) hapa.“ wale “askari wakamchukua hatta kwa sultani.

alipomwona sultani, akimambia: ,,khabari yako nimeijua mimi, sina ku'azibisha radi za baba yako za kutaka ndege. na ndege yule wangu mimi. yule ndio mtoto, hao mama zake, huwaoni wewe. wala- kini kama wamtaka ndege huyu, ntakutuma mimi, uende ukanilctee upanga wa radu?).” yakimambia: ,,uko wapi, sultani?" yakimambia: Sijui, nenda ukautafute.”

yakitoka?9) yule kijana, akenda zake mwituni, yakatwaa frasi wake na mtumwa wake, wakitoka wakienenda zao hatta mwendo wa mwezi. wanazidi kusukumiziwa mbele yeye na mtumwa wake. akikuta mji moja?), akauingia mji ule, akakuta kizee kiko mwisho wa mji, akimwam- bia: ,,bibi, nnataka upanga wa radu, ntaupataje?”“ yakimambia 10); ,,weye kijana, weye huna khatari!!)? huo upanga wa sultani, ukasikilikana utachinshwa.” ,,€€8, sasa ntaupataje?” yule kizee yakamambia: ,,nenda zako katika chumba, mlango wake umeregebia 2) gibura 3).

yakenenda hatta akasikia wenyewe wale “askari wamelala. wana- sema vilevile ,,mfunge", ,,mpige", ,,mchinshe“, ,,mtose maji“, yakijua!, ya kuwa wamelala kwa maneno yake yule kizee aliyomambia. akae- nenda yule kijana, roho inamtetemeka na maungo yanamcheza.

alipoukamata ule upanga, yakasahau kukamata kipini, yakakamata ala!?), upanga ukachomoka!9), ukalia upanga kwa mshindo wa radu, unalia rrrrr, “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana wakimfunga, wengine wananena ,,mwue"”, wengine wanasema ,,mpeleke kwa sultani.“ wakimpeleka kwa sultani.

hatta yakimwona?!?) sultani, akimambia: ,,nini khabari yako? huo-

1) flattern; rauschen von Blittern. ") Ausruf des Erstaunens. 3) ar. rahma Barmherzigkeit, Erbarmen; durch Metathesis zu huruma geworden. “ar. Gite. ”) ameamriwa. 9) akaja. 7) radi und radu Donner. $) akatoka, ) mmoja. '"j)akamambia. "jar. Gefahr, 2) ar. erwarten. 5) ar. Gebetsrichtung (gibla). '$) akajua. "ar. Instrument, Scheide. '$) herausfallen. 7) akamwona.

77

gopi wee? kama mimi sultani, nikikutaka!) nitakuua, hapana?) wa kuniu- liza, lakini nimejua kama hii amri ya baba yako ya kutaka ndege, na mwenyi ndege amekwambia, ukalete upanga wa radu, ndio uje upate ndege. na sasa unataka upanga, nenda ukaniletee kwanza ngoma ya milio sab'a.” yule kijana yakimambia: ,jiko wapi ngoma hii?“ ya- kimambia: ,,sijui, nenda ukatafute tu, hatta huko utakaipata.“

yakatoka yule kijana, yakaenenda kutwaa frasi wake na mtumwa wake; yakenda zake mudda wa mwezi, hajaona mji, katika njia tu. hatta mwezi wa pili yakaona mji uko mbali sana. akajongea garibu ya mji, akakuta kizee, akapiga ,,hodi“ yule kijana. yule kizee akaitikia hodi.“ ,,unataka nini, ao unakwenda wapi?" yakimambia: ,,sijui nna- kokwenda, walla nitokako;” akenenda yule kijana.

yule kizee akamwita: unalolitaka?) nalijua, unataka ngoma ya milio sab'a, walakini utaipataje hiyo ngoma ya milio sab'a?”“ yakimjibu: vntaipata, ao ntakufa mimi, na ngoma ntaikosa; kama nikiwa mzima, ngoma ntaipata."

akamwambia: ,,haya nenda, utapokwendaf), utasikia watu kama vilevile nyuma, wanavosema?) ,,mfunge"“, ao ,,mchinshe“, ao ,,mnyonge" bassi wamelala; ukasikia9) kimya, hawaneni ndio wako macho. na hiyo ngoma iko sebuleni imetundikwa, unapoikamata kamata jiti?) lake, usikamate ngozi yake; ukikamata ngozi italia, “askari wataamka, watakukamata wewe, wakufunge ao wakuue.”

yakitoka3) yule kijana, akenda zake hatta mjini. saa sitta ya usiku yakaingia katika mji yeye pekeyake, frasi na mtumwa wake aki- waacha mwituni. aliposikia ,,mfunge“, ,,mpige”, ,,mchinshe“, vaka- jua, kama wemelala?). akenenda hatta katika nyumba ya sultani, ya- kakamata ngoma. na ile ngoma yakasahau 9) kukamata kunako mti wake, akakamata kunako ngozi yenyewe. na ile ngozi ndio inayolia; ikalia ngozi ya ngoma. marra “askari wakaamka, wakamkamata wa- kamfunga, wakimchukua!!) kwa sultani.

sultani akimambia: ,,nani emekutuma?) kuja kuchukua ngoma yangu? huna oga w€e, walla huogopi? kama mimi sultani nitakalo huuwa13)!? yakimambia 14): ,,mimi najua kama wewe ndiye sultani mkubwa, kama sikukuogopa wewe nitamwogopa nani mwingine? wa- lakini huko nyuma nilikotoka nimekutana na sultani wengi, wenzio ) kama wewe, nikaambiwa: ,,illa ulete ngoma ya milio sab'a;“ na mimi

1) nikitaka. 7?) mtu. 3) auf neno oder jambo beziiglich. 9) utakapo- kwenda. ”) wanavyosema. $) ukisikia. ') Holztheil. $) akatoka. 7) wame- lala. 09) ar. vergessen. ') wakamchukua. ?) amekutuma. 5) utauawa. 14) akamambia. 2?) wenzi wako.

78

ndiye!) nimekuja kuifuata ngoma.“ sultani akinena: ,,kama wataka ngoma kaniletee?) binti Sanabu; ukiniletea binti Sanabu, ntakupa ngoma uchukue.” yakimwambia: ,,yuko wapi binti Sanabu?“ ya- kimambia: ,,uko mji mmoja, jina lake ,,Haji mtu kwa shari“3), una- pokwenda wewe, ukimleta manamke huyo binti Sanabu, utafurahi mwenyeo?), walakini sherti?) uingie katika merkebu, na merkebu hio?) ntakupa mimi.” akimwambia: ,,nipe“; yakimpa”) merkebu.

yule kijana akimambia sultani: ,,nataka rukhsa kwanza nikatwae frasi wangu na mtumwa wangu.“ akamwambia: ,,nenda.” yakenen- da msituni, yakimtwaa frasi wake yakimchukua, yakimleta hatta pa sultani. sultani akimambia: ,,mweke hapa frasi wako katika banda hili, mtumwa wako chukua mwenyewe uende nayo“. ,,nataka unipa- kilie ndani ya merikebu hiyo ushanga mzuri sana wa maji ya zahabu." yakimpakilia$), hatta merikebu ikasheheni?) sana. ikitweka 10) merikebu ikisafiri, ikenda zake mwendo wa siku sab'a usiku na mchana.

siku kumi na nne katika jua saa tatu akaona nchi!!), yakenenda hatta akifika. ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja, akikaa kitako ndani ya merikebu. siku ya pili wakichukua baharia??), yakiwapa ushanga kidogo kidogo: ,,chukueni mjini mkaonyeshe waanawake;" na kulla ushanga aina) moja moja. wakachukua, na yule kijana akakaa kitako merkebuni; wale baharia katika mji wanauza ushanga.

yakitokea!) mjakazi mmoja, akinena: ,,hebbu 9), huu ushanga na- taka kutazama." baharia yakimambia!$): ,tazama, kwa ma'fana mimi nauza, ina haja gani!?) kukataza ushanga kutazama? na mimi muhi- taji18), nataka pesa.” yakimambia: ,,ntachukua kwa bibi, ende) ya- kautazame.” akamambia: ,,chukua, walakini na mimi nitakufuata hatta chini ya nyumba, nitakaa nikungoje??).

yakichukua?!) ushanga mjakazi, yakipanda juu ya nyumba kwa bibi yake. yakimwonyesha: ,,bibi, tazama ushanga huu mzuri sana.” akimambia: ,,hebbu!” yakiutazama, akaujaribu?) kuvaa shingoni, ya- kaujaribu mkononi, akiona kweli mzuri sana; yakimambia: ,,umepata wapi?" yakinena kijakazi: ,jana imekuja merkebu, ina ushanga

1) aus ndio miye zusammengezogen. 7) ukaniletee. 9) Es kommt niemand hinein, der Uebles im Schilde fiihrt. 1) mwenyi wako. 9?) man hdort sherti, shurti und sharti sagen. 9) neben hii und hiyo. 7) akam- pa. 9) akampakilia. 7) ar. befrachten. “jikatweka. ')jinchi. 2) Ma- trose. 8) pers. Sorte, Art. “akatokea. ?) Ausruf der Aufforderung. 16) akamambia. 7) wie sollte ich das Verlangen haben. "“Jar. wiinschend. 19) aende. 7?) nikungojee. ?!) akachukua. 7?) versuchen, probiren.

79

mwingi, na hawa baharia ndio wanaokuza, na hivi huyu hapa chini.“ yakimambia: ,,mwite juu.“ yakimwita: ,,we8, mwenyi ushanga, njoo, bibi anakuita." akauliza: ,,bibi gani?" akamjibu: ,,bibi yangu, binti Sanabu.” yakamambia: ,,haya twende."

wakenenda hatta juu ya nyumba, yakimwona!) yule bibi. aki- mambia yule bibi, akisema: ,,ushanga huu merkebuni mwingi sana?" akimambia: ,,mwingi, walakini mwite tajiri?) yetu, aje upatane naye." akisema: ,yuko wapi!" akamambia: ,,yuko merkebuni.“ akinena: —henda ukamwite.”

akenda mwita yule kijana, akimambia: ,,unaitwa?) na manamke moja, mtoto wa sultani, binti Sanabu.” yule kijana akinena: ,,si ndio ninayomtaka huyo?“ yakitoka, yakenenda hatta akimwona, akimam- bia: ,,nini khabari yako?" akimambia: ,nataka ushanga huu, kwako uko merkebuni? yakamambia: .,uko kidogo, walakini uko chini na juu ghazia nyingi sana, labda uende mwenyeo ukauchague utakao.” yule manamke akimambia: ,,asubuhi nitakuja mwenyewe huko merke- buni.“ akimambia: ,,vyemaf), haya kwa heri sasa.“ wakitoka?) yaki- shuka, akenda zake merkebuni.

wakikaa tayyari$) kumngojea yule mtoto wa sultani. alipofika merkebuni yule manamke kwa siku ya pili, yakimtia?) ndani ya chumba, yakimletea ushanga mwingi, yakimambia: ,,haya, chagua aina utakayo." yakiwa yanachagua ushanga, na huko merikebu inangoa nanga, ikapiga peipu?), merikebu ikaondoka. na yule manamke hana khabari kama merkebu inakwenda.

hatta katika jua sa'a sab'a yule manamke yakimambia?): ,,sasa nakwenda zangu, na ushanga nimekwisha pata; frasila giasi gani?" yakamambia: ,,chukua bulle19).” yakamambia: ,,ahsante sana.“ na yule manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni!!) kumi, akamhaja!?) kwa heri.”

yalipotoka nje, akatazama haoni mji, anaona merkebu ina- kwenda, yakamambia: ,,umekuja niiba.“ yakalia manamke: ,,wewe ndio mwizi, unayokwiba watu!” yakambhoji!3), yakamambia: ,,usilie, kulia sana maumivu. huko unakokwenda, hawakuli4) nyama, watakupenda kama unavopendwa/?) na baba yako, na hao masultani vilevile.” aki- nyamaza manamke yasilie.

1) akamwona. 7?) ar. Kaufmann; tajiri und tajiri gespr. 7) neben unakwitwa. “) neben vema und njema, ngema gebrauchlich. 9) akatoka. €) pers. bereit, fertig. ') akamtia. $) Pfeife vom engl. pipe. 7) akam- ambia. ') burre. ') Pfund vom engl. pound. 7) wiinschen, verlangen. 13) zureden, tiberreden. '?) hawali eigenthimlich ist die Beibehaltung des Inf. ku im praes. verneint. ?) unavyopendwa.

8o

ikenenda merkebu hatta ikafika katika inchi vao, ikapiga mizinga “esherini na moja. sultani akatambua wamerudi kwa furaha. waka- shuka, na yule kijana akamambia sultani: ,,nimekwisha mpata yule binti Sanabu, yuko merkebuni.“ akamambia: ,,kamshushe jioni.“ wa- kenda wajakazi wengi kwenda kumshusha. wyakashuka yule manamke, yakenda hatta akafika kwa sultani.

sultani akamambia: ,,aima!) kijana wewe una “ahadi?) na baba yako, ilmuradi?) unataka upate ndege, huyo manamke chukua wewe, mkeo) sasa, na ngoma ya milio sab'a chukua wewe, na watumwa nussu chukua.” akachukua watumwa na frasi. na punda na ngombe na fedda yakampa, yakamwaga: ,,haya, kwa heri mtoto, sipendi uon- doke, umenitia masikitiko ya kukupenda wewe.”

yakitoka?), akenda zake yule kijana, hatta akafika kwa yule sul- tani mwenyi upanga wa radu, yakimambia: ,,nimekwisha kuja na ngoma ya milio sab'a, hii nakupa.“ yakimambia: ,,wewe hodari sana, mtoto mwenyi “ahadi uliyomgubali baba yako, chukua wewe.“ yaki- chukua); akampa na mali mengi, punda, frasi, watumwa na fedda, akimambia: ,,haya, kwa heri.“

akenenda zake hatta akafika kunako mji ule kwa yule sultani, mwenyi ndege, akamambia: ,,upanga huu nimekwisha leta.” akimam- bia: ,,chukua weye upanga, na ndege chukua wewe, walakini ndege huyo ukimambia ,,nataka fedda“ atakupa fedda, ukimambia ,,nataka wali“, atakupa; haya chukua ndege huyu.“ yakachukua na?) ndege, na mali mengi akimpa, akiwa na jeshi$) nzima, walla hapana mfalme kama yeye, aima?) sultani mkubwa kama yeye wa barra, ana mali mengi mno aliyoyapata burre, billa ya kupigania, billa ya kuya- sumbukia. yakipata!0) mali, muungu yakimja'alia!!) kwa kulla kitu | anacho, kulla aina ya nyama anayo.

yakatoka yule kijana yakarudi, anakuja?) zake hatta akafika kwa ndugu yake mmoja, akamambia: ,,nimekwisha mpata ndege aliyom- taka baba.” ,yuko wapi?" akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,kweli, haya twende zetu sasa.” wakitoka wakenda zao. wakiwa watu wa- wili, yeye na nduguye).

hatta wakafika kwa ndugu yao wa tatu, akamambia: ,.kaka, twende zetu, ndege, aliyomtaka baba, nimekwisha mpata; sasa una- kalia nini hapa, twende zetu.“ akamambia: ,tuenende, walakini huyu

')amma. ? ar. Versprechen. Sar. Wille. $) mke wako. 59) aka- toka. 9) akachukua. 7) na wird hiufig so gesetzt im Sinne von ,,auch.“ S)ar. Heer. 9) amma. ') akapata. '!) ar. bestimmen (akamjaalia). '?) besser akaja. ?) ndugu yake.

—.

SI

ndege yuko wapi?! akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,nimegubali sasa, haya twende."

wakenenda hatta wakafika kwa ndugu zao wa nne, na wa tano, wakiwambia: .,,twende zetu na ninyi, ndege tumekwisha mpata sisi, twende zetu, msikae bulle!) hapa.” wakawambia: ,,haya, twendeni.”

wakenenda hatta kwa kaka yao wa sitta, wakamambia: ,,ndege tumekwisha mpata.” akawauliza kaka yao: ,,haya mali mliyovapata kwa nani? mmepiga vita, ao mmekwiba?" wakasema: ,,muungu umemsahau?" wyakauliza: ,jissi gani?)?" wakanena: ,,ndio mwenyi rehema) yake, yampaye?) humpa, bassi usione “ajabu?) weye; ku- pata kwetu sisi, ndio kupata kwako weye.“ akinena: .,,haya, twende zetuni$), lakini maneno ya kweli hamnambii ya haya mali mliyoya- pata!” wakamambia: ,tuenende, tutakwambia njiani hii;“ waken- da zao.

njiani wanamweleza walivyopata mali haya, hatta wakifika kwa mkubwa wao wa mwisho. akiona?) jeshi$) inakuja, yakaogopa yeye, akasema: ,,hatta sultani wa nchi?) hii, niliyoikaa mimi, hana watu kama hawa wanaokuja!”

wakajongea hatta garibu, akawaona wale nduguze !!), wakimwam- kia, yakaitikia, yakafurahi, yakinena: ,,ndege mmempata?" wakinena: tumempata ndege, tunataka twende zetu tenna kwetu. mwaka wa kumi tuko barra, sasa twende zetu, mama na baba yetu wana msiba 11). akawambia? ,,haya, twende zetu.

wakenenda, hatta ulipotimia mwezi wa kumi wakaona mji. hatta wakifika katika mji ule, wakipanga, wakapumzika mudda wa mwezi mmoja. wakatoka wakenda zao, hatta ilipopata miezi sitta tenna wame- fika garibu va kwao, zimebagi siku mbili ndio kufika mjini mwao.

na pale walipofika pana kisima cha mawe. nao hawakufikia ka- tika mji, wamepanga huko siku mbili mbele ya mji wao.

wakatoka wale ndugu zake, watu sitta, wakinenana kama: Shauri yenu nini?” wakimuliza!-) yule mkubwa wao wa sitta: ,,shauri gani unataka weye" akinena: ,,emetutia) fedeha/?); sisi tumekaa kulla mtu inchi moja moja, yeye amekwenda patikana na mashakka!?) makubwa sana, na “azabu !$) ikamfikia hatta akimpata ndege. na mwe- nyi ndege akimambia ,,niletee upanga wa radu, ndio nikupe ndege; na mwenyi upanga akamambia ,,niletee ngoma ya milio sab'a;“ na

U)burre. 7) wieso denn? 9$)jar. Barmherzigkeit. ") ampaye oder ana- yempa. 7) ar. Wunder. 9) wird seltener gebraucht als twende zetu. 7) alipoona. 8) ar. Heer. ?) inchi. 9) ndugu zake. '!) ar. Trauer. ?) wakamuliza. ?) ametutia. 14) ar. Schande. BJ ar. Zweifel. '9) ar. Strafe.

Velten, Suaheli-Mirchen. 6

82

mwenyi ngoma yakamambia ,,niletee binti Sanabu.“ kijana huyu aki- fanya buzzara!) kufungwa na kupopotolewa, hatta yakimpata?) ndege, aliyomtaka baba yetu. tenna anatupita mumo humo njiani, na hii fedeha kubwa, kitoto kidogodogo hiki kimepata 'agili?) sana. na uchu- ngu yakiujuaf), na amri ya baba akaisikia, sisi watu wazima tusiisikie. hatta tukifika katika mji wa kwetu, akaeleza khabari yake alivompata?) ndege, sisi tutaambiwa wapumbavu, na kwa baba yetu atatutukana, na radi zake tutazikosa, ntawapa shauri mimi, ndugu zangu, mtanisikia?“ wakinena: ,tutakusikia, mkubwa wetu.” akinena: ,mimi nataka tumtie kisimani huyu mdogo wetu Msiwanda, kwa maana ndio aliyopata ndege yeye, bassi afadali9) tumwue.“

na yule mdogo wao Msiwanda haijui ile khabari yao, waliofa- nyiza, kwa ma'ana yeye nia?) yake njema, walla yasiwaze mabaya?) katika moyo wake. aliwachia mali yale yote- na mkewe, yule binti Sanabu, aliyompata kule; akimwaga mkewe: ,ntapiga ndege msituni.“

yalipokuja panapo kisima, akakuta shauri imekwisha fanyizwa. alipogaribia, akaona ndugu zake, wale wakubwa wake, wako kisimani wanateka maji wenyewe, akitupa?) bundugi yake, akenenda mbiombio hatta kwa kaka zake kisimani, akawapokea ndoo, akasema: ,kaka, kwa nini mnateka maji wenyewe, watumwa wako pale, arba mia hapa, na maji huteka wenyewe? nipeni, niwapokee mimi, mdogo wenu.“ wa- kimpa ndoo. alivoinama!?) kuteka maji wakimsukuma, yakiangukia ndani ya kisima; mle kisimani akafikia wima!!).

wale ndugu zao watu sitta wakinena: ,,bana wenu ametupotea ;“ wakalia. na yule binti Sanabu yakalia: ,,maskini mume wangu, eme- kuja?) inchi na miezi kumi na miwili hatta yakanichukua akanileta huku! baba na mama yangu nimewacha kwetu, hapa sina baba walla mama, walla nimjuayo jamaa 3) yangu, illa ni mume wangu, ndio baba yangu, ndiye ni mama yangu! na leo cmekufa/), sasa ntakuta ma- shakka!?)“, wakimambia: ,,twendeni zetuni!$), kulia bassi tenna, shuku- runi muungu.

wakishukuru, wakitoka watu sitta wale vijana, wakaondoa safari, hatta siku ya pili wakafika mjini mwao. wakinena: ,,watumwa nyie!?), pigeni bundugi za furaha.“ na baba yao, yule sultani, akapiga mizinga mingi, akafurahi sana; walakini akatazama hamwoni mtoto wake wa mwisho, yule Msiwanda. wakawachwa, wakapumzika.

ar. Verschwendung. ") akampata. Jj ar. Verstand. “) akaujua. $) ali- vyompata. 9) ar. besser. Uar. Absicht, Zweck. 9) zu erganzen maneno oder mambo. akatupa. 9) alivyoinama. '!)stehend. 7?) amekuja. 3) ar. Ver- sammlung, Verwandtschaft. “) amekufa. ?) ar. Zweifel, hier Unannehm- lichkeiten. '9) oder twende zetu. 7) ninyi.

83

siku wa pili akawauliza: ,,jee, wanangu!), khabari ya huko?“ wakinena: ,,khabari njema, walakini Msiwanda emekufa, na mke wake yuko katika nyumba yake". sultani marra yakalia, ukafanywa msiba mkubwa, hapana mtu kuwa na furaha mudda wa siku sitta. hatta ikapata siku sitta, tanga limeondoshwa, na khitima?) wamesoma. wala- kini yule manamke, binti Sanabu, hacheki walla hazungumzi, hutoka machozi tu kulla siku.

yule mtoto kule, aliyotiwa kisimani na nduguze, akapita nokoa5) moja na ndoo yake kwenda teka maji. na nokoa yule wa baba yake, ni ndio mtumwa wao. alipopeleka ndoo kisimani, alipoivuta na maji ile ndoo, akaiona nzito, yakanena: ,,ndoo yangu imenasa na nini?“ akatezama kisimani, anaona!) mikono ya mtu, imezuia ndoo; yakavuta kwa nguvu yule mtu hatta anampata, hatta yakamwopoa?). yakamweka juu, akampigapiga na mchanga wa kifua, hatta yakatapika maji, ya- kamchukua mgongoni mwake hatta nyumbani kwa nokoa shamba.

akamhimizia uji, yakimpa?) yakinywa?). akimfanzia maji moto yakimogesha, akampikia tenna uji, yakimpa yakinywa; ukasimama tum- boni kidogo. hatta jua sa'a sitta yakimpikia?) wali, yakimpa yakala; ukasimama tumboni wali. ndio sasa yakamuliza khabari, akamambia: weye si bwana wangu, mtoto wa bwana mkubwa sultani?" akamwam- bia: ,,ndiye mimi, niliyosafiri kutwaa ndege.” yakimuliza?): ,,masai- bu!) gani yaliyokupatia, hatta ukaingia ndani ya kisima?” akinena: ndugu zangu ndio walionitia kisimani kutaka kuniua, na muungu hakupenda kufa.” akimambia: ,,nduguzo!!) wabaya kutaka kukuua kwa sabigi/?) ya barakale!3).“

akikaa yule kijana pale shamba, hatta yakapata nguvu kidogo. yakaandika barua yake kumpelekea mkewe binti Sanabu. akimpa mja- kazi mmoja Mama Ammao, yakichukua 4) barua ile hatta kwa mkewe, akimpa kwa falagha?). akasoma yule manamke, na yule manamke yajua kusoma, akaona katika barua mumewe mzima, hajambo. ma- namke akafurahi, na watu walimwona siku ile kama yakicheka!$) kwa furaha na kuzungumza na watumwa wake wakasta'ajjabu!?): ,,bibi leo ana nini? neno gani lililomfurahisha?"

akakaa hatta jua sa“a kumi, akimandikia barua moja. yule Mama Ammao yakachukua, yakampelekea mumewe, yakaisoma, akifurahi nayo.

') waana wangu. 9?) ar. Koranlesung. 5) Sklavenaufseher. 4) besser akaona. ') herausnehmen. 9) akampa. 7) akanywa. 9) akam- pikia. 9) akamuliza. 9) ar. Ungliick, pi. von msiba. ') ndugu zako. 2) ar. auf Grund des (vorhergehenden). 2?) baraka lake, ar. Segen. 14) akachukua. 5) faragha, Musse; hier bedichtig, vorsichtig. '9) akacheka. 17) ar. sich wundern.

0”

84

hatta siku mbili akaandika barua ningine kumpelekea mkewe: ,,nenda kamnongoneze!) baba yangu kama ,,mimi mzima, kesho ntakuja, sitaki yasikie mtu.“ akenda mambia yule mkewe: ,,mwanao ameleta barua hii, hebbu?) isome.“ akaikunjua sultani, akaisoma, yakaona jina la mwanawe, na siku atayokuja?) ameiona nayo.

hatta siku ya pili sa'a moja ya usiku yakija?) yule kijana, aka- fikia kwa mkewe. na mkewe akiondoka kwenda mambia baba yake kama: ,,mume wangu, mwanao, amekuja, njoo usiku saa nne, uje umtazame.” yakija?) usiku sa'a nne, yakimtezama?) mwanawe, aka- mwona yeye na mama yake, wote wakamwona, wakifurahi sana. akimambia:' ,,baba, sina maneno mengi, umeniona mtoto wako, ni mzima, bassi nenda kalale; hatta asubuhi nipigie mbiu, kama kesho mwenyi mtoto yambebe mwanawe, na asiyo mwana abebe jiwef). na mtu asiende shamba, walla hapana kazi kufanyizia ingine, walla kuvua, walla chombo kutweka, hapana rukhsa.“ yakimwambia: ,,vema, nimesikia maneno vyako.” na siku ileile akapiga mbiu sultani, akanena vilevile.

asubuhi siku ya pili yake baraza ikajaa tele, waanawake kwa waanaume, watoto kwa wakubwa, watumwa kwa wangwana. na wa- toto wake yule sultani, wale watu sitta waliobagia?), waliotaka kumwua ndugu yao, wote wamekaa barazani, walla hawana khabari, kama yule ndugu yetu emekuwa?) mzima. hatta saa tatu ilipopiga watu wamejaa tele, akatoka ndani yule kijana, nduguze wakastuka?), wakatahayyari 19), yakinena!!) yule kijana emesimama/??) wima, watu wote wamekaa kitako, akapiga ukelele wake, watu wote wamenyamaza kimya, hapana anenayo, akanena yule kijana: ,,baba alipotutuma kwenda kumtwaa ndege mimi na wenzangu, tukafika inchi va kwanza, kaka yangu mkubwa akikaa kitako; akikataa kwenda tafuta ndege. tukabagi watu sitta. na kulla mtu akiona mji akikaa kitako; wakiona miji sitta, na kulla miji sitta hiyo emeenea!”) moja moja kukaa, nikabagi mimi peke- vyangu Msiwanda na mtumwa wangu na frasi. nikauliza, nikaambiwa kunako ndege. nikenenda, wakanifunga, wengine wanataka kuniua, na wengine wakisema ,,mpeleke kwa sultani, yakamwone kwanza.” nika- pelekwa, nikamwona sultani, akanambia: ,,maneno yako nimejua uli- yokujia radi za babako hizi za kutaka ndege, walakini ndege humpati, illa ukalete upanga wa radu.” nikenenda kunako upanga wa radu,

') leise zuflistern. 7) siceh, bier ist er. 9?) besser atakayokuja. 1) akaja. ") akamtazama. $) hiufig gebrauchte Redensart der Suaheli, dass alle Leute zusammenkommen sollen bis auf die kleinsten Kinder. 7) ar. tibrig bleiben. 9) amekuwa. ?) auffahren, erschreckt werden. 10) ar. verwirrt sein, '!) akanena. 7?) amesimama. 53) ameenea.

wa.

nikafanyizwa vilevile kufungwa na kupopotolewa, nikaambiwa: ,,kama unataka upanga wa radu, nenda ukalete ngoma kwanza ya milio sab'a, na upanga wa radu utapata.” nikenenda kunako ngoma, nikafanyizwa vilevile, nikakuta “azabu!) sana, nitazameni kamba za mikono nilivyo- fungwa mikono nyuma. na mwenyi ngoma akanambia ,,kamlete?) binti Sanabu kwanza, ndio ntakupa ngoma.” nikafanya buzzara?), nikapakia ushanga katika merkebu, hatta nikampata manamke huyo kwa sabigi va ushanga. nikaja kunako ngoma, nikamwambia: ,,manamke huyu uliyomtaka amekwisha kuja.” akanambia: ,,chukua weye mke huyo uoe, na ngoma chukua wewe“, akanipa ngoma, akanipa na mke yule na mali mengi, watumwa na kulla kitu. nikija) kunako upanga, ni- kimambia: ,,ngoma yako hii“; akasema: ,,chukua weye.” nikachukua mimi ngoma na upanga na mali, nikaja zangu hatta kwa mwenyi ndege, nikamambia: ,,upanga wako huu, nipe huvu ndege niende zangu.” akanambia: ,,chukua wewe ndege na upanga na chochote.“ nikachukua mali mno 'athimu?). nikaja zangu, hamwona?) ndugu yangu wa kwanza, na wa pili, na wa tatu, na wa nne, na wa tano, na wa sitta, nikawambia: ,twendeni zetuni, ndege nimempata, kwa kulla mali ninayo mimi.“ wakafurahi nduguze: ,,haya, twende zetu.” tukija?) zetu hatta garibu ya mji kwa nokoa Tshande, pana kisima, wanateka maji kaka zangu. nikiwapokea mimi, wakanitumbukiza kisi- mani, wanataka waniue, waje kwako, babangu, wapate barakalo5). hawa ndugu zangu si wema, walifunga shauri yao njiani kutaka kuniaa, ndio khabari yao hawa. akapita nokoa Tshande akateka maji kisimani, nikiikamata?) ndoo yake, akanivuta nikaja juu. yakanichukua kwake hatta nimepona, ndio khabari yangu hiyo, baba, na ya ndugu zangu."

akamambia babake: ,,hebbu 0), mlete ndege.” ndege alipokuja: memetoa!!) nini?" baba yake akisema: ,,hakutoa kitu.” , bassi, mimi sikiliza, ntamambia upate kusadigi: ,,ndege, lete fedda 2)! akatoa fedda nvingi mno “athimu, na zahabu!$) nyingi, na michele mingi, na vya- kula akatoa. akimambia: ,,umesadigi, baba, kama ndege huyu wangu, ndio niliyompata mimi'r“ akisemal/): ,ulete na upanga." ulipokuja upanga: ,,umesema nini?” akinena: ,,haukusema kitu.“ ,,sikiliza mimi ntavousemesha ?)." akaupiga ala!$) yake, kipini kikachomoka, na upanga wenyewe ukalia sana kama mithili ya radu, watu wakiogopa. sultani akisema: ,,kweli.” ukatwaliwa upanga ule 'ukatiwa ndani ya ala.

ar. Strafe, Pein. ") nikamlete. 9) ar. Verschwendung. “) nikaja. 5) .ar. hoch, gross. 9) nikamwona. 7) tukaja. 9$) baraka lako; baraka ar. Segen. ")nikaikamata. 9) schau her, gieb her. '') ametoa. ?) ar. Silber. ?) ar. Gold. ') akasema. ”?) nitavyousemesha. '9) ar. Werkzeug, Scheide.

86

akinena: ,,niletee na!) ngoma.“ wakaleta ngoma. akinena: ngo- ma hii, toka ilipokuja, imenena nini?" wanasema: ,,tukaipiga hailii.“ vSikilizeni mimi, itavolia?) ngoma!” alipoigonga ngoma ikalia milio sab'a. baba yake akafurahi, akamambia: ,,kweli, mwanangu, ndio mwen- yewe wewe uliyozipata.“

maneno yale, yanavosema?) yule kijana, wale watu wameyasikia maneno yale yote. na sultani akaondoka wima, akawambia watu: ,,hawa si watoto wangu, washoneni fumba sitta, mkawatose baharini; walim- taka kipendo changu, huyu wa mwisho, mtoto wangu kumwua, leo kafeni ninyi pwani, mkatose huko.“ wakenda toswa watoto wale sitta.

sultani akakaa kitako na mwanawe Msiwanda raha mustarehef),

na toka siku ile jina lake Radi ya baba.

Muhemedi bin Madigani aus Magogoni.

1) na im Sinne von ,auch“. 7?) itakavyolia. 9?) anavyosema. 9 ar. Ruhe des Ruhe Suchenden.

Sultani na tajiri.

Alitokea sultani na tajiri moja. wamefanya urafigi toka udogo wao. siku moja tajiri yakinena!): ,tuoe wake sasa.“ yule sultani ya- kimwambia: ,na tuoe.“ wakioa, wakaapeana kiapo kama: ,ukizaa mtoto manamke wewe sultani, amma ukizaa mtoto manamme, mimi nikizaa manamke mtu na mumewe.“ yakimambia?): ,vema."“

wakikaa siku nyingi, hatta kulla mtu mke wake akachukua mimba. sultani akazaa mtoto manamke, tajiri yakizaa?) mtoto nyoka. yakimlea?) yule mtoto wake, hatta yanakua yule mtoto wake nvoka. na yule sultani mtoto wake emekua?) sasa.

na yule tajiri yakamtwaa yule nyoka, akimwambia: ,mke wangu, kama huyu si mtoto, huyu nyoka!“ mkewe akimwambia: ,ntafanyaje? hii amri ya muungu ya kuzaa mtoto nyoka; siwezi kumtupa, walla kumwua, ntamlea mwenyewe, hatta muungu anifariji$).“ naye mu- mewe yakimwambia: ,atakuuma.“ mkewe yakisema: ,mwache yaniue, kwa ma'ana mtoto wangu, amenipa muungu, siwezi kumkataa.“ ya- kimwambia: ,mchukue shamba bassi, ukamlee.” akisema mkewe: mntajenga nyumba kubwa huko shamba ya kumweka huyu mtoto wangu.“

YJakanena. ?)akamambia. Y akazaa. “jakamlea. S) amekua. $9ar, frei machen, Offnen.

akipeleka mawe mengi na chokaa, yakachoma tannuu!) nyingi sana na mafundi wengi, akanunua na boriti?) nyingi, akasimamisha jengo. wakajenga nyumba ya mawe, vyumba sab'a.

vakamtwaa yule nyoka mwanawe, akampeleka kulekule shamba, vakamweka katika chumba kimoja. akaweta”) watumwa wake, aka- wambia: ,nani atayokwenda?) kumlea mtoto wangu!“ wale watu- mwa wakimwambia: ,sisi ni watumwa wako, wataka kazi ingine —. tuambie, tufanyize; kama hatukufanyiza tufunge, utupige, kama desturi ya mtumwa na bwana wake wanovokosa?). japo?) ikiwa kupigwa risasi") mtumwa na bana wake, tupige; lakini yule mtoto wako nyoka hatumlei.“ akawapa rukhusa?) wale watumwa, wakenda zao.

yuko kijakazi kimoja emesahau?) kumwita kumpa shauri lile. akimkumbukia yakamwita. na' kijakazi kile jina lake Kihinja, yaki- mwambia: ,Kihinja, nenda kamlee bana wako, huyu niliyomzaa mimi, mwanangu! utakwenda Kihinja?”“ yakimwambia: ,mimi mtumwa wako, japo!?) ukanichinsha, hapana atayokuuliza!!). huyu mtoto ni wako, kama sikumlea mimi, nani atayomlea?)? japo kama yakanila 3), mimi Kihinja kitu gani? mwache yanile.“ yakimwambia: ,nenda bassi.“ j

yakenenda yule Kihinja hatta kwa nyoka yule, humpikia chakula chake wanga wa majimaji; humpa yule nyoka. na yule nyoka huram- baramba. yakiwa anakua, kikavunjwa chumba kimoja. hatta mwezi wa pili kikavunjwa chumba tenna. imekuwa vyumba viwili vime- vunjwa, vimebagia vitano katika vyumba sab'a.

na yule mtoto wa sultani, mwanamke, anakwenda kidogo kidogo, hatta yakiwa kigori). na vule nyoka kikavunja chumba kimoja. hatta ukipata mwezi wa pili, kikavunjwa chumba cha pili. yule mtoto amekuwa mwari) nyumbani, na yule kijana nyoka limekuwa kubwa. vimebagi vyumba vitatu, vyumba vinne vyote vimevunjwa.

yakimtuma!0) mtumwa wake yule Kihinja, yakimwambia: , nenda kwa baba, nataka mw'allimu!?), mpeni mwana wenu moja Umali18).“ Kihinja yakenenda hatta kwa baba yake, yakimwambia: mtoto wako Umali anataka mw'allimu.“ wyakatafuta mw'allimu, wakampeleka kule

Dar. Kalkofen, tannuru cf. St. Paul, Suaheli Sprachfiihrer p. 427. 3) Baubalken, Mangrovestamme. $) akawaita. 9) atakayokwenda. 5) wanavyokosa. “)besser wire ijapokuwa. 7) ar. Blei, Kugel. $) oder rukhsa Erlaubniss (gehen zu dirfen)j; cf. St. Paul, Sprachfiihrer p- 547- 7) amesahau. 1) selbst wenn, gesetzt den Fall '!) atakayokuuliza. 13) atakayomlea. '?) akinila. '?) bald mamnbar. 5) junges Midchen, das zum ersten Mal die Menstruation hat, wird mwari genannt. '$) akamtuma. 17) ar. Lehrer. '$) “Omar.

88

kwa yule nyoka. na watu wanaogopa kwenda kufa bulle!j, hio ndio sababu vakipata?) mtu mmoja maskini ya muungu, tenna mzee sana, vyakimwambia: ,nataka twende ukanisomeshee mwanangu, walakini ni nyoka, utaweza?“ yakimwambia: ,nitaweza."“

wakenenda kwa yule nyoka, akamwambia: ,kaa kitako.“ akakaa yule mwallimu. akashika msahafu”) wake asubuhi, na nyoka yuko mbali, anamsomesha. anasoma yeye tu toka elhamdu hatta alif lam juzo?) ya thelathini; yule mwallimu hajui kama emekhitimu5?j. yule nyoka mwenyewe akamwita Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwa- nao Umari cmejua?) kusoma, fedda yake mw'allimu mpeni.”

akamtuma tenna Kihinja: ,,kamambie baba nataka ngariba”), mpeni mwana wenu Umari.”“ yakitafutwa?3), yakionekana yakapelekwa, akiu- tahiri?) mkia wa nyoka nchani9) kidogo sana. akamwita Kihinja: nenda kamambia baba, nimekwisha pona, yvampe fedda yake huvu ngaliba.“ Kihinja akaondoka, vakenda kwa baba yake, akimwambia: mwanao emcekwisha!!) pona, anataka kutoka, mpe joho?) na kilemba na jambia na upanga na fedda yake ngaliba mpe mwenyewe.“ aki- mwambia: ,vyema.“ akipeleka”) nguo na upanga na jambia na joho na kilemba na vyatu, yakapeleka yote 14).

sultani akaondoka, akapiga mbiu yake katika mji wote: , kulla asiyo mtoto na bebe!?) jiwe!6), waje zao kwangu, niwape shauri langu.“ wakaja watu wengi sana, akiwambia sultani: ,nimeweta!?) mimi, kulla mwenyi nyumba yake ina tundu na zibe!8).< wakenda zao watu, kulla mwenyi nyumba mbovu wakijenga, na kulla mwenvi nyumba inavyo tundu wakiziba.

hatta siku ya jum'a a!?) mosi kwa usiku kuamkia jum'a ya pili alitoka joka?) yule, akaingia mjini kutembea. likatembea mji wote, likarejea kulekule shamba nyumbani kwake. na vyumba viwili vimc- vunjwa, kibagi chumba kimoja.

na yule mtoto wa sultani mtoto mzima, yumo nyumbani. yule nyoka akamtuma Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwanao moja Umari anataka mke, mpeni mwanenu?!) moja Umari.“ yakienenda??)

') burre. 7) akapata. 5) geschriebener Koran. 9) ar. Abschnitt. 5) amekhitimu, ar. besiegeln, beendigen (die Schule), 9) amejua. 7) ngaliba Beschneider; cf. Mittheilungen des Sem. f. or. Spr., 1. Jahr- gang, Abthig. HII, p. 22. $) akatafutwa,. 7) ar. rein sein. 9) ncha Spitze. 11) amekwisha. 7) arabischer Mantel. ?) akapeleka. 4) besser vyote. ?) abe- be. 8) gewohnlicher Ausdruck, um zu sagen, ,,€s sollen alle kommen, selbst die kleinsten Kinder'. 7) nimewaita. 9) azibe. ?) auch jum'a ya mosi. €“) joka, maj. grosse Schlange. "!) mwana wenu, Zusammen- ziehung mit wenu ist selten. “) akaenenda.

89